Watano wafariki kwa ajali Bunju B usiku wa Jumamosi 26 Machi, 2022. Walikuwa wakitokea kwenye starehe

Aisee ndo maana nikiamua kwenda kulewa huwa sitoki na gari...
 
Issue ni kuendesha na kombania ndani!! Kama man alone mbona hata likikupata ni bahati mbaya!!?? Ila team!?
 
Bunju tangu enzi hizo majirani walevi hukutana pamoja na kunywa pamoja hii tabia imekuwa n ibada sasa kunywa pamoja na unywaji wa kuhamahama.

Nakumbuka kipindi hcho tulikuwa tunatoka bunju saa nne usiku hapo tushalewa tunaenda sinza (meeda, ambiance au Hongera pale) alafu tunaanza kuja Mdogo Mdogo Ila tukifika boko pale ISAJE kipindi ndo iko Moto lazima kituo hapo hyo n saa nane au Tisa mwishoni watu wanamalizia mtaani hapo n kumwamsha anaetuuziaga bia hata Kama hatuna hela wazee wa kwa baharia unaingia ndani kidogo minazini enzi hzo mpoooh?

Haya maisha haya MUNGU alete uzima na kuzeeka vyema aisee
 
Alipata kusema Albert Chalamila

"Sifa ya pombe ukinywa lazima ulewe..

Ukiona hulewi aidha pombe ina matatizo ya ubora au wewe mlevi una matatizo ya kiafya" 😀
 
Case ngumu
 
Hatujambo mkuu. Hao wadau waliusimamisha mtaa kwa majonzi. Watu walishindwa waende kwenye msiba wa nani, maana ni majirani. Wakajikuta wanakutana baa ya jirani kuomboleza misiba yote kwa pamoja
Noma Sana
 
Hakuna mungu aliepanga siku ya kufa.

Ufe kwa uzembe wako uaingizie mungu?

Hata wazungu wenyewe waliounda hayo magari wanakwambia don't drink and drive, wewe ujifanye much know halafu useme mungu alipanga.


Kwani ndio Mara ya kwanza kuendesha amelewa?wangapi wanaendesha chakari Hadi wanasahau kwao na hawafi?...Mungu anajua siku yako ya kuzaliwa na ya kufa pia,kusema hajapanga trh ya kufa huu Ni upotoshaji bro.
 
Sio akili nzito tu, huyo hana akili kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…