DENG XIAOPING
JF-Expert Member
- Mar 6, 2022
- 2,396
- 2,598
Upo tayari kufa ili watoto na wajukuu zako wawe Kama Kenya?Aisee wa nikupea utanipea wako mbali sana ,nimefuatilia uchaguz wao mpaka mate yamenitoka ,anyway wanaweza wakawa na mapungufu ila wakuu hii mijamaa iko vizuri ,wako smart, siyo huku kwetu ,uchaguzi haujulikani unafanywaje full ujambarika,mgombea urais upande wa upinzani amejaa matundu ya risas dah e mola tutafika link huko,
Mtafikaje wakati CCM ina enjoy kuongoza Maiti, hakuna na hii labda baada ya miaka 5000Aisee wa nikupea utanipea wako mbali sana ,nimefuatilia uchaguz wao mpaka mate yamenitoka ,anyway wanaweza wakawa na mapungufu ila wakuu hii mijamaa iko vizuri ,wako smart, siyo huku kwetu ,uchaguzi haujulikani unafanywaje full ujambarika,mgombea urais upande wa upinzani amejaa matundu ya risas dah e mola tutafika link huko,
Kwa akili zipi? Hizi za kiswahili za kujikomba masaa 24? Nchi imejaa wajinga watupu, the only way ya wao kuishi ni kujikombaCome 2025,tutakuwa tumewapita mbali Sana kwenye masuala ya welfare..
Samia ni Suluhi ya changamoto za Tanzania.
Labda kimawazo, labda afe akiwa kwenye keybord aba typeUpo tayari kufa ili watoto na wajukuu zako wawe Kama Kenya?
Nyie ndo wale mnaenda kuomba Raisi awape Kata na wilaya mpya? Wajinga kama nyie CCM itatawala hadi makabuli yenuHamia Kenya.
Vijana wanadhani haya mambo yanakuja kirahisi rahisi tu.Labda kimawazo, labda afe akiwa kwenye keybord aba type
Kenya imefika hapo baada ya kuki zika chama Cha Ukombozi KANU baada ya chama hicho kugeuka kuwa chama Cha kijambazi ,Aisee wa nikupea utanipea wako mbali sana ,nimefuatilia uchaguz wao mpaka mate yamenitoka ,anyway wanaweza wakawa na mapungufu ila wakuu hii mijamaa iko vizuri ,wako smart, siyo huku kwetu ,uchaguzi haujulikani unafanywaje full ujambarika,mgombea urais upande wa upinzani amejaa matundu ya risas dah e mola tutafika link huko,
Hayo ni Maoni yako,wakijikomba na wakaleta matokeo kuna shida gani?Kwa akili zipi? Hizi za kiswahili za kujikomba masaa 24? Nchi imejaa wajinga watupu, the only way ya wao kuishi ni kujikomba
Angekuwa hawezi usingekuta kila kitu kinaenda..Mmh! Samia hawezi, amezungukwa na mumiani
Hamia Kenya.
Kenya they are the best tuache utani.Hayo ni Maoni yako,wakijikomba na wakaleta matokeo kuna shida gani?
Nani kakwambia lazima tuige Kunyaland?
🤣🤣🤣hivi mumiani ina maana gani?Mmh! Samia hawezi, amezungukwa na mumiani
Tulipata uhuru Kwa njia ya Amani.Upo tayari kufa ili watoto na wajukuu zako wawe Kama Kenya?
Ndio nyie team jiwe mnatamani Kenya wapigane vita?🤣🤣🤣Wezi walioendelea vz Wezi wa kizamani.
Huku lazima CCM ishinde maana washindani huwa ni vikundi vya wahuni tu ambavyo huwezi kusema viko timamu kupewa nchi.
WellTulipata uhuru Kwa njia ya Amani.
Tunaandika KATIBA mpya Kwa njia ya AMANI.
Na baada ya kupatikana KATIBA mpya itokanayo na RASIMU alosimamia Judge WARIOBA tutafanya uchaguzi HURU na HAKI,
Ameeeen
Inaongoza simba na yanga na team za connectionsMtafikaje wakati CCM ina enjoy kuongoza Maiti, hakuna na hii labda baada ya miaka 5000