DENG XIAOPING
JF-Expert Member
- Mar 6, 2022
- 2,396
- 2,598
Upo tayari kufa ili watoto na wajukuu zako wawe Kama Kenya?Aisee wa nikupea utanipea wako mbali sana ,nimefuatilia uchaguz wao mpaka mate yamenitoka ,anyway wanaweza wakawa na mapungufu ila wakuu hii mijamaa iko vizuri ,wako smart, siyo huku kwetu ,uchaguzi haujulikani unafanywaje full ujambarika,mgombea urais upande wa upinzani amejaa matundu ya risas dah e mola tutafika link huko,