Watanzania tuchutame, Uchaguzi Mkuu nchini Kenya umetuacha uchi

Watanzania tuchutame, Uchaguzi Mkuu nchini Kenya umetuacha uchi

Aisee wa nikupea utanipea wako mbali sana ,nimefuatilia uchaguz wao mpaka mate yamenitoka ,anyway wanaweza wakawa na mapungufu ila wakuu hii mijamaa iko vizuri ,wako smart, siyo huku kwetu ,uchaguzi haujulikani unafanywaje full ujambarika,mgombea urais upande wa upinzani amejaa matundu ya risas dah e mola tutafika link huko,
Upo tayari kufa ili watoto na wajukuu zako wawe Kama Kenya?
 
Aisee wa nikupea utanipea wako mbali sana ,nimefuatilia uchaguz wao mpaka mate yamenitoka ,anyway wanaweza wakawa na mapungufu ila wakuu hii mijamaa iko vizuri ,wako smart, siyo huku kwetu ,uchaguzi haujulikani unafanywaje full ujambarika,mgombea urais upande wa upinzani amejaa matundu ya risas dah e mola tutafika link huko,
Mtafikaje wakati CCM ina enjoy kuongoza Maiti, hakuna na hii labda baada ya miaka 5000
 
Wezi walioendelea vz Wezi wa kizamani.

Huku lazima CCM ishinde maana washindani huwa ni vikundi vya wahuni tu ambavyo huwezi kusema viko timamu kupewa nchi.
 
Aisee wa nikupea utanipea wako mbali sana ,nimefuatilia uchaguz wao mpaka mate yamenitoka ,anyway wanaweza wakawa na mapungufu ila wakuu hii mijamaa iko vizuri ,wako smart, siyo huku kwetu ,uchaguzi haujulikani unafanywaje full ujambarika,mgombea urais upande wa upinzani amejaa matundu ya risas dah e mola tutafika link huko,
Kenya imefika hapo baada ya kuki zika chama Cha Ukombozi KANU baada ya chama hicho kugeuka kuwa chama Cha kijambazi ,
Naamini hata Tz siku chama Cha mapi _,ndusi kitakapozikwa Tanzania itazaliwa upya
 
Kwa akili zipi? Hizi za kiswahili za kujikomba masaa 24? Nchi imejaa wajinga watupu, the only way ya wao kuishi ni kujikomba
Hayo ni Maoni yako,wakijikomba na wakaleta matokeo kuna shida gani?

Nani kakwambia lazima tuige Kunyaland?
 
Upo tayari kufa ili watoto na wajukuu zako wawe Kama Kenya?
Tulipata uhuru Kwa njia ya Amani.

Tunaandika KATIBA mpya Kwa njia ya AMANI.

Na baada ya kupatikana KATIBA mpya itokanayo na RASIMU alosimamia Judge WARIOBA tutafanya uchaguzi HURU na HAKI,

Ameeeen
 
Wezi walioendelea vz Wezi wa kizamani.

Huku lazima CCM ishinde maana washindani huwa ni vikundi vya wahuni tu ambavyo huwezi kusema viko timamu kupewa nchi.
Ndio nyie team jiwe mnatamani Kenya wapigane vita?🤣🤣🤣
 
Tulipata uhuru Kwa njia ya Amani.

Tunaandika KATIBA mpya Kwa njia ya AMANI.

Na baada ya kupatikana KATIBA mpya itokanayo na RASIMU alosimamia Judge WARIOBA tutafanya uchaguzi HURU na HAKI,

Ameeeen
Well
 
Back
Top Bottom