Watanzania tuelewe nafasi ya Rais kama Kiongozi wa nchi na tumheshimu Rais Samia Suluhu Hasani

Umagharibi ni nini?
 

Mila na desturi zetu ni zipi na ilikuwaje zikawa mila na desturi zetu.
-kuheshimu watu kwa sababu ya ukubwa na madaraka hiyo si heshima bali ni uoga, unafiki na upumbavu.Heshima ni kwa kila mtu bila kujali hadhi wala ukubwa na udogo wake.
-Hao viongozi wanafanya ufisadi, wanawanyonya wananchi, wanaongeza ufukara na ujinga kwa wananchi, huo utu unaozungumza ni utu gani kama wao hawana huo utu.
-
 
Watanzania tumheshimu na kumuombea sana Rais wetu Samia Suluhu Hasan tusisahau kwamba Rais wa nchi amebeba hatma ya nchi na wananchi wake
...
Mama ameamua kuleta upole kwenye nafasi ambayo haihitaji upole ,shida inaanzia hapo.
 
huyo mzanzibari hastahili heshima yyte ile
 
Tamaa ya mamlaka, mali na pesa imewafanya watu wengi wakiwamo watanzania kukosa kabisa utu hata kufikia hatua ya kuliumiza taifa ili tuu wapate kile wanachokitaka.
Vyama vya Upinzani walikiri haya. Kuwa Wametengeneza mazingira haya, na sasa athari zake zimeenea kwenye wanja la Siasa na Jamii, kisa? Madaraka, vinyongo na visasi Binafsi. Wamo na masaliti wengine ndani ya CCM.
 
Niache kumheshimu mama aliyepo kijijini akipambana na kilimo bila msaada wa serikali nimheshimu kikongwe anayezurura bila malengo na kutumia hovyo kodi za wananchi

 
Hili gazeti ilifaa ulitume Kwa Mange uyakoge matusi yako.
 
Niache kumheshimu mama aliyepo kijijini akipambana na kilimo bila msaada wa serikali nimheshimu kikongwe anayezurura bila malengo na kutumia hovyo kodi za wananchi

View attachment 2965068

Pole kwa jazba

Kwanza jiulize ilikuaje mama yako kikongwe akabaki akilima kijijini au ndio shule ilimkataa zamani nae akaikataa??

Maana hata Rais hakuzaliwa Ikulu, alitokea hukoooo kijiji cha Kizimkazi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…