Nakuhurumia wewe na huyo Mungu wako,mwambie akuongezee uelewa na uwe unafatilia vitu si unakuja kuleta maombi hapa.Eeeee mungu msaidie mjori wako mh.jpm arejee katika afya yake,mabaya yote yanayonenwa dhidi yake yasimfike.Wasamehe wale wote wanao mwinukia.Amen
Utambue kuwa sio kila jambo linaloendelea ikulu lazma litangazwe.. Ile ni ikulu na sio chama cha vikoba.Tulipokuwa tukilalamika Mkulu kabinya vyombo vya habari hamkuelewa the outcome! Ndio maana leo unaona hakuna ata media moja inayoweza thubutu kusema ukweli.
Wote kimya ndio muone faida ya uhuru wa habari sasa Rais wenu yupo kitandani lakini walipa kodi hamna haki ya kujua.
Acheni kupotosha watu tulikuwa tunafuwatilia msafara mwanzo mwisho.
Shida ilianza Masasi na sina uwakika kama watu wanao angalia afya ya Rais waliona lile tukio sisi tulio kuwa mbali tuliona kabisa baada ya pale msafara uliondoka na kwenda kijijifulan baadae ukarud ila Rais aliondoka ktk njia ambayo mpaka sasa no one know wala siwezi kuandika hapa as nimfuwasi wa kuto toa kila siri.
Usiku ule ambao nyie mnauliza yupo wapi Taifa lilikuwa kazini na nina dhani hakuna alie lala.
Ila Taifa letu lina tunu yaaman na upendo huwez amini watu walikuwa wamoja kuliko hii mambo ya mtandao kiukweli natamani kulia ila Wazee wetu amabo ni top secret number one wanampenda sana kijana wao kiukweli sina uwakika kama kuna chama kina unity kama ccm.
Nataman kulia ila navipongeza vyombo vyote vya ulinzi na usalama na top secret ya Rais kiukweli hawa ni mashujaa shime serikali yangu na taifa langu.
Tuache upotoshaji... Japo from now Rais atapunguza Ratiba za kaz nyingi nakupata muda wakupata mapumziko. Pia kam mnkumbuka anamualiko wa German kamamnakumbuka sim ya Angel kwa Rais..
Wizi was mitihani unamadhara haya ukubwani! Hujui haya maana ya Ubaguzi?Hii imedhihirisha kuwa Raisi John Joseph Pombe Magufuli ni kipenzi cha watanzania yeye anawapenda na wao wanampenda baada ya Raisi wa watanzania kujichimbia ikulu kama kawaida yake,
Watanzania wameanza kuwa na hamu naye wanahisi kukosa kusikia sauti ni kama kupoteza ala nzuri masikioni mwao,
Ni hakika 2020 Magufuli atachukua nchi kweupe saa asubuhi kwa mahaba wanayoyaonyesha!
Magufuli habagui watu kwa vyama wala dini wote anawapa maendeleo!
Acheni kupotosha watu tulikuwa tunafuwatilia msafara mwanzo mwisho.
Shida ilianza Masasi na sina uwakika kama watu wanao angalia afya ya Rais waliona lile tukio sisi tulio kuwa mbali tuliona kabisa baada ya pale msafara uliondoka na kwenda kijijifulan baadae ukarud ila Rais aliondoka ktk njia ambayo mpaka sasa no one know wala siwezi kuandika hapa as nimfuwasi wa kuto toa kila siri.
Usiku ule ambao nyie mnauliza yupo wapi Taifa lilikuwa kazini na nina dhani hakuna alie lala.
Ila Taifa letu lina tunu yaaman na upendo huwez amini watu walikuwa wamoja kuliko hii mambo ya mtandao kiukweli natamani kulia ila Wazee wetu amabo ni top secret number one wanampenda sana kijana wao kiukweli sina uwakika kama kuna chama kina unity kama ccm.
Nataman kulia ila navipongeza vyombo vyote vya ulinzi na usalama na top secret ya Rais kiukweli hawa ni mashujaa shime serikali yangu na taifa langu.
Tuache upotoshaji... Japo from now Rais atapunguza Ratiba za kaz nyingi nakupata muda wakupata mapumziko. Pia kam mnkumbuka anamualiko wa German kamamnakumbuka sim ya Angel kwa Rais..
Noma sana!umeandika vema, he should change his life style!
Bradycardia
Overview
Bradycardia is a slower than normal heart rate. The hearts of adults at rest usually beat between 60 and 100 times a minute. If you have bradycardia (brad-e-KAHR-dee-uh), your heart beats fewer than 60 times a minute.
Bradycardia can be a serious problem if the heart doesn't pump enough oxygen-rich blood to the body. For some people, however, bradycardia doesn't cause symptoms or complications.
An implanted pacemaker can correct bradycardia and help your heart maintain an appropriate rate
Mkuu tulia hata kidogo naona umepanic sana, nakushauri uzime data kwani nani kakuambia Rais anaumwa?Mungu msaidie rais wetu mpendwa jpm,wabaya wote washindwe kwa neno lako,na mabaya yote wanayomwombea yasimfike
Pale ndipo ilipoanza kuonekana kuna hitilafu kwenye ...Shida ilianza pale alipoanza kutumia lugha kali kila baada ya sentensi mbili
Ni kweli tupu mkuu, yetu machoHivi hii issue ni kweli?
Hao waliozusha watuambie yuko wapi maana ndiyo wanajifanya kuzijua sana taarifa za Mh Rais.
Huwezi kuzusha tu taarifa halafu ukaachwa tu haiwezekani.
Mungu na amjalie nafuu na kupona mapema arudi nyumbani kuendelea na majukumu yake. Si kwa kuwa Yu mwema, ila Ni kwa neema ya mungu tu!Kinachoendelea ni nini Wakuu?
Rais wetu yuko wapi!?Jana Msigwa alitupa habari ya uteuzi wa mkurugenzi,ukimya UPI unaposema!!?
Chahali ,umeingia! Tudokeze Kaka!Unajitekenya na kucheka mwenyewe 😳