Watanzania tuelezwe ni wapi alipo Rais wetu Mpendwa John Magufuli, ni haki yetu kujua

Watanzania tuelezwe ni wapi alipo Rais wetu Mpendwa John Magufuli, ni haki yetu kujua

Status
Not open for further replies.
Eeeee mungu msaidie mjori wako mh.jpm arejee katika afya yake,mabaya yote yanayonenwa dhidi yake yasimfike.Wasamehe wale wote wanao mwinukia.Amen
Nakuhurumia wewe na huyo Mungu wako,mwambie akuongezee uelewa na uwe unafatilia vitu si unakuja kuleta maombi hapa.
 
Tulipokuwa tukilalamika Mkulu kabinya vyombo vya habari hamkuelewa the outcome! Ndio maana leo unaona hakuna ata media moja inayoweza thubutu kusema ukweli.
Wote kimya ndio muone faida ya uhuru wa habari sasa Rais wenu yupo kitandani lakini walipa kodi hamna haki ya kujua.
Utambue kuwa sio kila jambo linaloendelea ikulu lazma litangazwe.. Ile ni ikulu na sio chama cha vikoba.
Tatzo umbea umewajaa kutaka kujua kila kitu.
 
Acheni kupotosha watu tulikuwa tunafuwatilia msafara mwanzo mwisho.

Shida ilianza Masasi na sina uwakika kama watu wanao angalia afya ya Rais waliona lile tukio sisi tulio kuwa mbali tuliona kabisa baada ya pale msafara uliondoka na kwenda kijijifulan baadae ukarud ila Rais aliondoka ktk njia ambayo mpaka sasa no one know wala siwezi kuandika hapa as nimfuwasi wa kuto toa kila siri.

Usiku ule ambao nyie mnauliza yupo wapi Taifa lilikuwa kazini na nina dhani hakuna alie lala.

Ila Taifa letu lina tunu yaaman na upendo huwez amini watu walikuwa wamoja kuliko hii mambo ya mtandao kiukweli natamani kulia ila Wazee wetu amabo ni top secret number one wanampenda sana kijana wao kiukweli sina uwakika kama kuna chama kina unity kama ccm.

Nataman kulia ila navipongeza vyombo vyote vya ulinzi na usalama na top secret ya Rais kiukweli hawa ni mashujaa shime serikali yangu na taifa langu.

Tuache upotoshaji... Japo from now Rais atapunguza Ratiba za kaz nyingi nakupata muda wakupata mapumziko. Pia kam mnkumbuka anamualiko wa German kamamnakumbuka sim ya Angel kwa Rais..

Nadhani ni mwendo wa sisi raia kutayarishwa kisakolojia.
Mwanzoni tuliaminishwa kwamba hakuna lililotokea na kwamba Raisi wetu yupo ofisini kama kawaida yake anatengua na kuchagua!
Sasa wameanza kutuaminisha kwamba ni kweli ameumwa na labda yuko kwenye hatua za kupatiwa huduma ya matibabu na labda ni kweli nje ya nchi!
Hatua itakayoufuata ni kujulishwa kwamba Mheshimiwa wetu ame... na hivyo mambo mengine yatafuatia baadae.
Kwa kumalizia tuwaombe tu waungwana kwamba sisi watanzania sasa tumekuwa wakubwa, sisi ni watu wazima sasa na si wajinga kihivyo mnavyotufikiria! haina haja ya kutupeleka hatua moja moja, I mean for God sake we can handle this!
 
Hii imedhihirisha kuwa Raisi John Joseph Pombe Magufuli ni kipenzi cha watanzania yeye anawapenda na wao wanampenda baada ya Raisi wa watanzania kujichimbia ikulu kama kawaida yake,
Watanzania wameanza kuwa na hamu naye wanahisi kukosa kusikia sauti ni kama kupoteza ala nzuri masikioni mwao,
Ni hakika 2020 Magufuli atachukua nchi kweupe saa asubuhi kwa mahaba wanayoyaonyesha!

Magufuli habagui watu kwa vyama wala dini wote anawapa maendeleo!
Wizi was mitihani unamadhara haya ukubwani! Hujui haya maana ya Ubaguzi?
 
Acheni kupotosha watu tulikuwa tunafuwatilia msafara mwanzo mwisho.

Shida ilianza Masasi na sina uwakika kama watu wanao angalia afya ya Rais waliona lile tukio sisi tulio kuwa mbali tuliona kabisa baada ya pale msafara uliondoka na kwenda kijijifulan baadae ukarud ila Rais aliondoka ktk njia ambayo mpaka sasa no one know wala siwezi kuandika hapa as nimfuwasi wa kuto toa kila siri.

Usiku ule ambao nyie mnauliza yupo wapi Taifa lilikuwa kazini na nina dhani hakuna alie lala.

Ila Taifa letu lina tunu yaaman na upendo huwez amini watu walikuwa wamoja kuliko hii mambo ya mtandao kiukweli natamani kulia ila Wazee wetu amabo ni top secret number one wanampenda sana kijana wao kiukweli sina uwakika kama kuna chama kina unity kama ccm.

Nataman kulia ila navipongeza vyombo vyote vya ulinzi na usalama na top secret ya Rais kiukweli hawa ni mashujaa shime serikali yangu na taifa langu.

Tuache upotoshaji... Japo from now Rais atapunguza Ratiba za kaz nyingi nakupata muda wakupata mapumziko. Pia kam mnkumbuka anamualiko wa German kamamnakumbuka sim ya Angel kwa Rais..

Unajitekenya na kucheka mwenyewe 😳
 
umeandika vema, he should change his life style!

Bradycardia
Overview
Bradycardia is a slower than normal heart rate. The hearts of adults at rest usually beat between 60 and 100 times a minute. If you have bradycardia (brad-e-KAHR-dee-uh), your heart beats fewer than 60 times a minute.
Bradycardia can be a serious problem if the heart doesn't pump enough oxygen-rich blood to the body. For some people, however, bradycardia doesn't cause symptoms or complications.

An implanted pacemaker can correct bradycardia and help your heart maintain an appropriate rate
Noma sana!
 
Hao waliozusha watuambie yuko wapi maana ndiyo wanajifanya kuzijua sana taarifa za Mh Rais.

Huwezi kuzusha tu taarifa halafu ukaachwa tu haiwezekani.

Si wamesema mzee?
...wanasema aliugua ghafla na kupelekwa ughaibuni!
Sasa kama wewe unasema huo ni uzushi tuthibitishie kuwa hayo si ya kweli!!!
 
Hivi kwanini serikali isitoe tamko? Mnawaacha wananchi na maswali yasiyo na majibu
 
Kinachoendelea ni nini Wakuu?
Mungu na amjalie nafuu na kupona mapema arudi nyumbani kuendelea na majukumu yake. Si kwa kuwa Yu mwema, ila Ni kwa neema ya mungu tu!
"Jinsi nilivo miiiiiimi Ni kwa neeemaaa tuuuu" Basi tujivune tujine Ni kwa neeeemaaa tuuu!
 
Kuna whatsapp zinasambaa zinasema kuwa, habari za JPM kuwa amefariki si za kweli bali alipata heart attack na amekimbizwa Dar na helicopter ya jeshi then Afrika Kusini then Germany...

Huo ujumbe unaonesha umetoka kwa Vicky Emmanuel Nchimbi, sifahamu ukweli wake na unaambatana na ujumbe wa kigogo unaosema "wanangoja nini kumpa kimeo mama Samia"?

Sina uwezo wa kuapandisha hapa.

Na mwingine unasema...

There have been reports of men suffering heart attacks or chest pain after taking the popular drug V.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom