Watanzania tuelezwe ni wapi alipo Rais wetu Mpendwa John Magufuli, ni haki yetu kujua

Status
Not open for further replies.
Tumekuelewa Mpeni Mungu nafasi tuache mambo ya rambling na kutafuta attention na mm nitarudi kusoma
 
Utakufa wewe na vigimbi vyako,yeye akiendelea kudondoka na kusimama.

Mtu mzima mwenye miaka zaidi ya 55,asiyepumzika sawa sawa unashangaa akianguka!!!!

Chuki zenu kwake zimemaliza mpaka uwezo wenu wa kufikiri,hata hata akichapia,mnadhani ni laana[emoji849][emoji849][emoji849]hovyo kabisa.
 
Tatizo lake dogo ni kwamba ana roho mbaya na ubinafsi..
 
Wenye roho mbaya wamezuia wema wasiongee hadharani

Haya ndio matokeo ya kuendekeza roho mbaya.

Ipo siku hasira za wanachi zitafika rank ya juu kabisa na kuchemka.
Hasira zenu watu 1000 mtandaoni
 
Mvu
Hapo ndo nimefunguka kidogo mkuu. Nikirejea nafunguka kikubwa, mamlaka zinafanya kazi kuhakikisha usalama unakuwepo. Mvua hizi si nzuri kwa walio wengi ingawa wengine (ambao ni wengi pia) inaonekana ni baraka kwao
Mvua ni Maji...Maji ni uhai
 
Mhhhh,,,,, , !!!????
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…