Tumekuelewa Mpeni Mungu nafasi tuache mambo ya rambling na kutafuta attention na mm nitarudi kusomaWakuu salaam,
Weekend imefika na imekuja na mambo yake. Wengine wanashangilia, wengine wanasikitika. Wengine wanatafakari huku wengine wakiwa hawajui kinachoendelea.
Mvua zinaweza kuja na baraka kwa wengine na wengine zikawaletea balaa.
Lakini, yote kheri - maombi ni muhimu katika nyakati kama hizi.
I will be back...
Utakufa wewe na vigimbi vyako,yeye akiendelea kudondoka na kusimama.Na Mungu anamuumbua tu kutuonyesha ubovu wake. Hii ni mara ya 4 anaanguka. Alianguka Ngerengere mwaka 2016 mara 1 na Ikulu mara 2 mwaka 2015 hii ilikuwa kali na bado.
Mpaka wale vidomo domo akina Mkamia wanaosema aongezewe muda wa kutawala waone haya. Utamuongezeaje muda spanner mkononi? Kwani hii ni Gabon inayoongizwa na mtu mwenye stroke (kiharusi)
I do agree and pray with you that our president is going to be alrightTime will tell. I have a strong feeling that Mr president will make it. He will not die. He will live .
mvua iendelee au jua liwake sanaMamlaka (ya hali ya hewa) itatoa update soon natumaini. Tuombe sana
Tatizo lake dogo ni kwamba ana roho mbaya na ubinafsi..Utakufa wewe na vigimbi vyako,yeye akiendelea kudondoka na kusimama.
Mtu mzima mwenye miaka zaidi ya 55,asiyepumzika sawa sawa unashangaa akianguka!!!!
Chuki zenu kwake zimemaliza mpaka uwezo wenu wa kufikiri,hata hata akichapia,mnadhani ni laana[emoji849][emoji849][emoji849]hovyo kabisa.
Hasira zenu watu 1000 mtandaoniWenye roho mbaya wamezuia wema wasiongee hadharani
Haya ndio matokeo ya kuendekeza roho mbaya.
Ipo siku hasira za wanachi zitafika rank ya juu kabisa na kuchemka.
Mimi sina shida kama ni kufa mbona nilishakufa. Shida ni huyu anayekufuru kujifanya eti atakuwa kiranja wa malaika. Mwambieni akasome Biblia kitabu cha Wagalatia 6:7Funga kabisa kwa ajili ya maombi,naona wewe utakuwa na mkataba na mwenyezi Mungu,utaishi milele jinga kabisa wewe
AaaminMungu ampe afya njema.
Chuki zenu dhidi ya Wachaga imekusaidia nini hadi sasa??Kwahiyo UKO na wachaga katika......!
Wee zee vip? Acha watu waongee banaHasira zenu watu 1000 mtandaoni
Paukwa! Pakawa; Awamu ya kwanza.....
Mvua ni Maji...Maji ni uhaiHapo ndo nimefunguka kidogo mkuu. Nikirejea nafunguka kikubwa, mamlaka zinafanya kazi kuhakikisha usalama unakuwepo. Mvua hizi si nzuri kwa walio wengi ingawa wengine (ambao ni wengi pia) inaonekana ni baraka kwao
Nadhani its a bit complicated. Hivyo sijauleta uzi ili tufahamiane. Nohoirre tata?? Amang'ana mura?? Nkye baye mura??Afu wewe ndg nadhani ninakufahamu
Mhhhh,,,,, , !!!????Na Mungu anamuumbua tu kutuonyesha ubovu wake. Hii ni mara ya 4 anaanguka. Alianguka Ngerengere mwaka 2016 mara 1 na Ikulu mara 2 mwaka 2015 hii ilikuwa kali na bado.
Mpaka wale vidomo domo akina Mkamia wanaosema aongezewe muda wa kutawala waone haya. Utamuongezeaje muda spanner mkononi? Kwani hii ni Gabon inayoongizwa na mtu mwenye stroke (kiharusi)
Mtaniua kwa kicheko!Apate hitilafu kwani yeye ni gari?[emoji57] [emoji57]
Wachaga gani?Chuki zenu dhidi ya Wachaga imekusaidia nini hadi sasa??
Nimemzuia nani kuongea?! Wewe nae unanizuia kuongea?Wee zee vip? Acha watu waongee bana
Utajua ukikuaWachaga gani?