Idiot Embicile
JF-Expert Member
- Apr 30, 2019
- 1,037
- 1,974
Kama lissu tu vileYaani majinga sana. Kwani binadamu kuumwa kuna tatizo gani!
Kwa kweli tunataka tujue taarifa zilizopo mitandaoni zinaleta taharuki kubwa
Nadhani ni effect ya ukosefu WA ajira. Watu wangekuwa busy viwandani uzushi wa kipuuzi usingepewa kipaumbele.Jamii yetu inapenda sana umbea. Sijui tuna shida gani
Nina uhakika Rais wetu ni mzima wa afya. Tuache kuwaweka watu kwenye TAHARUKI. Yeye mwenyewe alishasema hawezi kuondoka leo kwa kuwa akiondoka SGR, STIGLERS GORGE na VITUO VYA AFYA havitajengwa na pia NDEGE hazitanunuliwa.Heshima kwenu wakuu,
Kuna habari zinasambaa kwamba Rais wa Tanzania John Magufuli anaumwa wengine wanasema amekatiza Ziara huko Kusini ili kushughulikia Masuala mengine ya Kitaifa. Hili sina tatizo nalo.
Kinachoniumiza na kunitatiza ni kuona Taasisi ya Rais akiwemo Msemaji Mkuu wa Ikulu na Msemaji wa Serikali kutokanusha au kuweka sawa habari hizi zinazosambaa na kuacha watu waendelee kumsema vibaya Rais wetu. Ukiacha uongo ukaendelea kuongelewa unageuka kuwa kweli.
Rais sio mali ya Ikulu bali ni mali ya Watanzania wote wa vyama vyote, dini zote, rangi zote na Makabila yote.
Msemaji wa Ikulu, Gerson Msigwa huwa ni mwepesi kukanusha na kutupa update za Rais. Ajitafakari kwa hili kama vipi ajiuzulu tu. Kazi imemshinda ya kuwatumikia Watanzania.
Tunapata wakati mgumu kuelewa.
Kama anaumwa sio jambo la kushtua pia kwani maradhi kwa binadamu ni kawaida, kama anaumwa ni haki wananchi wake wakajulishwa na maendeleo yake yakaelezwa kwa uwazi.
Tumefanya hivyo kwa Baba wa Taifa Nyerere, Askofu Mkuu Mwandamizi Yuda Thadeus Ruwa'ichi, Benjamin Mkapa, Kikwete alipoumwa Tezi dume akiwa Rais na wengine wengi.
Rais Kikwete afanyiwa upasuaji wa tezi dume Marekani, hali yake inaendelea vyema
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete alfajiri ya jana, Jumamosi, Novemba 8, 2014, alifanyiwa upasuaji wa tezi dume (prostrate) katika Hospitali ya Johns Hopkins iliyoko Baltimore, Jimbo la Maryland, Marekani. Rais Kikwete amefanyiwa upasuaji huo baada ya...www.jamiiforums.com
Kama yu mzima wa afya tujulishwe ili roho zetu zitulie.
Ni haki yetu kujua Rais alipo na maendeleo yake sababu anaishi kwa kodi zetu na tulimchagua wenyewe ndio maana Televisheni ya Yaifa inamuonesha popote aendapo bure ili wananchi wajue anachofanya Rais wao.
Hata kama kapumzika Ikulu, hakuna sababu ya kuzua taharuki.
Tunajua Rais wetu anapenda mpira hasa timu ya Taifa, Jana timu yetu imeshinda na kufuzu Michuano ya CHAN, hatujaona anapongeza na kushangilia kama kawaida yake.
Hata Msemaji wa Ikulu hajatuma picha akiangalia mpira wa watoto wake kama kawaida yao.
Tunamtaka Rais wetu.
Asanteni sana
TUJIKUMBUSHE;
"Taifa Stars wameipa heshima nchi yetu. Leo nimeona mpira, sio ule wa siku za nyuma."- Rais Dkt Magufuli akifurahia Tanzania kufuzu Fainali za Mataifa ya Afrika #AFCON2019
View attachment 1238150
Acha unafiki! Habari mbaya kwako Mkuu wa nchi yuko salama, yupo anapumzika baada ya ziara ndeefu mikoa tata ya Lindi, Mtwara,Katavi na Sumbawanga!Heshima kwenu wakuu,
Kuna habari zinasambaa kwamba Rais wa Tanzania John Magufuli anaumwa wengine wanasema amekatiza Ziara huko Kusini ili kushughulikia Masuala mengine ya Kitaifa. Hili sina tatizo nalo.
Kinachoniumiza na kunitatiza ni kuona Taasisi ya Rais akiwemo Msemaji Mkuu wa Ikulu na Msemaji wa Serikali kutokanusha au kuweka sawa habari hizi zinazosambaa na kuacha watu waendelee kumsema vibaya Rais wetu. Ukiacha uongo ukaendelea kuongelewa unageuka kuwa kweli.
Rais sio mali ya Ikulu bali ni mali ya Watanzania wote wa vyama vyote, dini zote, rangi zote na Makabila yote.
Msemaji wa Ikulu, Gerson Msigwa huwa ni mwepesi kukanusha na kutupa update za Rais. Ajitafakari kwa hili kama vipi ajiuzulu tu. Kazi imemshinda ya kuwatumikia Watanzania.
Tunapata wakati mgumu kuelewa.
Kama anaumwa sio jambo la kushtua pia kwani maradhi kwa binadamu ni kawaida, kama anaumwa ni haki wananchi wake wakajulishwa na maendeleo yake yakaelezwa kwa uwazi.
Tumefanya hivyo kwa Baba wa Taifa Nyerere, Askofu Mkuu Mwandamizi Yuda Thadeus Ruwa'ichi, Benjamin Mkapa, Kikwete alipoumwa Tezi dume akiwa Rais na wengine wengi.
Rais Kikwete afanyiwa upasuaji wa tezi dume Marekani, hali yake inaendelea vyema
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete alfajiri ya jana, Jumamosi, Novemba 8, 2014, alifanyiwa upasuaji wa tezi dume (prostrate) katika Hospitali ya Johns Hopkins iliyoko Baltimore, Jimbo la Maryland, Marekani. Rais Kikwete amefanyiwa upasuaji huo baada ya...www.jamiiforums.com
Kama yu mzima wa afya tujulishwe ili roho zetu zitulie.
Ni haki yetu kujua Rais alipo na maendeleo yake sababu anaishi kwa kodi zetu na tulimchagua wenyewe ndio maana Televisheni ya Yaifa inamuonesha popote aendapo bure ili wananchi wajue anachofanya Rais wao.
Hata kama kapumzika Ikulu, hakuna sababu ya kuzua taharuki.
Tunajua Rais wetu anapenda mpira hasa timu ya Taifa, Jana timu yetu imeshinda na kufuzu Michuano ya CHAN, hatujaona anapongeza na kushangilia kama kawaida yake.
Hata Msemaji wa Ikulu hajatuma picha akiangalia mpira wa watoto wake kama kawaida yao.
Tunamtaka Rais wetu.
Asanteni sana
TUJIKUMBUSHE;
"Taifa Stars wameipa heshima nchi yetu. Leo nimeona mpira, sio ule wa siku za nyuma."- Rais Dkt Magufuli akifurahia Tanzania kufuzu Fainali za Mataifa ya Afrika #AFCON2019
View attachment 1238150
Twitter kumewaka moto...
Mnyonge ni wewe, wazazi wako, ndugu zako na watoto wako. Acha kuwavika unyonge watanzania majasiri...wee usiombee jambo hilo sisi wanyonge tutapata tabu sana miaka 60 yote hakuwai kutokea mtu wakutusemea kututetea na kutujali nchi ilikua mikononi mwa majizi ya kila namna..eee mola wangu ibaliki nchi yetu rais wetu na wananchi wote.Amina
Mkuu leo nacheza viwanja viwili! Twitter na JF! Charge tu ndo itaniungusha
Mema na mabaya ya mtu hayathibishwi na mapokeo ya watu, it's a factual logic not judgemental.Kama amefanya Mema mengi unafikiri ni kwa nini wafurahie Habari mbaya juu yake Mkuu ?
Mkuu inabidi tuwe online mda wote.Kwa hali ilivyo unaweza ukawa offline dakika chache ukakuta nchi ishauzwa....[emoji23]Mkuu leo nacheza viwanja viwili! Twitter na JF! Charge tu ndo itaniungusha
Pamoja na manyumbu wenzake!Taharuki kubwa labda unayo wewe sisi wananchi tuko gado.
Uko sahihi lakini siyo haki ya kikatiba, by the way kila Mt anahitaji kuwa na privacy. Usishangae wote waliovumisha habari hizi wakachukuliwa hatua. Ni jambo la Busara kufahamisha umma ila sio jambo la lazima.Kuna mtu anaweza kutueleza sababu zilizopelekea kutangazwa kuwa Mkwere alipokuwa angali Rais kuwa alikuwa na maradhi ya TEZI DUME? Sababu kubwa Ilikuwa kwa vile RAIS ni mali ya wananchi hivyo kuna kila sababu wananchi wake kujua juu ya afya yake. Kuficha maradhi yanayomsibu kiongozi wa nchi ndio sababu kubwa ya wananchi kuanza kueneza uzushi usiokuwa na maana yeyote. Kama kweli JPM ni mgonjwa na mnaficha siku ya siku mtakuja kuumbuka; na hilo halitakuwa jambo jema kwani mtakuwa hamjawatendea haki wananchi waliomuweka madarakani!
Ikiwa viceversa harmonize ataweka wapi uso wake wasafi alitoka mazima kwa ahadi ya ubunge kama zawadi ya kusifu 2020Mkuu inabidi tuwe online mda wote.Kwa hali ilivyo unaweza ukawa offline dakika chache ukakuta nchi ishauzwa....[emoji23]