Watanzania tuelezwe ni wapi alipo Rais wetu Mpendwa John Magufuli, ni haki yetu kujua

Watanzania tuelezwe ni wapi alipo Rais wetu Mpendwa John Magufuli, ni haki yetu kujua

Status
Not open for further replies.
Ndio wamebaki kuombana papuchi
IMG-20191019-WA0017.jpeg
IMG-20191019-WA0017.jpeg
 
Uteuzi Nachingwea tayari huko.

Vipi Mjinga wenu kigogo anasemaje huko Twitter kwenye kijiwe cha wasio na kazi akina Maria Sarungi na Fatma Karume??

Jambo ambalo hamlijui Kigogo anawachota akili mkijaa tu anawabwaga kama yule demu wa USA Mange sijui ashapewa talaka aliyokuwa anaidai...??
 
Yule jamaa muuaji kabisa yule khaaaaa
Uteuzi Nachingwea tayari huko.

Vipi Mjinga wenu kigogo anasemaje huko Twitter kwenye kijiwe cha wasio na kazi akina Maria Sarungi na Fatma Karume??

Jambo ambalo hamlijui Kigogo anawachota akili mkijaa tu anawabwaga kama yule demu wa USA Mange sijui ashapewa talaka aliyokuwa anaidai...??
 
Kwamba kuna mtu kafariki dunia na ukweli unafichwa? Hii nchi bila connection mmh!
 
[emoji1434][emoji1434][emoji1434][emoji1434][emoji1434][emoji1434][emoji1434][emoji1434][emoji1434][emoji1434][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji441][emoji441][emoji445][emoji443][emoji445][emoji443][emoji445] Hatimaye Mungu kamshinda shetani[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji28][emoji28][emoji28][emoji120][emoji120]
tapatalk_1571497040087.jpeg
 
Ni haki yao kikatiba kuwa huru kutoa maoni yao.Hata magufuli, wewe mtoa mada,Ndugai,ccm na waovu wote mnamtakia mabaya Lissu kwa kuwa ni haki yenu basi tunawaacha.

Ila kiubinadamu au kwa sisi waungwana hatupendi mtu awaye yeyote afe au aumie.
Biblia imesema Mungu hapendi mwovu awaye yeyote afe katika uovu wake.Magufuli na ccm wengi wao ni waovu kwa hiyo hagupendi mfe bali mwache maovu yenu na mweke nchi mbele kuliko chama.
 
Ni haki yao kikatiba kuwa huru kutoa maoni yao.Hata magufuli, wewe mtoa mada,Ndugai,ccm na waovu wote mnamtakia mabaya Lissu kwa kuwa ni haki yenu basi tunawaacha.

Ila kiubinadamu au kwa sisi waungwana hatupendi mtu awaye yeyote afe au aumie.
Biblia imesema Mungu hapendi mwovu awaye yeyote afe katika uovu wake.Magufuli na ccm wengi wao ni waovu kwa hiyo hagupendi mfe bali mwache maovu yenu na mweke nchi mbele kuliko chama.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom