Watanzania tuelezwe ni wapi alipo Rais wetu Mpendwa John Magufuli, ni haki yetu kujua

Status
Not open for further replies.
Alikuwa huku
 
Kelele za Chura hazimzui Tembo kunywa maji..
Sio vyema kujitokeza kuchangia au kusema kitu kisichojulikana.
 
Siyupo Lindi au na nasikia pana uteuzi umefanyika Leo si Mzee kaufanya au
Nadhani hawa kina Kigogo hawajui wa tendalo! Wako kwenye research ambayo title yake hatuijui! Labda yaweza kuwa kusoma uzwazwa wa wabongo kubeba jambo lilivyo au la kusoma mood ya wabongo kwa muhusika
 
Zitto Kabwe kabakisha hizi siasa za kipumbavu!
 
mlishangilia mlipomtundika lissu shaba, zamu yenu sasa malipo hapa hapa duniani farasi nyie
 
Mkuu tatizo lako Unataka hisia zako ziwe hisia za taifa zima, hata akifa acha afe tu, Tanzania ipo na itaendelea kuwepo tu ,kwani akifa yeye na Tanzania itakufa?
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…