Anamaanisha nini huyu ndugu na haya mafumbo yake, hata Zitto nae simwelewi leo kapost picha ya mama Samia, sijui hata
View attachment 1237148
Mamaaaa mamaaaa mamaaaaa ! Mamaaaa huyo mamaaaaa mamaaa huyooo mamaaa huyooo! Nyambafuuuu - haya isiraeli maliza kazi tujimwage majiani sasa kushangilia kama Diatta kafuga goli yaani
Yaani katika topic nilimuelewaga sana mwalimu wangu wa biology mama Matimbwa pale Mkwawa ni jinsi hii kitu inafanya kazi. Basi tu sikuwa dokta
Najisikia raha sana kusoma ibara ya 37(5) ya katibu yetu tukufu ya Jamhuri ya Muungano ya Tanzania. Najimwambafai sanaaaa yaani kuisoma - eeeh Mungu wa Isaka na Yakobo na iwe kama mapenzi yako yatakavyo..
View attachment 1237738