Watanzania tuelezwe ni wapi alipo Rais wetu Mpendwa John Magufuli, ni haki yetu kujua

Status
Not open for further replies.

Samahani mkuu, Kigogo alisema Ofisi ya DPP watu wameondoka na CPU na kweli leo Mambosasa na magazeti machache wameandika habari hiyo hivyo Kigogo hatungi habari bali anaziibua kwa wakati muafaka na jinsi inavyotakiwa kwani habari nyingi siku hizi zinachelewa au hazitoki kabisa kutokana na sheria zinazobana magazeti na kutokuwa huru hivyo usichukie watu kumsikiliza Kigogo zaidi kuliko Magazeti, Radio na TV zetu,
 
Kwann ume mtag uyo mzee nin Tafsir gan
 
Utakuwa umeishia darasa la pili E
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…