Victoire
JF-Expert Member
- Jul 4, 2008
- 24,386
- 57,588
Upi ?Ule utabiri wa lema unataka kutimia??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Upi ?Ule utabiri wa lema unataka kutimia??
Tupo nae na tutaendelea kuwa nae.Kwani akiwa hatunae wewe utapyngukiwa
Mimi sina cha kusema ila nawaunga mkono wa Tanzania huyu mtu hapanamkuu najizuiya sana ila nakwama [emoji1787]
Hueleweki,ni bora ukanyamazaTupo nae na tutaendelea kuwa nae.
Kumuamini kigogo na stori zake za kutunga tunga ni kujikosea heshima.
Watanzania amkeni. Sio kila mtu anastahili attention yenu. Hao wapuuzi type ya kigogo wamegundua vilaza wengi wanaotumia mitandao wanapenda story za umbea umbea na wao wanapita humo humo.
Hakuna kitu kama hicho hapo chini. Huyu anataka kuona reaction za watu!
37.-.
(5) Endapo kiti cha Rais kitakuwa wazi kutokana na Rais kufariki dunia, kujiuzulu, kupoteza sifa za uchaguzi au kutomudu kazi zake kutokana na maradhi ya mwili au kushindwa kutekeleza kazi na shughuli za Rais, basi Makamu wa Rais ataapishwa na atakuwa Rais kwa muda uliobaki katika kipindi cha miaka mitano na kwa masharti yaliyoelezwa katika ibara ya 40, kisha baada ya kushauriana na chama cha siasa anachotoka Rais atapendekeza jina la mtu atakae kuwa Makamu wa Rais na uteuzi huo utathibitishwa na Bunge kwa kura zisizopungua asilimia hamsini ya Wabunge wote. Baba Swalehe
Alisema pia mbowe amekula bil 1.9 za chadema, ina maana ni kweli?vick, ukisema hivyo ina maana kigogo ni super kupata taarifa. These are very very secret info, sasa amazipataje?
No secrets pale. Kigogo unamfahamu in person ? Simfahamu ila pia huenda anafanya kazi ofisi zile zile.
alichangia kuhusu kifungu hicho kama sisahauKwann ume mtag uyo mzee nin Tafsir gan
Hata kama halitokei leo, ila ujue liko njiani. Watu wanaoteseka kwa chuki ya huyu Jiwe ni wengi. Machozi yao, manung'uniko yao na damu zilizomwagika Mungu anaziona.
Hivi kweli ni sawa kuwatoa kazini anaowaita vyeti feki na kumuacha Bashite? Kweli ukipiga goti iko siku Mungu wetu aliye hai atasikia.
Time will tell. I have a strong feeling that Mr president will make it. He will not die. He will live .
je,kumpiga risasi tundu lissu,ni roho gani hiyoTena ni tabia za kishetani kuwaombea wenzetu mabaya.
Hueleweki,ni bora ukanyamaza
Mtasubiri sana. Hafi mtu.