Watanzania tuelezwe ni wapi alipo Rais wetu Mpendwa John Magufuli, ni haki yetu kujua

Watanzania tuelezwe ni wapi alipo Rais wetu Mpendwa John Magufuli, ni haki yetu kujua

Status
Not open for further replies.
Hivi inakuaje wewe muda wote unafuatilia other people’s businesses ?
When do you get time to work on yourselves and your dreams?

Most Tanzanians are mentally sick people.
 
...hakika mkuu kumtangazia kiongozi mkuu wa nchi uzushi wa namna hii nisawa na uhaini...sheria ichukue mkondo wake ili iwe fundisho kwa wapumbavu wengine
Kweli humuweka mtu huru. Watu wangepewa ukweli haya mambo yasingekuwepo. Tizama suala la Kitaifa linajadiliwa Kiitikadi ya Vyama. Aliyetufikisha hapa sijui ni nani nae tumuite Mhaini.
 
Uko sahihi lakini siyo haki ya kikatiba, by the way kila Mt anahitaji kuwa na privacy. Usishangae wote waliovumisha habari hizi wakachukuliwa hatua. Ni jambo la Busara kufahamisha umma ila sio jambo la lazima.

Wananchi wanategemea kuongozwa na serikali na watu wenye busara!!! Are you implying that our leaders lack BUSARA?
 
FB_IMG_1571494041719.jpg
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom