Watanzania tuelezwe ni wapi alipo Rais wetu Mpendwa John Magufuli, ni haki yetu kujua

Watanzania tuelezwe ni wapi alipo Rais wetu Mpendwa John Magufuli, ni haki yetu kujua

Status
Not open for further replies.
Siyo hekima kuyafurahia matatizo ya mwenzako hata kama mnatofautiana kwa kiwango gani.wote sisi tuna mabaya yetu hata watoto wetu kwenye familia zetu sometimes kuna wakati wanatuchukia ila hawatuombei mabaya kama tunavyojaribu kuwaombea wenzetu.

Tuwe na mioyo tusiongozwe na hisia!!;
Sure
 
Hata JK aliwahi kuombewa itikafu ili afe, ila leo tunaambiwa na rais bora kuwahi tokea. Hakuna jipya kwa akili za watanzania

Onyesha popote nilipowahi kumsifia JK akiwa madarakani au akiwa ametoka. Mimi sio bendera fuata upepo.
 
[emoji1434][emoji1434][emoji1434][emoji1434][emoji1434][emoji1434][emoji1434][emoji1434][emoji1434][emoji1434][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji441][emoji441][emoji445][emoji443][emoji445][emoji443][emoji445] Hatimaye Mungu kamshinda shetani[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji28][emoji28][emoji28][emoji120][emoji120]View attachment 1238464
kwa barua ya msigwa?
 
Na likatokea la kutokea,na wengi wenu,kwa umoja wenu usio rasmi,
Tumewaona kule tweeter tangu jana na all day leo.

Ni kama kuna jambo mnalolishabikia kuhusu afya ya kiongozi fulani wa nchi hii.

Wanasiasa na wanaharakati uchwara kina fatma karume,zitto kabwe,maria sarungi na kundi lenu la kigogo!
Wote mko kule tena mkichagizana kama tukio zuri sana mnalisubiri litokee na ili furaha yenu itimie.

Kwa ushabiki ule mtakuja kulalamika na madhara uanayoweza kuwapata kutoka kwenye jamii ya watakaoudhika na aina ya ushabiki wenu,tena kwenye mambo ambayo inaelekea mnayajua nyinyi wenyewe kwa undani?

Anyway natoa angalizo na mod"s naomba msiufute uzi huu ili siku zijazo uwe shahidi wa ujinga wa baadhi ya watanzania wenzetu hawa wasiojitambua..

VIVA TANZANIA [emoji1241]
Tangia Jana nimeupima ukomavu wa kiakili wa watanzania wengi, kweli tuna safari ndefu. Niliowadhania miaka ya mbele wanaweza kuliongoza Taifa hili, wamethibitisha uchanga wa kifikra na utoto wao.
 
Na likatokea la kutokea,na wengi wenu,kwa umoja wenu usio rasmi,
Tumewaona kule tweeter tangu jana na all day leo.

Ni kama kuna jambo mnalolishabikia kuhusu afya ya kiongozi fulani wa nchi hii.

Wanasiasa na wanaharakati uchwara kina fatma karume,zitto kabwe,maria sarungi na kundi lenu la kigogo!
Wote mko kule tena mkichagizana kama tukio zuri sana mnalisubiri litokee na ili furaha yenu itimie.

Kwa ushabiki ule mtakuja kulalamika na madhara uanayoweza kuwapata kutoka kwenye jamii ya watakaoudhika na aina ya ushabiki wenu,tena kwenye mambo ambayo inaelekea mnayajua nyinyi wenyewe kwa undani?

Anyway natoa angalizo na mod"s naomba msiufute uzi huu ili siku zijazo uwe shahidi wa ujinga wa baadhi ya watanzania wenzetu hawa wasiojitambua..

VIVA TANZANIA [emoji1241]
Watapotea wao na nitashangilia!
 
Na likatokea la kutokea,na wengi wenu,kwa umoja wenu usio rasmi,
Tumewaona kule tweeter tangu jana na all day leo.

Ni kama kuna jambo mnalolishabikia kuhusu afya ya kiongozi fulani wa nchi hii.

Wanasiasa na wanaharakati uchwara kina fatma karume,zitto kabwe,maria sarungi na kundi lenu la kigogo!
Wote mko kule tena mkichagizana kama tukio zuri sana mnalisubiri litokee na ili furaha yenu itimie.

Kwa ushabiki ule mtakuja kulalamika na madhara uanayoweza kuwapata kutoka kwenye jamii ya watakaoudhika na aina ya ushabiki wenu,tena kwenye mambo ambayo inaelekea mnayajua nyinyi wenyewe kwa undani?

Anyway natoa angalizo na mod"s naomba msiufute uzi huu ili siku zijazo uwe shahidi wa ujinga wa baadhi ya watanzania wenzetu hawa wasiojitambua..

VIVA TANZANIA [emoji1241]
Ulishangilia au kuchukizwa na kitendo cha kumpiga risasi Tundu Lissu?
Tuanzie hapo mengine yafuate.
 
Siku zote wahenga husema mkuki kwa Nguluwe kwa binadamu kazi
Kunawakati watu tunaona kama upande tulio po Sisi ndio mzuri hata wengine walalmike vp tunaona sio chochote
Sasa wao nao wanaombea nanyi mpate shida ndio maana wanafurahia mabaya ya upande mwingine
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom