Watanzania tuelezwe ni wapi alipo Rais wetu Mpendwa John Magufuli, ni haki yetu kujua

Watanzania tuelezwe ni wapi alipo Rais wetu Mpendwa John Magufuli, ni haki yetu kujua

Status
Not open for further replies.
Mungu msaidie rais wetu mpendwa jpm,wabaya wote washindwe kwa neno lako,na mabaya yote wanayomwombea yasimfike
Nakuta ni vita kuu btn JiwelifeFigters na JiweLifeHaters


Kwani kunaaaaaaniiii?

Nawasihi waTANZANIA tuwe na subra
 
Mungu msaidie rais wetu mpendwa jpm,wabaya wote washindwe kwa neno lako,na mabaya yote wanayomwombea yasimfike
Tangu friji langu ligeuke la kuhifadhia nyanya badala ya samaki na kuku neno la bwana kitimie tu basi.
 
Mungu msaidie rais wetu mpendwa jpm,wabaya wote washindwe kwa neno lako,na mabaya yote wanayomwombea yasimfike
Akipata nguvu natamani apitie huu uzi kuna la kujifunza.HUU UZI UNAMPIMA ALIVYO VICHWANI MWA WATAWALIWA WAKE.
 
Mungu msaidie rais wetu mpendwa jpm,wabaya wote washindwe kwa neno lako,na mabaya yote wanayomwombea yasimfike
Nadhani hawa kina Kigogo hawajui wa tendalo! Wako kwenye research ambayo title yake hatuijui! Labda yaweza kuwa kusoma uzwazwa wa wabongo kubeba jambo lilivyo au la kusoma mood ya wabongo kwa muhusika
 
Mungu msaidie rais wetu mpendwa jpm,wabaya wote washindwe kwa neno lako,na mabaya yote wanayomwombea yasimfike
Huu uzi daa unakimbia balaa, lakini kifo sio kizuri hata kama mtu humpendi wala kumuhitaji
 
Mungu msaidie rais wetu mpendwa jpm,wabaya wote washindwe kwa neno lako,na mabaya yote wanayomwombea yasimfike
Sisi twajua ni mgonjwa hapo wamejaribu kufanya publicity ili ionekane yupo safi.
Teuzi zote zinafanywa na yeye hivyo sishangai
 
Mzuqa!

Hii Lugha ya malkia kweli ilikuja na meli. Hule mlingoti wa kupeperusha bendera nilidhani unaitwa tu flagpost kwa Kiingereza kumbe hata jina la mast linatumika kwa mfano the flag is flying half mast yani nusu mlingoti.

Aidha Kiingereza kinachanganya zaidi unaweza kutamka neno moja lakini ikawa na tofauti katika maandishi mfano morning na mourning.

Waiter kaa stendby!

View attachment 1238717

Cc Etwege Magonjwa Mtambuka
Tulia wewe mporipori fanya kazi wacha porojo.
 
Acha mihemko ongea kistaharabu basi matusi ya nini
We ndo unatakiwa upigwe ban kwa kutoheshimu haki za binadamu...
We ungekuwa na uwezo ungeweza kumuua Raisi wetu...
You're the one who deserve to be banned from from JF even for life...
Jinga kabisa wewe.
 
Mungu msaidie rais wetu mpendwa jpm,wabaya wote washindwe kwa neno lako,na mabaya yote wanayomwombea yasimfike
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom