Watanzania tuelezwe ni wapi alipo Rais wetu Mpendwa John Magufuli, ni haki yetu kujua

Watanzania tuelezwe ni wapi alipo Rais wetu Mpendwa John Magufuli, ni haki yetu kujua

Status
Not open for further replies.
Kama mnasubiri avute basi naomba kuwa taarifu Milango yakuzimu kamwe haitomuweza Rais wa jamuhuri Ya muungano wa Tanzania.

Atatikiswa ila hawawezi kuigusa roho yake. Nikweli nimkali ila ni kiongoz shupavu alie na maono ya kweli kwa taifa letu.
Chuki na hasira sio za wananchi ila kundi lawapumbavu na n vilaza fulani. Ndugu zangu kama vile jina lilivyopita ndivyo usalama wake utakuwa naye. Wanyonge wengi sana wamepata haki zao utawala huu na sishangai chuki hii nikwa kaz nzuri anafanya.

Rais amkuwa na ratiba ambayo sio yakawaida nauwenda imemchosha. Kiufupi uwenda sasa atafuwata ratiba nakupunguza kazi. Pia ningeshauri wafanyakaz wa Ikulu wampeleke watoto acheze nao huwa ni wazuri sana kupunguza stress.

Naiman baada ya mapumziko rais wetu atarud kulitumikia taifa lake.
Mungu ibariki tanzania na watu wake na Viongoz wake. Amen
Malaika walimwomba mda mrefu akawaongoze ili mabeberu wasije kuchukua uchumi wao
 
Ulinzi ni ulinzi ukiongezwa ni sawa na ukipunguzwa huku ukiongezwa ni sawa pia.
Cha muhimu ni Mh.Rais kuombewa ili Mwenyezi Mungu aendelee kumpigania kutetea wananchi.
Haiwezekani wachawi na walozi wajipime nguvu na Amiri Jeshi Mkuu kiasi ya kushindwa kuendelea na majukumu yake alafu wale anaowapigania wanakenea meno.
 
Kuna whatsapp zinasambaa zinasema kuwa, habari za JPM kuwa amefariki si za kweli bali alipata heart attack na amekimbizwa Dar na helicopter ya jeshi then Afrika Kusini then Germany...

Huo ujumbe unaonesha umetoka kwa Vicky Emmanuel Nchimbi, sifahamu ukweli wake na unaambatana na ujumbe wa kigogo unaosema "wanangoja nini kumpa kimeo mama Samia"?

Sina uwezo wa kuapandisha hapa.

Na mwingine unasema...

There have been reports of men suffering heart attacks or chest pain after taking the popular drug V.
V cases from kijiweni 1. Abacha 2 Dr Omar
 
viva
Screenshot_20191020-124335_1.jpeg
 
Basi inaonesha fununu hizi ni kweli. Kinachofanyika sasa ni transfer of power ili wahuni wasifanye yao
 
Umeandika nini? Ulipoanza nilihisi huyu jamaa ni wa top level, but uliposema ulitamani kulia na tope zilizofuatia baadaye nimetambua wewe ni top 3 ya watu wasiojitambua nchini!
 
Hao waliozusha watuambie yuko wapi maana ndiyo wanajifanya kuzijua sana taarifa za Mh Rais.

Huwezi kuzusha tu taarifa halafu ukaachwa tu haiwezekani.
Waliozusha wameshasema yupo wapi,wewe ambae umekanusha ndo inatakiwa utueleze yupo wapi ili kuwaumbua wazushi
 
Najaribu kuwaza, malaika akimtokea na kumwambia ili kikombe hiki kisikupitie unapewa dakika 10 kumrudishia ubunge yule jamaa na kumwita nyumbani pia watumishi wa vyeti fake walipe stahili zao.
Nini kitatokea ndani ya dakika hizo 10?

Hapo lazima mshauri wake mkuu Daudi Bashite atazimia
 
Kama mnasubiri avute basi naomba kuwa taarifu Milango yakuzimu kamwe haitomuweza Rais wa jamuhuri Ya muungano wa Tanzania.

Atatikiswa ila hawawezi kuigusa roho yake. Nikweli nimkali ila ni kiongoz shupavu alie na maono ya kweli kwa taifa letu.
Chuki na hasira sio za wananchi ila kundi lawapumbavu na n vilaza fulani. Ndugu zangu kama vile jina lilivyopita ndivyo usalama wake utakuwa naye. Wanyonge wengi sana wamepata haki zao utawala huu na sishangai chuki hii nikwa kaz nzuri anafanya.

Rais amkuwa na ratiba ambayo sio yakawaida nauwenda imemchosha. Kiufupi uwenda sasa atafuwata ratiba nakupunguza kazi. Pia ningeshauri wafanyakaz wa Ikulu wampeleke watoto acheze nao huwa ni wazuri sana kupunguza stress.

Naiman baada ya mapumziko rais wetu atarud kulitumikia taifa lake.
Mungu ibariki tanzania na watu wake na Viongoz wake. Amen
Mkuu kwani kuna nini ni hawa mabeberu wanatutisha? au ni vibaraka wao JPM atalala na mbele watanyooka
 
Acheni kupotosha watu tulikuwa tunafuwatilia msafara mwanzo mwisho.

Shida ilianza Masasi na sina uwakika kama watu wanao angalia afya ya Rais waliona lile tukio sisi tulio kuwa mbali tuliona kabisa baada ya pale msafara uliondoka na kwenda kijijifulan baadae ukarud ila Rais aliondoka ktk njia ambayo mpaka sasa no one know wala siwezi kuandika hapa as nimfuwasi wa kuto toa kila siri.

Usiku ule ambao nyie mnauliza yupo wapi Taifa lilikuwa kazini na nina dhani hakuna alie lala.

Ila Taifa letu lina tunu yaaman na upendo huwez amini watu walikuwa wamoja kuliko hii mambo ya mtandao kiukweli natamani kulia ila Wazee wetu amabo ni top secret number one wanampenda sana kijana wao kiukweli sina uwakika kama kuna chama kina unity kama ccm.

Nataman kulia ila navipongeza vyombo vyote vya ulinzi na usalama na top secret ya Rais kiukweli hawa ni mashujaa shime serikali yangu na taifa langu.

Tuache upotoshaji... Japo from now Rais atapunguza Ratiba za kaz nyingi nakupata muda wakupata mapumziko. Pia kam mnkumbuka anamualiko wa German kamamnakumbuka sim ya Angel kwa Rais..
Kwa hiyo huyo Angela Maiko anataka Mtu aache kazi aende, kwa nini yeye asije huku?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom