Watanzania tuelezwe ni wapi alipo Rais wetu Mpendwa John Magufuli, ni haki yetu kujua

Watanzania tuelezwe ni wapi alipo Rais wetu Mpendwa John Magufuli, ni haki yetu kujua

Status
Not open for further replies.
Hii imedhihirisha kuwa Rais John Joseph Pombe Magufuli ni kipenzi cha watanzania yeye anawapenda na wao wanampenda baada ya Rais wa watanzania kujichimbia ikulu kama kawaida yake

Watanzania wameanza kuwa na hamu naye wanahisi kukosa kusikia sauti ni kama kupoteza ala nzuri masikioni mwao,
Ni hakika 2020 Magufuli atachukua nchi kweupe saa asubuhi kwa mahaba wanayoyaonyesha!

Magufuli habagui watu kwa vyama wala dini wote anawapa maendeleo!
Kigogo amesemaje mkuu?
 
Aiseee basi wauguzi wa Muhimbili lasima walipigwa biti isitoke hata nusu taarifa
 
Tatizo hizi za kunyapia nyapia zimekuwa nyingi sana. Yote kwa yote apone tuu haraka arejee katika majukumu yake.
 
Toka meja ya watu wanaovaa suti nyeusi ni kuwa alipata mshituko wa moyo, akakimbizwa Muhimbili, then ikawa fedheha akapelekwa kwa Madiba then kwa mabeberu ujerumani aliko patiwa matibabu ya mwanzo kabisa.

Kwa sasa anaendelea (haijulikani vizuri au vibaya) ila yuko Ujerumani kwa matibabu ya moyo
Kwa hiyo unazani ni lini Msigwa atakuja kutuambia kama ulivyotuambia wwe maana yeye ndiye msemaji wa Ikulu!?
 
Toka meja ya watu wanaovaa suti nyeusi ni kuwa alipata mshituko wa moyo, akakimbizwa Muhimbili, then ikawa fedheha akapelekwa kwa Madiba then kwa mabeberu ujerumani aliko patiwa matibabu ya mwanzo kabisa.

Kwa sasa anaendelea (haijulikani vizuri au vibaya) ila yuko Ujerumani kwa matibabu ya moyo

kumbeeee
 
Ngoja tusubiri taarifa kutoka Ikulu zikiwa na mapichapicha mazuuuuri yanayoonyesha mandhari safi huku akizungukwa na walinzi wake pale anapopiga magoti
 
Ni siku ya tatu leo kumekuwa na taarifa zinazotolewa na baadhi ya watuamiaji wa mitandao ya kijamii kuhusu afya ya Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania alipokuwa ktk ziara mikoa ya kusini.

Na wengine kufika mbali kabisa kwa kuzusha kabisa taarifa za kifo kitu ambacho baadhi ya wapinzani wa kasi ya awamu ya tano wamekuwa wakifurahi na kushangilia katika mitandao na kuleta taharuki majumbani na mitaani kiasi watu wengi kuuliza Nini kinaendelea.

Taarifa hizi zimekuwa zikitolewa na watz ndani na nje ya nchi wakati Ikulu haijatoa taarifa yoyote kuhusu kuwa Rais ni mgonjwa.

Nadhani tuna sheria na kanuni kuhusu kutoa taarifa hasa zinazohusu usalama wa nchi Sasa hawa wanaotoa taarifa za kuzusha tu toka katika chanzo ambacho hakijulikani na kuleta taharuki wanatakiwa kufanywa Nini na mamlaka husika kisheria.

Nadhani mamlaka husika Kuna haja ya kutoa mtu mmoja kama mfano ili liwe fundisho kwa wengine wenye nia kama hii.

Ukisoma mitandao ya kijamii ndiyo utajua Nini kinasambazwa na kuleta maneno chini kwa chini na taharuki mpaka makanisani watumishi wameanza maombi ya kukemea kinachoendelea.

Kama huna taarifa acha kuzusha taarifa na kama una taarifa sahihi basi jitoe muhanga kwa kutoa taarifa kamili inayoeleweka sio kutoa taarifa za kuwachanganya watz.

Watz wengi wanaelewa sana nia mbaya za watu kwa serikali hi na kama ndiyo kutafuta mtaji wa kura ktk uchaguzi wa November basi hapo mmepata zero kabisa.

Watu wa Cyber happy mna kazi ya kufanya kuondoa uchafu kama huu katika nchi yetu.

Ni muhimu kuwa na taarifa za kweli kuliko uzushi.....tena wakome wote wenye nia mbovu na Serikali.
Tulia wewe haujui kitu.
 
Tusilazimishane kulishana matango pori

Nina sema tuendelee kuhubiri amani wakati wote

Upendo ndo suala muhim

Britannica
 
Kwa hiyo unazani ni lini Msigwa atakuja kutuambia kama ulivyotuambia wwe maana yeye ndiye msemaji wa Ikulu!?
Kikawaida yakuwa mazuri au mabaya ndio atajitokeza kwa sasa lazima wajipange nani anapewa majukumu ya urais akishaaminika ndio taarifa inatoka
 
Nanunu roho/moyo wa huruma mwenye nao aje pm.....
Mm naona huu wangu umeshindwa kua na uzalendo....
 
Nyimbo za kumuaga Nyerere zilitungwa kwa ustadi mkubwa na hisia kali sana, kwa sasa mtunzi hatuko naye tena.... pumzika pema Captain John Komba.
 
Angel na Jiwe waliongea kwa lugha gani?
Acheni kupotosha watu tulikuwa tunafuwatilia msafara mwanzo mwisho.

Shida ilianza Masasi na sina uwakika kama watu wanao angalia afya ya Rais waliona lile tukio sisi tulio kuwa mbali tuliona kabisa baada ya pale msafara uliondoka na kwenda kijijifulan baadae ukarud ila Rais aliondoka ktk njia ambayo mpaka sasa no one know wala siwezi kuandika hapa as nimfuwasi wa kuto toa kila siri.

Usiku ule ambao nyie mnauliza yupo wapi Taifa lilikuwa kazini na nina dhani hakuna alie lala.

Ila Taifa letu lina tunu yaaman na upendo huwez amini watu walikuwa wamoja kuliko hii mambo ya mtandao kiukweli natamani kulia ila Wazee wetu amabo ni top secret number one wanampenda sana kijana wao kiukweli sina uwakika kama kuna chama kina unity kama ccm.

Nataman kulia ila navipongeza vyombo vyote vya ulinzi na usalama na top secret ya Rais kiukweli hawa ni mashujaa shime serikali yangu na taifa langu.

Tuache upotoshaji... Japo from now Rais atapunguza Ratiba za kaz nyingi nakupata muda wakupata mapumziko. Pia kam mnkumbuka anamualiko wa German kamamnakumbuka sim ya Angel kwa Rais..
 
Ni haki na uhuru wa binadamu kupenda na kutokupenda, tambua watu wana hulka ya kupenda na kuchukia bro usilazimishe watu wawe na same perspectives never. Trump daily anatukanwa ata live hivi na watu wanaachwa. Acha kutishia watu. Kwa wenye hofu ya Mungu tuombee upendo amani na mshikamano kwa watu wote pasi kujali itikadi zetu
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom