Watanzania Tujitokeze Kulaani na Kukemea Vikali kauli Chafu za Mdude Nyagali kwa Rais Wetu

Wewe wazazi wako walizaa hasara tupu
 
Naifahamu vyema sana sheria hiyo na ndio maana nikasema kwa kauli zake za jana anapaswa kufunguliwa kesi ya uhaini.maana ametishia maisha ya Rais wetu mpendwa.
Acha uongo . Angekuwa ametishia maisha ya rais immediately angekuwa amewekwa kizuizini maana anajulikana alipo. Punguza chuki na upande wa pili na ujue in longrun what u are doin (boot licking) won't paying you off
 
Panic mode, issue ya GenZ wa Kenya imefanya viongozi wengi wa Africa kuwa kwenye panic mode.

Ulaya, America, Asia nk ambako kuna maisha mazuri na matumaini ya watu kuishi bado kuna UPINZANI.
Siasa za upinzani zimeikuta CCM Iko offguard.
Vijana wa Tanzania wana imani kubwa sana tena sana na serikali ya CCM,kwa sababu wameona namna ilivyo Sikivu kwao,kuwapa mahitaji yao pamoja na kuwatengenezea fursa mbalimbali za ajira na kuwawezesha mitaji kwa ajili ya kufungua na kuanzisha shughuli za kiuchumi.
 
Acha uongo . Angekuwa ametishia maisha ya rais immediately angekuwa amewekwa kizuizini maana anajulikana alipo. Punguza chuki na upande wa pili na ujue in longrun what u are doin (boot licking) won't paying you off
Umeona Alichokiandika siku ya jana? Au unakurupuka tu bila kujua Alichokiandika na kukisema?
 
Huo ndio ukweli ambao hutaki kukubari

Hayo maneno uliyoandika, let's say angeandika Mdude ungesema ni mgonjwa wa akili

Ila because umeandika ww then unaona ni Sawa kabisa
Akili yangu haiwezi kulingana na mdude hata kidogo.ni sawa na kichuguu na mlima.mimi ni mlima na mdude ni kama kakichuguu tu
 
Anastahili na bado
 
Tunalaani jeshi la polisi kuwakamata na kuwaweka kizuizini wanachama wetu 427 bila kuwaeleza makosa yao.
 
..
 

Attachments

  • downloadfile-36.jpg
    186.4 KB · Views: 1
Luca nashida na million moja chap nichomolee kwenye zile unazopewaga plz 😭😭😭
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…