Watanzania tujiulize Maswali muhimu ya Kibiashara kuhusu bandari zetu kwa dunia ya leo

Watanzania tujiulize Maswali muhimu ya Kibiashara kuhusu bandari zetu kwa dunia ya leo

I have 2 questions
1.Je in kweli Serikali yetu inakosa trillion 1 kuwekeza kwenye bandari, hadi kuamua kuwapa D.P world au kuna watu wanatafutiwa ulaji kupitia uwekezaji huo?
2.Kama issue ni ufanisi pale bandarini,Rais kama Kiongozi wa Nchi anashindwaje kusimamia ufanisi huo au kuna makundi ya watu wanatumia bandari hiyo wana power kuliko yeye,na kama ndivyo kuna maana gani ya yeye kuwa Rais?
 
Hata Mombasa kwa sasa wanaendesha kusogeza siku, wanajenga kwa mkataba bandari mpya kubwa zaidi huko Lamu.

Dunia ya biashara ya bandari imebadilika sana. Ina ushindani mkubwa sana. Kama hauna mitaji mikubwa hufiki popote, utabaki kuambulia vimizigo uchwara tu. Tanzania leo unaweza kuagiza mali kutoka Ulaya basi ukaipata baada ya miezzi minne. Wakati inatakiwa ndani ya 14 ikichelewa sana mwezi mmoja tu uwe umeshapata mzigo wako. Unafahamu sababu zake?
Ni mjinga (huhitaji kuelemishwa) tu asiyejua kuwa moja ya vichochezi vya uchumi ni uimara na ubora wa miundombinu ya usafiri (ardhini, majini na angani).

Hivyo basi, kuendelea kuelezea manufaa ya uwekezaji bandarini, badala ya namna na jinsi ya uwekezaji huo, ni dhahiri ni kutetea ubatili wa vifungu vya IGA.

Swali kwako FaizaFoxy, ulijibu kwa nia njema kabisa.

Kwani hakuna njia mbadala na ya win-win situation (nipe-nikupe) ya kuboresha bandari zetu?
 
Kwa kujibu swali lako,kweli DP world wala dubai hawaendeshi bandari yetu,.namimi pia nakuuliza swali

Nijuavyo mimi mkataba wa dp world ni wa milele na hakuna nafasi ya kuvunja kama ikitokea sintofahamu,kweli si kweli?
 
Leo tuwache jazba, kejeli, matusi na ujinga. Hii kwa pande zote mbili, zinzoona DP World haifai na zinazoona DP World inafaaa tujadiliane kiustaarabu tuone "options " zetu ni zipi, zile zenye faida tuishauri serikali izifate, zile zisizo na faida tuishauri serikali isizifate.

Kama una jibu au majibu sawa, kama hauna majibu bali una swali lako pia, uliza tulijadili. Maswali na majibu yawe mafupi ili mjadala unoge.

Wale wa zamani tujikumbushe mijadala ya Jambo Frums ilivyokuwa inanoga na wale wa sasa wapunguze jazba.

Uongozi wa JF, @moderators tunahitaji muulinde huu uzi kwa uwepo wenu wa karibu, ili mjadala uende vizuri. Au nipeni u moderator wa mjadala huu tu ili niuendeshe inavyopaswa, mkiona siuendeshi kwa haki, mauodoa u miderator wangu.

Tuwe great thinkers ambao hata mtu atakaesoma huu mjadala aseme aaah, hyu ana point, aah huyu hili tumeliona.

Tuwe na maswali mengi ya kujiuliza lakini tujikite kwenye mada. Nalianzisha:

1) Sasa hivi nielewavyo mimi DP World wala Dubai hawaendeshi bandari yetu yoyote, kweli siyo kweli?


Umezidi kutupigia kelele, kwani unapewa hela kila siku? Imetosha sasa.
 
1) Sasa hivi nielewavyo mimi DP World wala Dubai hawaendeshi bandari yetu yoyote, kweli siyo kweli?
Ujue nyie watu mlio nje ya system kuna mambo mengi hamuelewi,ngoja nikueleweshe kidogo.
1.IPO hivi kila kitu kuhusu mikataba ya uendelezaji wa bandari na DP world ilikuwa tayari-issue ambayo ilikuwa bado ni execution ya mkataba.
2.huu mkataba kuja public-fahamu kuna msamalia mwema,ulipita mkononi mwake akaupiga copy na kuutoa kwa umma ujione.issue hapa ni kuwa aliofanya hiki kitendo alifanya kutokana na uchungu na Nchi au masilahi ya kisiasa??
-haijalishi sababu iliyopelekea huyo jamaa kufanya hivyo,but unachotakiwa uamini ni kuwa kwa 99% sasa hivi jamaa amisha patikana na ni marehemu
3.Huo Mkataba mkataba kupelekwa Bungeni,ni njia ya kupoza joti la kisiasa maana haikutakiwa kwenda huko.
Kwa kujibu swali lako,each & everything kuhusu DP world kimisha kamilika na walikuwa wamisha anza preliminary jobs, how & when siwezi kuelezea wala hapa.
 
Serikali haina makubaliano na DP World. Serikali ina makubaliano na Serikali ya Dubai.

Dp World hivi unavyoongea wanakaa chini siku zote na PTA, hao ndiyo walioainishwa kwenye makubaliano wakae chini na kuiongelea mikataba.

Na mkurugenzi Mkuu wa PTA kaelezea vizuri sana, kinachoendelea. Jisomee: TPA: Truth about port agreement with Dubai firm
PTA = TPA. Shuleni ulienda kusomea ujinga?
 
Leo tuwache jazba, kejeli, matusi na ujinga. Hii kwa pande zote mbili, zinzoona DP World haifai na zinazoona DP World inafaaa tujadiliane kiustaarabu tuone "options " zetu ni zipi, zile zenye faida tuishauri serikali izifate, zile zisizo na faida tuishauri serikali isizifate.

Kama una jibu au majibu sawa, kama hauna majibu bali una swali lako pia, uliza tulijadili. Maswali na majibu yawe mafupi ili mjadala unoge.

Wale wa zamani tujikumbushe mijadala ya Jambo Frums ilivyokuwa inanoga na wale wa sasa wapunguze jazba.

Uongozi wa JF, @moderators tunahitaji muulinde huu uzi kwa uwepo wenu wa karibu, ili mjadala uende vizuri. Au nipeni u moderator wa mjadala huu tu ili niuendeshe inavyopaswa, mkiona siuendeshi kwa haki, mauodoa u miderator wangu.

Tuwe great thinkers ambao hata mtu atakaesoma huu mjadala aseme aaah, hyu ana point, aah huyu hili tumeliona.

Tuwe na maswali mengi ya kujiuliza lakini tujikite kwenye mada. Nalianzisha:

1) Sasa hivi nielewavyo mimi DP World wala Dubai hawaendeshi bandari yetu yoyote, kweli siyo kweli?
Tulipo fika na kwa kua mwanzo wananchi hakushirikishwa ,limkataba lifutiliwe mbali tuanze upya , mliohongwa rudisha pesa za watu
 
Leo tuwache jazba, kejeli, matusi na ujinga. Hii kwa pande zote mbili, zinzoona DP World haifai na zinazoona DP World inafaaa tujadiliane kiustaarabu tuone "options " zetu ni zipi, zile zenye faida tuishauri serikali izifate, zile zisizo na faida tuishauri serikali isizifate.

Kama una jibu au majibu sawa, kama hauna majibu bali una swali lako pia, uliza tulijadili. Maswali na majibu yawe mafupi ili mjadala unoge.

Wale wa zamani tujikumbushe mijadala ya Jambo Frums ilivyokuwa inanoga na wale wa sasa wapunguze jazba.

Uongozi wa JF, @moderators tunahitaji muulinde huu uzi kwa uwepo wenu wa karibu, ili mjadala uende vizuri. Au nipeni u moderator wa mjadala huu tu ili niuendeshe inavyopaswa, mkiona siuendeshi kwa haki, mauodoa u miderator wangu.

Tuwe great thinkers ambao hata mtu atakaesoma huu mjadala aseme aaah, hyu ana point, aah huyu hili tumeliona.

Tuwe na maswali mengi ya kujiuliza lakini tujikite kwenye mada. Nalianzisha:

1) Sasa hivi nielewavyo mimi DP World wala Dubai hawaendeshi bandari yetu yoyote, kweli siyo kweli?
ccm wametukosea kama Taifa leo tunajadili kuuza bandari karne ya 21 badala ya kujadili bandari zetu kuzifanya free ports.
 
Mkuu ndio maana nilimuuliza kama 'agreement' inaridhiwa na Bunge. Alikimbia na mwisho akasema hajui.
Ukweli ni kwamba katiba ya JMT (1977) Sura ya Tatu sehemu ya kwanza Bunge (63)-1(e) inasema bila utata '' Kujadili na kuridhia mikataba yoteinayohusu Jamhuri ya Muungano na ambayo kwa masharti yake inahitaji kuridhiwa''

Kwa mantiki hiyo kilichoridhiwa Bungeni ni Mkataba ingawa Spika ambaye ni Mwanasheria na Prof wa chuo kikuu anakwepa ukweli huu bila kuonyesha maridhiano yameanishwa wapi. At least FaizaFoxy amekwepa kujibu.

Hii ina maana nyingine, kwamba, Jamhuri ya muungano ni pamoja na Zanzibar. Sasa kuna sheria gani nyingine ambayo ipo juu ya katiba ya JMT? Hapa ndipo wanaosema kuna hoja za Uzanzibar wanapata nguvu sana.
Kwamba Wabunge wa Zanzibar ndani ya Bunge la JMT walikwenda Dubai kwa gharama za Tanganyika kama Watalii kwasababu hili jambo haliwahusu. Lakini je, haliwahusu? Katiba inatamka ni la muungano.

Ikiwa si jambo la muungano vipi waziri na mwenzake ambao ni Wazanzibar wasimamie jambo lisilo wahusu wakimshauri Rais Mzanzibar kwa masilahi ya Tanganyika ambayo wao kama Wazanzibar wameyakwepa ?
Wenye hoja ya Uzanzibar wana neno!

Ni kwa mantiki hiyo Zanzibar imepewa nguvu sana hata kusigina katiba. Hii si mara ya kwanza, tunakumbuka katiba ya Zbar 1984 toleo la 2010 imekiuka ile ya JMT, hakuna anayehoji kwasababu wanaofanya hivyo ni Wazanzibar.

Mbowe alipotoa tahadhari kama kiongozi mwenye wafuasi hilo likawa balaa. Kwamba Mtanganyika hawezi kusimamia masilahi ya nchi yake kwasababu haki hiyo kapewa mzanzibar peke yake.

Kwa tukio la Bandari kuna kufungua ''pandora box' au can of worms. Ni jambo baya lakini pia ni zuri kwasababu limeonyesha matundu yaliyopo na limesaidia sana kuwaamsha waliobeba Muungano kutaka haki ya kuwa na maamuzi ya nchi yao. Hoja ya Tanganyika haitaondoka na katiba mpya haikwepeki.

Mwisho, ikiwa tunakubaliana Bunge liliridhia Mkataba, mkataba ni jambo binding, kwasasa hatuwezi kuchomoa hata kwa bahati mbaya. Hapa ndipo tunajibu swali la Faiza kwamba, DP Haiendeshi bandari yoyote lakini tayari sisi umefanya commitment. Tukiondoka tu lazima kuna kitu watalamba.
Uko sahihi kabisa Mkuu. Hawa ndugu zetu wanajichanganya. Yeye na Spika wake. Wanasema IGA ( Intergovernmental Agreement)sio mkataba ni Agreement lakini wanasema kinachofuata ni kuingia kwenye mikataba. Kinachofuata baada ya IGA ni HGA ( Host Government Agreement). Sasa itakuwaje HGA iwe mkataba lakini IGA isiwe mkataba wakati zote ni Agreements? Faiza tunaweza kumsamehe lakini Profesa wa Sheria hapana. Yule anafanya makusudi.
Kutokana na hii IGA, hatuna haki ya kuingia mkataba na mtu mwingine katika lile eneo hata kama DPW atazembea au hatutapenda masharti yake katika HGA. Ndicho kilicho wakuta Djibouti.

Amandla...
 
Hakuna cha kuvunjwa, kwanini wavunje makubaliano kwa matakwa yako?

Sasa rudi kwenye swali langu:

1) Sasa hivi nielewavyo mimi DP World wala Dubai hawaendeshi bandari yetu yoyote, kweli siyo kweli?
Faiza, wakati mwingine unajitakia mwenyewe kusemewa ovyo. Swali lako la kwanza halieleweki na la pili niliisha lijibu.

Amandla...
 
Mkuu 'Logicos' popote ulipo, nakupa kongole.

Nimesoma. 'points' za maoni yako yalivyokuwa 'quoted'.
Ninakubaliana nawe moja kwa moja.

Na kama itafanyika kama unavyopendekeza, sijui makubaliano ya IGA kama yanavyosomeka yatakuwa na maana gani tena?
Hiyo IGA italazimu iondolewe moja kwa moja, au iandikwe upya; hata kama hao wanaohadaa watu kwamba huo siyo Mkataba; ni lazima marekebisho ya vifungu vibovu viondolewe katika makubaliano hayo kabla ya hiyo mikataba ya uwekezaji haijaingiwa.
Na katika Point yangu kubwa ninachosisitiza ni Transparency, sababu hata sasa tunachoongelea wanaweza wakaja wakasema tumerekebisha ila marekebisho yenyewe ni siri kwahio hapa tutaendelea kupigwa; au wanaweza wakarekebisha alafu mwaka unaofuata wakafanya amendments na hata hizo amendments zikienda bungeni wanaweza wakapitisha mlungula wala wengi wasijue ni nini kinaendelea au kuweka clause ambazo ni ambiguous..

Na kwa kuonyesha kwamba hawa watu hawaaminiki na kwamba jinamizi linalotumaliza ni lack of transparency ngoja nikupe mifano miwili:

TICTS alikuwa amepewa mkataba wa miaka mitano ili achunguzwe kama yupo poa aongezewe iwe kumi; kabla ya hio mitano haijaisha akaongezewa mpaka kumi na tano (refer kuna speech ya JPM akiwa Bandarini)

Mfano wa Pili according to JPM Mkataba wa Bagamoyo ulikuwa wa hovyo; kipindi hicho hakuna aliyebisha wala Jakaya aliyekuwepo hakubisha kwamba JPM anayosema ya clause za utata ni ya kweli au uongo...., JPM amekufa tunaambiwa Mkataba huo ulikuwa bora hakuna mfano na ni Propaganda zake...., Sasa kama Binadamu anaweza kuwa mwongo na Rais atakayekuja kesho huenda akawa ana Propaganda au ni kweli watu wanaweza kuingiza nchi katika mikataba ya madudu kwanini kila kitu kisiwe wazi, kila mwananchi (ambaye ni mwanahisa by default ya hizi maliasili) aweze kuona mwenye na sio mpaka kuambiwa kutoka kwenye hearsay....

Kwahio tatizo kubwa watawala hawa wanajiona wenyewe ndio vichwa zaidi na wanaweza kuamulia mpaka vizazi na vizazi na wanajificha kwenye jinamizi la Siri za Mikataba; Ingawa sijawahi kuona hizo siri yaani hata mwenye mali (anafichwa) na mwenye mali ni mwananchi hawa wengine ni walinzi wa muda mfupi mfupi tu
 
Mkuu ndio maana nilimuuliza kama 'agreement' inaridhiwa na Bunge. Alikimbia na mwisho akasema hajui.
Ukweli ni kwamba katiba ya JMT (1977) Sura ya Tatu sehemu ya kwanza Bunge (63)-1(e) inasema bila utata '' Kujadili na kuridhia mikataba yoteinayohusu Jamhuri ya Muungano na ambayo kwa masharti yake inahitaji kuridhiwa''

Kwa mantiki hiyo kilichoridhiwa Bungeni ni Mkataba ingawa Spika ambaye ni Mwanasheria na Prof wa chuo kikuu anakwepa ukweli huu bila kuonyesha maridhiano yameanishwa wapi. At least FaizaFoxy amekwepa kujibu.

Hii ina maana nyingine, kwamba, Jamhuri ya muungano ni pamoja na Zanzibar. Sasa kuna sheria gani nyingine ambayo ipo juu ya katiba ya JMT? Hapa ndipo wanaosema kuna hoja za Uzanzibar wanapata nguvu sana.
Kwamba Wabunge wa Zanzibar ndani ya Bunge la JMT walikwenda Dubai kwa gharama za Tanganyika kama Watalii kwasababu hili jambo haliwahusu. Lakini je, haliwahusu? Katiba inatamka ni la muungano.

Ikiwa si jambo la muungano vipi waziri na mwenzake ambao ni Wazanzibar wasimamie jambo lisilo wahusu wakimshauri Rais Mzanzibar kwa masilahi ya Tanganyika ambayo wao kama Wazanzibar wameyakwepa ?
Wenye hoja ya Uzanzibar wana neno!

Ni kwa mantiki hiyo Zanzibar imepewa nguvu sana hata kusigina katiba. Hii si mara ya kwanza, tunakumbuka katiba ya Zbar 1984 toleo la 2010 imekiuka ile ya JMT, hakuna anayehoji kwasababu wanaofanya hivyo ni Wazanzibar.

Mbowe alipotoa tahadhari kama kiongozi mwenye wafuasi hilo likawa balaa. Kwamba Mtanganyika hawezi kusimamia masilahi ya nchi yake kwasababu haki hiyo kapewa mzanzibar peke yake.

Kwa tukio la Bandari kuna kufungua ''pandora box' au can of worms. Ni jambo baya lakini pia ni zuri kwasababu limeonyesha matundu yaliyopo na limesaidia sana kuwaamsha waliobeba Muungano kutaka haki ya kuwa na maamuzi ya nchi yao. Hoja ya Tanganyika haitaondoka na katiba mpya haikwepeki.

Mwisho, ikiwa tunakubaliana Bunge liliridhia Mkataba, mkataba ni jambo binding, kwasasa hatuwezi kuchomoa hata kwa bahati mbaya. Hapa ndipo tunajibu swali la Faiza kwamba, DP Haiendeshi bandari yoyote lakini tayari sisi umefanya commitment. Tukiondoka tu lazima kuna kitu watalamba.
Unasema wabunge wa Zanzibar walipelekwa Dubai kwa Gharama za Tanganyika suali kwani hiyo Tanganyika ipo?
 
Mkuu ndio maana nilimuuliza kama 'agreement' inaridhiwa na Bunge. Alikimbia na mwisho akasema hajui.
Ukweli ni kwamba katiba ya JMT (1977) Sura ya Tatu sehemu ya kwanza Bunge (63)-1(e) inasema bila utata '' Kujadili na kuridhia mikataba yoteinayohusu Jamhuri ya Muungano na ambayo kwa masharti yake inahitaji kuridhiwa''

Kwa mantiki hiyo kilichoridhiwa Bungeni ni Mkataba ingawa Spika ambaye ni Mwanasheria na Prof wa chuo kikuu anakwepa ukweli huu bila kuonyesha maridhiano yameanishwa wapi. At least FaizaFoxy amekwepa kujibu.

Hii ina maana nyingine, kwamba, Jamhuri ya muungano ni pamoja na Zanzibar. Sasa kuna sheria gani nyingine ambayo ipo juu ya katiba ya JMT? Hapa ndipo wanaosema kuna hoja za Uzanzibar wanapata nguvu sana.
Kwamba Wabunge wa Zanzibar ndani ya Bunge la JMT walikwenda Dubai kwa gharama za Tanganyika kama Watalii kwasababu hili jambo haliwahusu. Lakini je, haliwahusu? Katiba inatamka ni la muungano.

Ikiwa si jambo la muungano vipi waziri na mwenzake ambao ni Wazanzibar wasimamie jambo lisilo wahusu wakimshauri Rais Mzanzibar kwa masilahi ya Tanganyika ambayo wao kama Wazanzibar wameyakwepa ?
Wenye hoja ya Uzanzibar wana neno!

Ni kwa mantiki hiyo Zanzibar imepewa nguvu sana hata kusigina katiba. Hii si mara ya kwanza, tunakumbuka katiba ya Zbar 1984 toleo la 2010 imekiuka ile ya JMT, hakuna anayehoji kwasababu wanaofanya hivyo ni Wazanzibar.

Mbowe alipotoa tahadhari kama kiongozi mwenye wafuasi hilo likawa balaa. Kwamba Mtanganyika hawezi kusimamia masilahi ya nchi yake kwasababu haki hiyo kapewa mzanzibar peke yake.

Kwa tukio la Bandari kuna kufungua ''pandora box' au can of worms. Ni jambo baya lakini pia ni zuri kwasababu limeonyesha matundu yaliyopo na limesaidia sana kuwaamsha waliobeba Muungano kutaka haki ya kuwa na maamuzi ya nchi yao. Hoja ya Tanganyika haitaondoka na katiba mpya haikwepeki.

Mwisho, ikiwa tunakubaliana Bunge liliridhia Mkataba, mkataba ni jambo binding, kwasasa hatuwezi kuchomoa hata kwa bahati mbaya. Hapa ndipo tunajibu swali la Faiza kwamba, DP Haiendeshi bandari yoyote lakini tayari sisi umefanya commitment. Tukiondoka tu lazima kuna kitu watalamba.
Well said
Swali langu lina maana kubwa mkuu.

Hapa unasema hatuna mkataba na DPW sasa kwa nini tunajadili mkataba wa bandari?

Wewe katika posts zako za awali umetoa fafanuzi za ubora wa DPW lakini hapa unakana hatuna mkataba nao. Yes hatuna mkataba nao, je tunachojadili ni nini haswa?

Haya umenijibu hapa kuwa kupitia maonesho ya biashara ndo yametumika kama kigezo chq manunuzi, ina maana tulipeleka nchi yetu na vivutio vyake pale Dubai expo kama bidhaa tena kwa mafungu? Kuna tofauti gani baina ya kampuni binafsi kunadi bidhaa zake kwenye trade fairs na serikali ilichofanya? Who owns this country kama kampuni yake binafsi?

Kwa urahisi wa mama kuingia mkataba wa Bandari hata kabla Bunge halijaridhia yaani mwaka 2021 rais anasaini IGA kisha mwaka unaofuata ndo unapelekwa Bungeni kujadiliwa hapo ndo unaita simpo?


Ndugu, mnayemtetea mnambomoa kwa kauli zenu simpo simpo. Hii nchi si ya Rais na haruhusiwi kufanya atakavyo bali kila kitu kiwe kwa mujibu wa Katiba, Sheria na Kanuni
Well said. Chukua tano
 
Leo tuwache jazba, kejeli, matusi na ujinga. Hii kwa pande zote mbili, zinzoona DP World haifai na zinazoona DP World inafaaa tujadiliane kiustaarabu tuone "options " zetu ni zipi, zile zenye faida tuishauri serikali izifate, zile zisizo na faida tuishauri serikali isizifate.

Kama una jibu au majibu sawa, kama hauna majibu bali una swali lako pia, uliza tulijadili. Maswali na majibu yawe mafupi ili mjadala unoge.

Wale wa zamani tujikumbushe mijadala ya Jambo Frums ilivyokuwa inanoga na wale wa sasa wapunguze jazba.

Uongozi wa JF, @moderators tunahitaji muulinde huu uzi kwa uwepo wenu wa karibu, ili mjadala uende vizuri. Au nipeni u moderator wa mjadala huu tu ili niuendeshe inavyopaswa, mkiona siuendeshi kwa haki, mauodoa u miderator wangu.

Tuwe great thinkers ambao hata mtu atakaesoma huu mjadala aseme aaah, hyu ana point, aah huyu hili tumeliona.

Tuwe na maswali mengi ya kujiuliza lakini tujikite kwenye mada. Nalianzisha:

1) Sasa hivi nielewavyo mimi DP World wala Dubai hawaendeshi bandari yetu yoyote, kweli siyo kweli?
Wewe ni mzanzibari sio mtanganyika
 
Huwezi ukajadili jambo na mtu aliyetanguliza chuki,hii issue wengi wanaendeshwa na chuki tu na ubaguzi,

Subiri uone wakakavyokuja na matusi badala ya kujikita kwenye hoja.
Mpaka hapa ww nawe umethiitisha chuki zako
 
Hilo nalo linategemea, Mwekezaji hawezi kuleta mtambo wakae wa Dollar million mbili ili ufanya kazi zake, kunuu-ununuwa hutaki halafu umeambi hili ni langi kwa 51%

Pia huwezi kuwa na eneo lako kama nchi ukamwambia mwekezaji hili lako kwa 49%, utakuwa umajiumizzzza.


% za shares za makampuni zitategemea kila mtu kaweka mtaji ngapi.

Sasa hivi pale bandarini kuna watu wana ctrane zao binafsi 100% na ukizitaka zikuhudumie unawalipa huduma ya ctrame jkwa masaa itayotumika. Na hawalipii hata maegesho ya bandarini.

Ndiyo hao pia wenye makelele mengi, wanahjuwasasa limebuma. Maana DP World cranes zao za makontena ni tofauti kabbisa na hawatozihitaji hizi za zilizopo za TPA na za kina Karamagi na mama Anna Tibaijuka.
Hivi unajua kwanini nimesema not more than 49 Percent ? Maana kubwa ni kwamba mwisho wa siku unakuwa na VETO na hakuna anayeweza kukubishia wala kukuendesha After all kama ni Pesa hata sisi tunaweza kuzikopa au kuzitafuta; Lakini hakuna mwekezaji anaweyeweza kutengeneza ardhi yake ziwani iwe Bandari (huo ni urithi ambao tumebahatika kuwa nao)

Okay hata ukisema labda wewe uchukue 30 na wengine kumi wachukue 7 percent each kitakachotokea mtu mmoja anaweza kuwanunua hao tisa hence akawa na 70 percent (hizo faulo za corporations take over zilifanyika sana huko UK hata mwisho wa siku Bwana AL Fayed akajikuta amejinyakulia Bingo la Harrolds); Ndio maana nikasema ifike wakati hata hao USA , UK wasiwe ndio Case Study ya kufanya vitu bali tufanye vitu bora zaidi kuliko hata wao na kulingana na mazingira yetu
 
Leo tuwache jazba, kejeli, matusi na ujinga. Hii kwa pande zote mbili, zinzoona DP World haifai na zinazoona DP World inafaaa tujadiliane kiustaarabu tuone "options " zetu ni zipi, zile zenye faida tuishauri serikali izifate, zile zisizo na faida tuishauri serikali isizifate.

Kama una jibu au majibu sawa, kama hauna majibu bali una swali lako pia, uliza tulijadili. Maswali na majibu yawe mafupi ili mjadala unoge.

Wale wa zamani tujikumbushe mijadala ya Jambo Frums ilivyokuwa inanoga na wale wa sasa wapunguze jazba.

Uongozi wa JF, @moderators tunahitaji muulinde huu uzi kwa uwepo wenu wa karibu, ili mjadala uende vizuri. Au nipeni u moderator wa mjadala huu tu ili niuendeshe inavyopaswa, mkiona siuendeshi kwa haki, mauodoa u miderator wangu.

Tuwe great thinkers ambao hata mtu atakaesoma huu mjadala aseme aaah, hyu ana point, aah huyu hili tumeliona.

Tuwe na maswali mengi ya kujiuliza lakini tujikite kwenye mada. Nalianzisha:

1) Sasa hivi nielewavyo mimi DP World wala Dubai hawaendeshi bandari yetu yoyote, kweli siyo kweli?
Acha unafiki, eti tuache kejeli, jazba na ujinga. Wew ni mbinafsi, mdini kibaya zaid tayar ushakunywa maji ya bendera ya DP world so hakuna utakubaliana nacho. Ogopa kitu inaitwa.... DP world payroll supporters!!!
 
Weka post moja swali moja.
Jibu unayoweza! Hakuna haja yakujaza Saver!

Swali la Mwisho:- Tunaambiwa IGA haikutaja thaman ya hwekezaji wala nini tutafaidika! Ila HGA ndizo zitataja. Tuamini kuwa Serikali yetu haikujua inahitaji uwekezaji wa thaman gani kuifanya bandari yetu iwe bora? Mpaka wanasaini IGA hakujadiliana ni thaman gani itawekezwa katika bandar?
 
Back
Top Bottom