This is...
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 5,050
- 5,204
Kilichopitishwa na bunge ni mkataba au si mkataba?Lione swali lililoulizwa, unalo jibu au una swali lako tulijadili? Au mawazo yako tuyajadili. Hao wanaoona "haya" achana nao.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kilichopitishwa na bunge ni mkataba au si mkataba?Lione swali lililoulizwa, unalo jibu au una swali lako tulijadili? Au mawazo yako tuyajadili. Hao wanaoona "haya" achana nao.
Inasemekana kwenye silabasi zetu kumeingizwa kiarabu.Kama unataka mjadara uwe mzuri na DPword tuione ya maana,
Utuambie share yetu kama nchi ni ngapi kwa mwezi ama kwa mwaka kwa mjibu wa mkataba?
Utuambie, ni lini mkataba utakoma?
Utuambie, kwa kuwa mkataba unamanufaa makubwa, kwa nini bandari za Zanzibar hazikuingizwa kwenye mkataba huu wenye mafaida kibao?
Utuambie, Ni kwa nini ziwe bandari zote za bara, nchi kavu na majini?
Kwa nini kwa nini kwa nini unashabikia mkataba unaowapa warabu milele yote?
Inasemekana kwamba, kwenye silabas zetu kumeingizwa lugha ya kiarabu, Hii ni kusema tayari tunaanza kuwa chini ya mwarabu au ni kujifunza lugha ambayo itaitawala Tz
Ok! Uhai wa huo mkataba Ni siku ngapi, wiki, miezi au miaka mingapi!Kwa Kiswahili tunasema waktaba wa IGA.
Kumbuka, hata ndoa ni mkataba.
Kiswahili kiko finyu sana.
Mkataba wa IGA hauna uhai. Unakuuvunja kwa kusata taratuibu au kukiuka masharti ulambwe pesa. Hiyo ni kwa wote.Ok! Uhai wa huo mkataba Ni siku ngapi, wiki, miezi au miaka mingapi!
Mpaka Sasa Kilichopitishwa bungeni kina masharti gani. Na kina athari gani kuachana nacho.Mkataba wa IGA hauna uhai. Unakuuvunja kwa kusata taratuibu au kukiuka masharti ulambwe pesa. Hiyo ni kwa wote.
Uisikia Mkataba wa ndoa una muda? Hauna lakini unataratibu zake za kuuvunja.
Hakina masharyti yoyote na hakina athari yoyote.Mpaka Sasa Kilichopitishwa bungeni kina masharti gani. Na kina athari gani kuachana nacho.