Super Sub Steve
JF-Expert Member
- Jul 9, 2011
- 17,404
- 10,900
Walisema gesi ingemaliza matatizo yote ya umeme lkn wapi, tumehamia Stiegliers gorgeMimi sidhani kama Watanzania hawataki wawekezaji. Isipokuwa ni vile tu wamechoshwa na hii mikataba ya Kimangungo, inayofanywa na watawala wetu baada ya kupewa rushwa.
Ni mjinga (huhitaji kuelemishwa) tu asiyejua kuwa moja ya vichochezi vya uchumi ni uimara na ubora wa miundombinu ya usafiri (ardhini, majini na angani).Hata Mombasa kwa sasa wanaendesha kusogeza siku, wanajenga kwa mkataba bandari mpya kubwa zaidi huko Lamu.
Dunia ya biashara ya bandari imebadilika sana. Ina ushindani mkubwa sana. Kama hauna mitaji mikubwa hufiki popote, utabaki kuambulia vimizigo uchwara tu. Tanzania leo unaweza kuagiza mali kutoka Ulaya basi ukaipata baada ya miezzi minne. Wakati inatakiwa ndani ya 14 ikichelewa sana mwezi mmoja tu uwe umeshapata mzigo wako. Unafahamu sababu zake?
Leo tuwache jazba, kejeli, matusi na ujinga. Hii kwa pande zote mbili, zinzoona DP World haifai na zinazoona DP World inafaaa tujadiliane kiustaarabu tuone "options " zetu ni zipi, zile zenye faida tuishauri serikali izifate, zile zisizo na faida tuishauri serikali isizifate.
Kama una jibu au majibu sawa, kama hauna majibu bali una swali lako pia, uliza tulijadili. Maswali na majibu yawe mafupi ili mjadala unoge.
Wale wa zamani tujikumbushe mijadala ya Jambo Frums ilivyokuwa inanoga na wale wa sasa wapunguze jazba.
Uongozi wa JF, @moderators tunahitaji muulinde huu uzi kwa uwepo wenu wa karibu, ili mjadala uende vizuri. Au nipeni u moderator wa mjadala huu tu ili niuendeshe inavyopaswa, mkiona siuendeshi kwa haki, mauodoa u miderator wangu.
Tuwe great thinkers ambao hata mtu atakaesoma huu mjadala aseme aaah, hyu ana point, aah huyu hili tumeliona.
Tuwe na maswali mengi ya kujiuliza lakini tujikite kwenye mada. Nalianzisha:
1) Sasa hivi nielewavyo mimi DP World wala Dubai hawaendeshi bandari yetu yoyote, kweli siyo kweli?
Ujue nyie watu mlio nje ya system kuna mambo mengi hamuelewi,ngoja nikueleweshe kidogo.1) Sasa hivi nielewavyo mimi DP World wala Dubai hawaendeshi bandari yetu yoyote, kweli siyo kweli?
PTA = TPA. Shuleni ulienda kusomea ujinga?Serikali haina makubaliano na DP World. Serikali ina makubaliano na Serikali ya Dubai.
Dp World hivi unavyoongea wanakaa chini siku zote na PTA, hao ndiyo walioainishwa kwenye makubaliano wakae chini na kuiongelea mikataba.
Na mkurugenzi Mkuu wa PTA kaelezea vizuri sana, kinachoendelea. Jisomee: TPA: Truth about port agreement with Dubai firm
Tulipo fika na kwa kua mwanzo wananchi hakushirikishwa ,limkataba lifutiliwe mbali tuanze upya , mliohongwa rudisha pesa za watuLeo tuwache jazba, kejeli, matusi na ujinga. Hii kwa pande zote mbili, zinzoona DP World haifai na zinazoona DP World inafaaa tujadiliane kiustaarabu tuone "options " zetu ni zipi, zile zenye faida tuishauri serikali izifate, zile zisizo na faida tuishauri serikali isizifate.
Kama una jibu au majibu sawa, kama hauna majibu bali una swali lako pia, uliza tulijadili. Maswali na majibu yawe mafupi ili mjadala unoge.
Wale wa zamani tujikumbushe mijadala ya Jambo Frums ilivyokuwa inanoga na wale wa sasa wapunguze jazba.
Uongozi wa JF, @moderators tunahitaji muulinde huu uzi kwa uwepo wenu wa karibu, ili mjadala uende vizuri. Au nipeni u moderator wa mjadala huu tu ili niuendeshe inavyopaswa, mkiona siuendeshi kwa haki, mauodoa u miderator wangu.
Tuwe great thinkers ambao hata mtu atakaesoma huu mjadala aseme aaah, hyu ana point, aah huyu hili tumeliona.
Tuwe na maswali mengi ya kujiuliza lakini tujikite kwenye mada. Nalianzisha:
1) Sasa hivi nielewavyo mimi DP World wala Dubai hawaendeshi bandari yetu yoyote, kweli siyo kweli?
ccm wametukosea kama Taifa leo tunajadili kuuza bandari karne ya 21 badala ya kujadili bandari zetu kuzifanya free ports.Leo tuwache jazba, kejeli, matusi na ujinga. Hii kwa pande zote mbili, zinzoona DP World haifai na zinazoona DP World inafaaa tujadiliane kiustaarabu tuone "options " zetu ni zipi, zile zenye faida tuishauri serikali izifate, zile zisizo na faida tuishauri serikali isizifate.
Kama una jibu au majibu sawa, kama hauna majibu bali una swali lako pia, uliza tulijadili. Maswali na majibu yawe mafupi ili mjadala unoge.
Wale wa zamani tujikumbushe mijadala ya Jambo Frums ilivyokuwa inanoga na wale wa sasa wapunguze jazba.
Uongozi wa JF, @moderators tunahitaji muulinde huu uzi kwa uwepo wenu wa karibu, ili mjadala uende vizuri. Au nipeni u moderator wa mjadala huu tu ili niuendeshe inavyopaswa, mkiona siuendeshi kwa haki, mauodoa u miderator wangu.
Tuwe great thinkers ambao hata mtu atakaesoma huu mjadala aseme aaah, hyu ana point, aah huyu hili tumeliona.
Tuwe na maswali mengi ya kujiuliza lakini tujikite kwenye mada. Nalianzisha:
1) Sasa hivi nielewavyo mimi DP World wala Dubai hawaendeshi bandari yetu yoyote, kweli siyo kweli?
Uko sahihi kabisa Mkuu. Hawa ndugu zetu wanajichanganya. Yeye na Spika wake. Wanasema IGA ( Intergovernmental Agreement)sio mkataba ni Agreement lakini wanasema kinachofuata ni kuingia kwenye mikataba. Kinachofuata baada ya IGA ni HGA ( Host Government Agreement). Sasa itakuwaje HGA iwe mkataba lakini IGA isiwe mkataba wakati zote ni Agreements? Faiza tunaweza kumsamehe lakini Profesa wa Sheria hapana. Yule anafanya makusudi.Mkuu ndio maana nilimuuliza kama 'agreement' inaridhiwa na Bunge. Alikimbia na mwisho akasema hajui.
Ukweli ni kwamba katiba ya JMT (1977) Sura ya Tatu sehemu ya kwanza Bunge (63)-1(e) inasema bila utata '' Kujadili na kuridhia mikataba yoteinayohusu Jamhuri ya Muungano na ambayo kwa masharti yake inahitaji kuridhiwa''
Kwa mantiki hiyo kilichoridhiwa Bungeni ni Mkataba ingawa Spika ambaye ni Mwanasheria na Prof wa chuo kikuu anakwepa ukweli huu bila kuonyesha maridhiano yameanishwa wapi. At least FaizaFoxy amekwepa kujibu.
Hii ina maana nyingine, kwamba, Jamhuri ya muungano ni pamoja na Zanzibar. Sasa kuna sheria gani nyingine ambayo ipo juu ya katiba ya JMT? Hapa ndipo wanaosema kuna hoja za Uzanzibar wanapata nguvu sana.
Kwamba Wabunge wa Zanzibar ndani ya Bunge la JMT walikwenda Dubai kwa gharama za Tanganyika kama Watalii kwasababu hili jambo haliwahusu. Lakini je, haliwahusu? Katiba inatamka ni la muungano.
Ikiwa si jambo la muungano vipi waziri na mwenzake ambao ni Wazanzibar wasimamie jambo lisilo wahusu wakimshauri Rais Mzanzibar kwa masilahi ya Tanganyika ambayo wao kama Wazanzibar wameyakwepa ?
Wenye hoja ya Uzanzibar wana neno!
Ni kwa mantiki hiyo Zanzibar imepewa nguvu sana hata kusigina katiba. Hii si mara ya kwanza, tunakumbuka katiba ya Zbar 1984 toleo la 2010 imekiuka ile ya JMT, hakuna anayehoji kwasababu wanaofanya hivyo ni Wazanzibar.
Mbowe alipotoa tahadhari kama kiongozi mwenye wafuasi hilo likawa balaa. Kwamba Mtanganyika hawezi kusimamia masilahi ya nchi yake kwasababu haki hiyo kapewa mzanzibar peke yake.
Kwa tukio la Bandari kuna kufungua ''pandora box' au can of worms. Ni jambo baya lakini pia ni zuri kwasababu limeonyesha matundu yaliyopo na limesaidia sana kuwaamsha waliobeba Muungano kutaka haki ya kuwa na maamuzi ya nchi yao. Hoja ya Tanganyika haitaondoka na katiba mpya haikwepeki.
Mwisho, ikiwa tunakubaliana Bunge liliridhia Mkataba, mkataba ni jambo binding, kwasasa hatuwezi kuchomoa hata kwa bahati mbaya. Hapa ndipo tunajibu swali la Faiza kwamba, DP Haiendeshi bandari yoyote lakini tayari sisi umefanya commitment. Tukiondoka tu lazima kuna kitu watalamba.
Faiza, wakati mwingine unajitakia mwenyewe kusemewa ovyo. Swali lako la kwanza halieleweki na la pili niliisha lijibu.Hakuna cha kuvunjwa, kwanini wavunje makubaliano kwa matakwa yako?
Sasa rudi kwenye swali langu:
1) Sasa hivi nielewavyo mimi DP World wala Dubai hawaendeshi bandari yetu yoyote, kweli siyo kweli?
Na katika Point yangu kubwa ninachosisitiza ni Transparency, sababu hata sasa tunachoongelea wanaweza wakaja wakasema tumerekebisha ila marekebisho yenyewe ni siri kwahio hapa tutaendelea kupigwa; au wanaweza wakarekebisha alafu mwaka unaofuata wakafanya amendments na hata hizo amendments zikienda bungeni wanaweza wakapitisha mlungula wala wengi wasijue ni nini kinaendelea au kuweka clause ambazo ni ambiguous..Mkuu 'Logicos' popote ulipo, nakupa kongole.
Nimesoma. 'points' za maoni yako yalivyokuwa 'quoted'.
Ninakubaliana nawe moja kwa moja.
Na kama itafanyika kama unavyopendekeza, sijui makubaliano ya IGA kama yanavyosomeka yatakuwa na maana gani tena?
Hiyo IGA italazimu iondolewe moja kwa moja, au iandikwe upya; hata kama hao wanaohadaa watu kwamba huo siyo Mkataba; ni lazima marekebisho ya vifungu vibovu viondolewe katika makubaliano hayo kabla ya hiyo mikataba ya uwekezaji haijaingiwa.
Unasema wabunge wa Zanzibar walipelekwa Dubai kwa Gharama za Tanganyika suali kwani hiyo Tanganyika ipo?Mkuu ndio maana nilimuuliza kama 'agreement' inaridhiwa na Bunge. Alikimbia na mwisho akasema hajui.
Ukweli ni kwamba katiba ya JMT (1977) Sura ya Tatu sehemu ya kwanza Bunge (63)-1(e) inasema bila utata '' Kujadili na kuridhia mikataba yoteinayohusu Jamhuri ya Muungano na ambayo kwa masharti yake inahitaji kuridhiwa''
Kwa mantiki hiyo kilichoridhiwa Bungeni ni Mkataba ingawa Spika ambaye ni Mwanasheria na Prof wa chuo kikuu anakwepa ukweli huu bila kuonyesha maridhiano yameanishwa wapi. At least FaizaFoxy amekwepa kujibu.
Hii ina maana nyingine, kwamba, Jamhuri ya muungano ni pamoja na Zanzibar. Sasa kuna sheria gani nyingine ambayo ipo juu ya katiba ya JMT? Hapa ndipo wanaosema kuna hoja za Uzanzibar wanapata nguvu sana.
Kwamba Wabunge wa Zanzibar ndani ya Bunge la JMT walikwenda Dubai kwa gharama za Tanganyika kama Watalii kwasababu hili jambo haliwahusu. Lakini je, haliwahusu? Katiba inatamka ni la muungano.
Ikiwa si jambo la muungano vipi waziri na mwenzake ambao ni Wazanzibar wasimamie jambo lisilo wahusu wakimshauri Rais Mzanzibar kwa masilahi ya Tanganyika ambayo wao kama Wazanzibar wameyakwepa ?
Wenye hoja ya Uzanzibar wana neno!
Ni kwa mantiki hiyo Zanzibar imepewa nguvu sana hata kusigina katiba. Hii si mara ya kwanza, tunakumbuka katiba ya Zbar 1984 toleo la 2010 imekiuka ile ya JMT, hakuna anayehoji kwasababu wanaofanya hivyo ni Wazanzibar.
Mbowe alipotoa tahadhari kama kiongozi mwenye wafuasi hilo likawa balaa. Kwamba Mtanganyika hawezi kusimamia masilahi ya nchi yake kwasababu haki hiyo kapewa mzanzibar peke yake.
Kwa tukio la Bandari kuna kufungua ''pandora box' au can of worms. Ni jambo baya lakini pia ni zuri kwasababu limeonyesha matundu yaliyopo na limesaidia sana kuwaamsha waliobeba Muungano kutaka haki ya kuwa na maamuzi ya nchi yao. Hoja ya Tanganyika haitaondoka na katiba mpya haikwepeki.
Mwisho, ikiwa tunakubaliana Bunge liliridhia Mkataba, mkataba ni jambo binding, kwasasa hatuwezi kuchomoa hata kwa bahati mbaya. Hapa ndipo tunajibu swali la Faiza kwamba, DP Haiendeshi bandari yoyote lakini tayari sisi umefanya commitment. Tukiondoka tu lazima kuna kitu watalamba.
Well saidMkuu ndio maana nilimuuliza kama 'agreement' inaridhiwa na Bunge. Alikimbia na mwisho akasema hajui.
Ukweli ni kwamba katiba ya JMT (1977) Sura ya Tatu sehemu ya kwanza Bunge (63)-1(e) inasema bila utata '' Kujadili na kuridhia mikataba yoteinayohusu Jamhuri ya Muungano na ambayo kwa masharti yake inahitaji kuridhiwa''
Kwa mantiki hiyo kilichoridhiwa Bungeni ni Mkataba ingawa Spika ambaye ni Mwanasheria na Prof wa chuo kikuu anakwepa ukweli huu bila kuonyesha maridhiano yameanishwa wapi. At least FaizaFoxy amekwepa kujibu.
Hii ina maana nyingine, kwamba, Jamhuri ya muungano ni pamoja na Zanzibar. Sasa kuna sheria gani nyingine ambayo ipo juu ya katiba ya JMT? Hapa ndipo wanaosema kuna hoja za Uzanzibar wanapata nguvu sana.
Kwamba Wabunge wa Zanzibar ndani ya Bunge la JMT walikwenda Dubai kwa gharama za Tanganyika kama Watalii kwasababu hili jambo haliwahusu. Lakini je, haliwahusu? Katiba inatamka ni la muungano.
Ikiwa si jambo la muungano vipi waziri na mwenzake ambao ni Wazanzibar wasimamie jambo lisilo wahusu wakimshauri Rais Mzanzibar kwa masilahi ya Tanganyika ambayo wao kama Wazanzibar wameyakwepa ?
Wenye hoja ya Uzanzibar wana neno!
Ni kwa mantiki hiyo Zanzibar imepewa nguvu sana hata kusigina katiba. Hii si mara ya kwanza, tunakumbuka katiba ya Zbar 1984 toleo la 2010 imekiuka ile ya JMT, hakuna anayehoji kwasababu wanaofanya hivyo ni Wazanzibar.
Mbowe alipotoa tahadhari kama kiongozi mwenye wafuasi hilo likawa balaa. Kwamba Mtanganyika hawezi kusimamia masilahi ya nchi yake kwasababu haki hiyo kapewa mzanzibar peke yake.
Kwa tukio la Bandari kuna kufungua ''pandora box' au can of worms. Ni jambo baya lakini pia ni zuri kwasababu limeonyesha matundu yaliyopo na limesaidia sana kuwaamsha waliobeba Muungano kutaka haki ya kuwa na maamuzi ya nchi yao. Hoja ya Tanganyika haitaondoka na katiba mpya haikwepeki.
Mwisho, ikiwa tunakubaliana Bunge liliridhia Mkataba, mkataba ni jambo binding, kwasasa hatuwezi kuchomoa hata kwa bahati mbaya. Hapa ndipo tunajibu swali la Faiza kwamba, DP Haiendeshi bandari yoyote lakini tayari sisi umefanya commitment. Tukiondoka tu lazima kuna kitu watalamba.
Well said. Chukua tanoSwali langu lina maana kubwa mkuu.
Hapa unasema hatuna mkataba na DPW sasa kwa nini tunajadili mkataba wa bandari?
Wewe katika posts zako za awali umetoa fafanuzi za ubora wa DPW lakini hapa unakana hatuna mkataba nao. Yes hatuna mkataba nao, je tunachojadili ni nini haswa?
Haya umenijibu hapa kuwa kupitia maonesho ya biashara ndo yametumika kama kigezo chq manunuzi, ina maana tulipeleka nchi yetu na vivutio vyake pale Dubai expo kama bidhaa tena kwa mafungu? Kuna tofauti gani baina ya kampuni binafsi kunadi bidhaa zake kwenye trade fairs na serikali ilichofanya? Who owns this country kama kampuni yake binafsi?
Kwa urahisi wa mama kuingia mkataba wa Bandari hata kabla Bunge halijaridhia yaani mwaka 2021 rais anasaini IGA kisha mwaka unaofuata ndo unapelekwa Bungeni kujadiliwa hapo ndo unaita simpo?
Ndugu, mnayemtetea mnambomoa kwa kauli zenu simpo simpo. Hii nchi si ya Rais na haruhusiwi kufanya atakavyo bali kila kitu kiwe kwa mujibu wa Katiba, Sheria na Kanuni
Wewe ni mzanzibari sio mtanganyikaLeo tuwache jazba, kejeli, matusi na ujinga. Hii kwa pande zote mbili, zinzoona DP World haifai na zinazoona DP World inafaaa tujadiliane kiustaarabu tuone "options " zetu ni zipi, zile zenye faida tuishauri serikali izifate, zile zisizo na faida tuishauri serikali isizifate.
Kama una jibu au majibu sawa, kama hauna majibu bali una swali lako pia, uliza tulijadili. Maswali na majibu yawe mafupi ili mjadala unoge.
Wale wa zamani tujikumbushe mijadala ya Jambo Frums ilivyokuwa inanoga na wale wa sasa wapunguze jazba.
Uongozi wa JF, @moderators tunahitaji muulinde huu uzi kwa uwepo wenu wa karibu, ili mjadala uende vizuri. Au nipeni u moderator wa mjadala huu tu ili niuendeshe inavyopaswa, mkiona siuendeshi kwa haki, mauodoa u miderator wangu.
Tuwe great thinkers ambao hata mtu atakaesoma huu mjadala aseme aaah, hyu ana point, aah huyu hili tumeliona.
Tuwe na maswali mengi ya kujiuliza lakini tujikite kwenye mada. Nalianzisha:
1) Sasa hivi nielewavyo mimi DP World wala Dubai hawaendeshi bandari yetu yoyote, kweli siyo kweli?
Mpaka hapa ww nawe umethiitisha chuki zakoHuwezi ukajadili jambo na mtu aliyetanguliza chuki,hii issue wengi wanaendeshwa na chuki tu na ubaguzi,
Subiri uone wakakavyokuja na matusi badala ya kujikita kwenye hoja.
Hivi unajua kwanini nimesema not more than 49 Percent ? Maana kubwa ni kwamba mwisho wa siku unakuwa na VETO na hakuna anayeweza kukubishia wala kukuendesha After all kama ni Pesa hata sisi tunaweza kuzikopa au kuzitafuta; Lakini hakuna mwekezaji anaweyeweza kutengeneza ardhi yake ziwani iwe Bandari (huo ni urithi ambao tumebahatika kuwa nao)Hilo nalo linategemea, Mwekezaji hawezi kuleta mtambo wakae wa Dollar million mbili ili ufanya kazi zake, kunuu-ununuwa hutaki halafu umeambi hili ni langi kwa 51%
Pia huwezi kuwa na eneo lako kama nchi ukamwambia mwekezaji hili lako kwa 49%, utakuwa umajiumizzzza.
% za shares za makampuni zitategemea kila mtu kaweka mtaji ngapi.
Sasa hivi pale bandarini kuna watu wana ctrane zao binafsi 100% na ukizitaka zikuhudumie unawalipa huduma ya ctrame jkwa masaa itayotumika. Na hawalipii hata maegesho ya bandarini.
Ndiyo hao pia wenye makelele mengi, wanahjuwasasa limebuma. Maana DP World cranes zao za makontena ni tofauti kabbisa na hawatozihitaji hizi za zilizopo za TPA na za kina Karamagi na mama Anna Tibaijuka.
Acha unafiki, eti tuache kejeli, jazba na ujinga. Wew ni mbinafsi, mdini kibaya zaid tayar ushakunywa maji ya bendera ya DP world so hakuna utakubaliana nacho. Ogopa kitu inaitwa.... DP world payroll supporters!!!Leo tuwache jazba, kejeli, matusi na ujinga. Hii kwa pande zote mbili, zinzoona DP World haifai na zinazoona DP World inafaaa tujadiliane kiustaarabu tuone "options " zetu ni zipi, zile zenye faida tuishauri serikali izifate, zile zisizo na faida tuishauri serikali isizifate.
Kama una jibu au majibu sawa, kama hauna majibu bali una swali lako pia, uliza tulijadili. Maswali na majibu yawe mafupi ili mjadala unoge.
Wale wa zamani tujikumbushe mijadala ya Jambo Frums ilivyokuwa inanoga na wale wa sasa wapunguze jazba.
Uongozi wa JF, @moderators tunahitaji muulinde huu uzi kwa uwepo wenu wa karibu, ili mjadala uende vizuri. Au nipeni u moderator wa mjadala huu tu ili niuendeshe inavyopaswa, mkiona siuendeshi kwa haki, mauodoa u miderator wangu.
Tuwe great thinkers ambao hata mtu atakaesoma huu mjadala aseme aaah, hyu ana point, aah huyu hili tumeliona.
Tuwe na maswali mengi ya kujiuliza lakini tujikite kwenye mada. Nalianzisha:
1) Sasa hivi nielewavyo mimi DP World wala Dubai hawaendeshi bandari yetu yoyote, kweli siyo kweli?
Jibu unayoweza! Hakuna haja yakujaza Saver!Weka post moja swali moja.