Tatizo la Tanzania hatuna internet ya majumbani ambayo mara nyingi huwa na gharama nafuu...sisi tunatumia simu kama ndio kila kitu.Inabidi tuzoee tu hakuna namna π’π’π’
YouTube saivi ni shiiida, maana inakula bando kwa kasi ya 5Gπ2.Kupungua Idadi ya views youtube kwa asilimia kubwa na watu kukosa mapato.Hata wasanii wamepigwa za uso miezi hii na haijawahi kutokea kuwa na idadi ndogo namna hiyo kwa fanbase yao
Mna mjua NDULI ROSTAM AZIZI NYINYI usalama wa taifa ya kenya imempiga pini kuwekeza kenya baada ya kupata secret za kijasusi kuhusu mwenendo wake ..Tena vinapanda kimya kimya wanatuona tuna hela sana
Halafu nilichogundua YouTube sasa video zao zinaquality ya juu sana sasa watu wengine hawapunguzi quality na kusababisha bando lisepe kwa urahisi .YouTube saivi ni shiiida, maana inakula bando kwa kasi ya 5Gπ
Seems watawala wanaichukulia internet Kwa ujumla kama anasa!
Mkuu naomba link ya ilo group., hali mbaya kwa kweliNi kosa kisheria ,lakini sasa FreeVpn na maujanja ya kupata bando bure imekuwa maarufu sana bongo mimi nilikuta grupu lina members kama buku Kazi kupeana madini tu mpaka nikabaki nacheka jinsi watu wanavyohangaika humo.
Nina lines nyingi ila naelekea huko maanaAcheni kulialia hamieni TTCL
Tupeane maarifa mkuuNa ssi tupewe mipango Kaz jins ya kufanya niweze kupat free vpn niachane na bando la nape na samia
Tupeane ujuzi mkuuNguvu ya vpn inafanya kazi kwangu
Hamia ttcl mkuuTupeane ujuzi mkuu
Naskia kuna maufundi ya vpn mkuuHamia ttcl mkuu
Take care mkuu!Nguvu ya vpn inafanya kazi kwangu
Vpn bila bando? Si kila mtu angekua na vpnNguvu ya vpn inafanya kazi kwangu
Ndo hapo sasa mkuuVpn bila bando? Si kila mtu angekua na vpn