Pre GE2025 ‘Watanzania wanyonge’ wataka Paul Makonda agombee na kupewa Urais 2030

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Halafu mtu kama huyu unakuta anampiga vijembe Mwijaku na Baba Levo na wakati kiuhalisia wote hawana tofauti na inawezekana hata hao jamaa wamemuacha jamaa mbali sana. Kama umeamua kuwa chawa kuwa wa faida mtatumika vibaya mpaka mchoke
Hapana ndugu yangu mimi wala sifanyi kazi ya uchawa wala kutumika.mimi naeleza ukweli tu na kuwasilisha sauti ya wanyonge kutoka huku mitaani
 
Acha kuongea vitu usivyo na ushahidi navyo wewe
Nikuulize tu Luca
Ili upate maoni ya watu juu ya jambo fulani lazima utumie njia za kitaalamu kukusanya maoni na mitazamo ili kupata takwimu sahihi zitazoakisi uhalisia na kutoa ushahidi (empirical evidence) nikisema wewe ni mjinga uliyebobea unaweza kutupa tu hata sample ya takwimu ulizokusanya kwa kupitia sample ya mikoa ambayo bashite amepita na hata katika mitandao ya kijamii kutuamonisha kuwa una uhakika na unachokiqndika?

Kwamba sasa tuna kura ya maoni ya uraisi na makonda qnaongoza vesa/vis nani?
Mikoa iliyohusishwa na matokeo ya kura hiyo kwa kulinganisha na idadi ya watanzania kwa mujibu wa sensa ya watu na makazi?
Unajua hata yeye akisoma anaona aibu?

Remember he has sanctions na 2030 atakuja mgombea ambae wewe na mumeo hamtaamini,
 
manyumbu yakiwa twisted kidogo tu yote yanaelekea ukouko,

yanapotoshwa na kupotoshwa kabsaa kirahisi sana,

Hana ushahidi na hawezi hata kujieleza huyo...
Ndio maana Mbowe aliyadanganya kuwa mwaka 2015 ni lazima CHADEMA ichukue nchi na ikishindwa basi yeye atajiuzulu .lakini cha ajabu mpaka leo ni mwenyekiti na hayajahoji kwanini hatumii ahadi yake ya kujiuzulu .badala yake mbowe kwa kibuli anayatishia na kuyaambia kuwa sumu haionjwi kwa ulimi.
 
Akipewa nchi tutegemee zaidi kunyimwa misaada toka Kwa mashoga
 
Nenda mahakamani utoe ushahidi wako kuwa ulinyang'anywa mali zako na siyo kuleta uongo wako hapa
watu wengine waajabu sana, sasa malalamiko unapewa wewe kweli humu JF?🤣

Kwa mfano sasa hilo jamaa, yaani limenyang'anywa mali zake halafu limekaa kimya, si zuzu hilo 🤣
 


Sio mfuasi wa Samia tena? Humbwa kabisa
 
Kwanza acha dharau lako wewe.unaanzaje kuniambia mimi mwanaume maneno ya kunidhalilisha? Kwani ndugu yangu mtanzania huwezi kuandika hoja ikasimama na kujieleza yenyewe bila maneno ya kudhalilishana? Unaanzia wapi kumwambia mwanaume kuwa yeye na mumewe? Unataka nilijibu nini wakati umeonyesha utoto na kukosa ukomavu katika kujadili hoja?
 
Sio mfuasi wa Samia tena? Humbwa kabisa
Mama Samia ndiye Rais wetu mpaka 2030 huo ndio msimamo wangu na wetu watanzania.baada ya hapo ndio Watanzania kwa mamilioni yao wanataka kijiti cha urais apewe Mheshimiwa Paul Makonda kijana mchapa kazi na jasiri kuwahi kutokea kusini mwa jangwa la sahara.
 
Wewe ndiye unayejidhalilisha mwenyewe kiasi kwamba jamii inakutazama katika mrengo huo! Hali kadhalika nilitamani paragraph hii iwe mwishoni baada ya wewe kujibu maswali yangu ya msingi niliyouliza. Kuwa mke sio dhambi hata Elton John ni mke wa mtu! Inategemea na tibia unazozionesha kwa uma qmbazo haziakisi taaluma wala siasa! Niliwahi kuomba wasifu wako kielimu na mambo ya kijamii ni miezi sasa upo kimya
 
watu wengine waajabu sana, sasa malalamiko unapewa wewe kweli humu JF?🤣

Kwa mfano sasa hilo jamaa, yaani limenyang'anywa mali zake halafu limekaa kimya, si zuzu hilo 🤣
Inatakiwa nalo lipelekwe mahakamani na kupewa kifungo cha maisha kabisa maana halijitambui kabisa 😀😀😀
 
Kuna watu walisema Magufuli ni rais wa millele na Mungu amshukuru Maugufuli kuondoa corona mkakenua meno! ATAKE ASITAKE ATAGOMBEA
Nakukumbusha tu mfano Ally Kesi- Job Ndugai na Afande Shana!

Unaacha kumtanguliza Mungu unashupaza shingo. Unaweza kusema Magufuli yuko wapi sasa?
 
Tanzania itajengwa na watanzania wenyewe kwa mikono yetu na juhudi zetu.
Are you sure? Mbona wewe ni mjinga hivi?

Viongozi wako kila siku wanasema mama anazunguka duniani kutafuta hela- huku extent ya embezzlement ikipaa kila siku na hakuna anayewajibishwa. Wewe ndio kila siku unasifia kwamba tanzania imepewa misaada tanzania imepewa mikopo- hujitambui
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…