Watanzania wapendekeza Gari la Tundu Lissu lipelekwe Makumbusho ya Taifa, Mwenyewe amshukuru Mungu kuwa hai hadi leo

Tunamshukuru Mungu kwa kumuweka hai huyu mwamba na badala yake kumuondoa duniani aliyepanga njama za kumuua. Allah akbar!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…