Watanzania wawili ni miongoni mwa mateka wa Hamas, yasema Israel

Watanzania wawili ni miongoni mwa mateka wa Hamas, yasema Israel

Ritz

JF-Expert Member
Joined
Jan 1, 2011
Posts
51,303
Reaction score
40,190
Wanaukumbi.

Watanzania wawili na raia mmoja wa Africa Kusini ni miongoni mwa mateka 224 wanaoshikiliwa na Hamas baada ya mashambulizi ya Oktoba 7 nchini Israel, serikali ya Israel inasema.

Hakuna hata mmoja kati ya hao watatu aliyetajwa.

Mamlaka ya Tanzania hapo awali ilikuwa imethibitisha kuwa raia wake wawili hawajulikani walipo. BBC imezungumza na familia ya mmoja wao, Joshua Mollel, ambaye alikuwa mwanafunzi wa kilimo kwenye mojawapo ya eneo makazi lililolengwa .Wageni kutoka nchi 25 kwa jumla wanazuiliwa na Hamas, Israel inasema.

Chanzo BBC
 
Wanaukumbi.

Watanzania wawili na raia mmoja wa Kusini ni miongoni mwa mateka 224 wanaoshikiliwa na Hamas baada ya mashambulizi ya Oktoba 7 nchini Israel, serikali ya Israel inasema.

Hakuna hata mmoja kati ya hao watatu aliyetajwa.

Mamlaka ya Tanzania hapo awali ilikuwa imethibitisha kuwa raia wake wawili hawajulikani walipo. BBC imezungumza na familia ya mmoja wao, Joshua Mollel, ambaye alikuwa mwanafunzi wa kilimo kwenye mojawapo ya eneo makazi lililolengwa .Wageni kutoka nchi 25 kwa jumla wanazuiliwa na Hamas, Israel inasema.

Chanzo BBC
Nilidhani mmoja wapi ni kiranga,maana hakuonekana humu wakati zogo lineanza
 
Back
Top Bottom