Watanzania wawili ni miongoni mwa mateka wa Hamas, yasema Israel

Watanzania wawili ni miongoni mwa mateka wa Hamas, yasema Israel

Israel pamoja na ubabe wote huo na kulipua tani nyingi za mabomu bado wameshindwa kuwakomboa mateka katika eneo dogo tu la Gaza! Yaani pamoja na misaada ya silaha na fedha kutoka kwa mabeberu Israel hakuna cha maana walichokifanya zaidi ya kuua raia wasio na hatia. Yaani HAMAS kikundi cha wanamgambo tu kinawatoa kamasi siku wakiingia vitani na Iran si itakuwa balaa!
 
Wapalestina warejee kwenye Usecular katika kudai Haki zao, watapata Support.

Dini inawazuia kufikiri.
Bali wakirudi katika Dini ndio watapata ushindi. Hata hawa Hamas pia bado hawajasimama sawa kidini. Nje ya Dini (Uislam wa Sawa kama alivyokuja nao Mtume Swala na Salamu ziwe juu yake na wakaufuata Maswahaba zake Radhi za Allah ziwe juu yao) wapalestina hawatowashinda mayahudi na kukaa kwa utulivu pale.

Walipokuwa wanapigania haki zao katika mavuguvugu ya kisekula waliikomboa Al-Aqsa? Hawatopata ushindi wapalestina muda wa kuwa wanapigania haki zao kwa kutumia usekula au uarabu.
 
Sidhani kama watadhuriwa na Hamas...

Wasiwasi ninaouona ni kushambuliwa na mabomu ya Israel wakiwa wanaendelea na oparesheni zao za kuipiga Gaza...

Tuwaombee tu kwa Mungu awalinde...
Tayari wameshadhurika kwa kutekwa
Wameshsumizwa hidia na waweza kuwa hata wamepata ugonjwa wa moyo

Hamas wanawatumia kama Human Shield i

Sasa watanzania wenzetu wale washabikia Hamas waone hilo.kunfi.lilivyo ovu wanatutekea hata watu wetu
 
Walaaniwe magaidi hawa wanaovizia raia.
Na walaaniwe na Allah hawa mayahudi mazayuni waliolaaniwa, maadui wa Allah na maadui wa Mitume. Ambao wanaua wanawake na watoto na watu wanyonge kabisa. Bali kwao kuua wanawake na watoto ni jambo dogo ukizingatia wazee wao waliwaua baadhi ya Mitume wa Allah na walijaribu kuwaua baadhi ya Mitume wengine (Amani iwe juu yao Mitume). Na hawa vizazi vyao ni waovu zaidi kwa sababu wengi wao hawa wa sasa wanakanusha hata uwepo wa Allah. Allah awaharakishie adhabu yao kama alivyowaahidi kuwaletea adhabu kila wanaporudi katika ufisadi na uharibifu.
 
Bali wakirudi katika Dini ndio watapata ushindi. Hata hawa Hamas pia bado hawajasimama sawa kidini. Nje ya Dini (Uislam wa Sawa kama alivyokuja nao Mtume Swala na Salamu ziwe juu yake na wakaufuata Maswahaba zake Radhi za Allah ziwe juu yao) wapalestina hawatowashinda mayahudi na kukaa kwa utulivu pale.

Walipokuwa wanapigania haki zao katika mavuguvugu ya kisekula waliikomboa Al-Aqsa? Hawatopata ushindi wapalestina muda wa kuwa wanapigania haki zao kwa kutumia usekula au uarabu.
Mafundisho ya Qurani yanasema haitosimama kiama hadi kuwauwa Wayahudi je wewe unaona mafundisho hayo yako sawa?
 
JWTZ wanakaa ardhini halafu IDF anatoa Air Support lazima Hamas wakubali.
Kbisa Tanzania Ipelek JWTZ Israel waige
Marekani walipoona raia wao wanetekwa na Hamas wamepelrka kikodi cha Askari elfu kumi Israel na vifaa kibao vya kivita

Hamas wameanza kuachia raia wa Marekani waliiowateka
 
Hamas ni Magaidi ya Kijihadi yenye lengo la kuua Wayahudi wote Duniani.

Na kuruani inasema hivyo.

Wapalestina warejee kwenye Usecular katika kudai Haki zao, watapata Support.

Dini inawazuia kufikiri.
Pole sana
 
Tayari wameshadhurika kwa kutekwa
Wameshsumizwa hidia na waweza kuwa hata wamepata ugonjwa wa moyo

Hamas wanawatumia kama Human Shield i

Sasa watanzania wenzetu wale washabikia Hamas waone hilo.kunfi.lilivyo ovu wanatutekea hata watu wetu
Pole sana
 
Sidhani kama watadhuriwa na Hamas...

Wasiwasi ninaouona ni kushambuliwa na mabomu ya Israel wakiwa wanaendelea na oparesheni zao za kuipiga Gaza...

Tuwaombee tu kwa Mungu awalinde...
😀😀😀😀
Unawajua magaidi wa kiislamu walivyo? Wamevamia sherehe na kuua na wengine kuchukuliwa mateka.
Ningekubaliana na wewe endapo wasingeua watu hao magaidi wa kiislamu wa HAMAS
Sasa kama hakuna shida kwanini wamechukuliwa mateka?
 
Back
Top Bottom