Wamejionea nini? Inaonekana hujui hata unajidili niniKuna watanzania walikuwa wanawashangilia Hamas wengine wakataka Hadi tuandamane Sasa wamejionea
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wamejionea nini? Inaonekana hujui hata unajidili niniKuna watanzania walikuwa wanawashangilia Hamas wengine wakataka Hadi tuandamane Sasa wamejionea
I peleka jeshi wakawaokoe watu wetuserikali ifanye kazi ktk hilo
Sio majususi wa Isreal lkn? Kama hana hatia wataachiwa maana muislam mkorofi pale tu ukiichezea dini yakeTunaomba Hamas muwaachie vijana wetu bila kuwadhuru. Bakini na walengwa wa ugaidi wenu.
Balozi amesema walikuwa na ishu gani huko karibu na makazi ya Hamas (maeneo karibu na mpaka wa gaza)
Ikawaje jeshi booooora duniani wakaingiliwa?Wanakuja na majambia wakiwa wamevaa gauni, vilemba kichwani na kobazi,
Serekali haina dini haiwezi kuwasaidia wauajiI peleka jeshi wakawaokoe watu wetu
Makomandoo wa JWTZ waende wakashurikiane na Keshinla Israel watuokolee watu wetu
Wewe unafahamu urban warfare au unaongea tu kwa kuwa una ulevi wa dini.Israel hamna lolote wewe kwa bato la chini,acha kuichukulia poa jwtz,hai idf mpaka Leo wanaogopa kuingia Gaza wanabomoa majumba tu kwa ndege,kila wakitia pua wananyolewa
Tulia wewe i can feel ur angerAkili za kijinga sana ulizonazo.
makomandoo WA Israel pekee wanashindwa Nini kuwaokoa?I peleka jeshi wakawaokoe watu wetu
Makomandoo wa JWTZ waende wakashurikiane na Keshinla Israel watuokolee watu wetu
Wasimwache dab, akawanyooshe.Hapa JWTZ inabidi iingilie kati, zile ndege zetu ambazo huwa hazionekani na radar siku za sherehe za kitaifa inabidi zikahusike.
Na ndio maana hadi Sasa IDF bado wanawaza wanaingiaje Gaza na kuokoa mateka bila kuwadhuru maana majamaa ya Hamas yamejificha nyuma ya wanawake na watotoTayari wameshadhurika kwa kutekwa
Wameshsumizwa hidia na waweza kuwa hata wamepata ugonjwa wa moyo
Hamas wanawatumia kama Human Shield i
Sasa watanzania wenzetu wale washabikia Hamas waone hilo.kunfi.lilivyo ovu wanatutekea hata watu wetu
Kuingiliwa kivipi hapo emu toa maelezo toshelevuIkawaje jeshi booooora duniani wakaingiliwa?
Hamas si waliahidi kuwa watakuwa wanachinja Kila mateka na kurusha video hewani Hadi Israel aache kurusha makombora ghaza!!!Bali wakirudi katika Dini ndio watapata ushindi. Hata hawa Hamas pia bado hawajasimama sawa kidini. Nje ya Dini (Uislam wa Sawa kama alivyokuja nao Mtume Swala na Salamu ziwe juu yake na wakaufuata Maswahaba zake Radhi za Allah ziwe juu yao) wapalestina hawatowashinda mayahudi na kukaa kwa utulivu pale.
Walipokuwa wanapigania haki zao katika mavuguvugu ya kisekula waliikomboa Al-Aqsa? Hawatopata ushindi wapalestina muda wa kuwa wanapigania haki zao kwa kutumia usekula au uarabu.
Vita ni piga nikupigeNa walaaniwe na Allah hawa mayahudi mazayuni waliolaaniwa, maadui wa Allah na maadui wa Mitume. Ambao wanaua wanawake na watoto na watu wanyonge kabisa. Bali kwao kuua wanawake na watoto ni jambo dogo ukizingatia wazee wao waliwaua baadhi ya Mitume wa Allah na walijaribu kuwaua baadhi ya Mitume wengine (Amani iwe juu yao Mitume). Na hawa vizazi vyao ni waovu zaidi kwa sababu wengi wao hawa wa sasa wanakanusha hata uwepo wa Allah. Allah awaharakishie adhabu yao kama alivyowaahidi kuwaletea adhabu kila wanaporudi katika ufisadi na uharibifu.
Kwani wale raia wa Israel waliouawa na Hamas Wana hatia gani?Israel pamoja na ubabe wote huo na kulipua tani nyingi za mabomu bado wameshindwa kuwakomboa mateka katika eneo dogo tu la Gaza! Yaani pamoja na misaada ya silaha na fedha kutoka kwa mabeberu Israel hakuna cha maana walichokifanya zaidi ya kuua raia wasio na hatia. Yaani HAMAS kikundi cha wanamgambo tu kinawatoa kamasi siku wakiingia vitani na Iran si itakuwa balaa!
Basi hapo wakenya wanatuonea donge wanatamani nao wangetekwa na mabroo wa hamasTwo Tanzanians and a South African are among the 224 hostages being held by Hamas after the 7 October attacks in Israel, the Israeli government says.
Kwa hiyo ikiwa urban warfare..ndiyo Israel anakua Bora!?.. urban warfare unapiga risasi watu Wana makombeo na manati!Wewe unafahamu urban warfare au unaongea tu kwa kuwa una ulevi wa dini.
Hamas kuvuka kizuizi na kuingia.Kuingiliwa kivipi hapo emu toa maelezo toshelevu
Kwa hio Israel wameingiliwa kinguvu? Maana yake wamebakwa na wavaa kobazi au sio?H
Hamas kuvuka kizuizi na kuingia.
Kwa hio Israel wameingiliwa kinguvu? Maana yake wamebakwa na wavaa kobazi au sio?