Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Tarehe 9/12 imekaribiaHapa JWTZ inabidi iingilie kati, zile ndege zetu ambazo huwa hazionekani na radar siku za sherehe za kitaifa inabidi zikahusike.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tarehe 9/12 imekaribiaHapa JWTZ inabidi iingilie kati, zile ndege zetu ambazo huwa hazionekani na radar siku za sherehe za kitaifa inabidi zikahusike.
Kusini ipi? Kwa wamakonde au bondeni kwa Madiba?raia mmoja wa Kusini
Sawa basi inama Nikusweke'Israel hamna lolote wewe kwa bato la chini,acha kuichukulia poa jwtz,hai idf mpaka Leo wanaogopa kuingia Gaza wanabomoa majumba tu kwa ndege,kila wakitia pua wananyolewa
Nani anaweza thitibisha?Two Tanzanians and a South African are among the 224 hostages being held by Hamas after the 7 October attacks in Israel, the Israeli government says.
Edit pale juu andika Africa Kusini sio Kusini tu Kusini kubwa,Two Tanzanians and a South African
Lkn wapo salama wanapewa huduma zote, waislam watu wema sana.labda uwachokoze.. Wangalikuwa wametekwa na mayahudi hata kaburi lao tusingalilijuaNa waTz walivyowaoga hao watakuwa wanatetemeka mpaka nywele.
NapitaKamaRadi
Wanakuja na majambia wakiwa wamevaa gauni, vilemba kichwani na kobazi,Athari za Ugaidi ni Dunia nzima, wako wapi wale Watanzania washabiki wa Hamas?
Usituleteee balaaa!Israel hamna lolote wewe kwa bato la chini,acha kuichukulia poa jwtz,hai idf mpaka Leo wanaogopa kuingia Gaza wanabomoa majumba tu kwa ndege,kila wakitia pua wananyolewa
Athari za Ugaidi ni Dunia nzima, wako wapi wale Watanzania washabiki wa Hamas?
Bora ungekaa kimya kuficha upumbavu!Na waTz walivyowaoga hao watakuwa wanatetemeka mpaka nywele.
NapitaKamaRadi
Hamas ni Magaidi ya Kijihadi yenye lengo la kuua Wayahudi wote Duniani.
Hivi jwtz wana craft carrier ya jeshi au uko israel watafika na matrack yao Fao, iveco nk,JWTZ wanakaa ardhini halafu IDF anatoa Air Support lazima Hamas wakubali.
Acha wateseke kwa ajili ya Allah. Alisema mvaa cobaz mmojaWanaukumbi.
Watanzania wawili na raia mmoja wa Kusini ni miongoni mwa mateka 224 wanaoshikiliwa na Hamas baada ya mashambulizi ya Oktoba 7 nchini Israel, serikali ya Israel inasema.
Hakuna hata mmoja kati ya hao watatu aliyetajwa.
Mamlaka ya Tanzania hapo awali ilikuwa imethibitisha kuwa raia wake wawili hawajulikani walipo. BBC imezungumza na familia ya mmoja wao, Joshua Mollel, ambaye alikuwa mwanafunzi wa kilimo kwenye mojawapo ya eneo makazi lililolengwa .Wageni kutoka nchi 25 kwa jumla wanazuiliwa na Hamas, Israel inasema.
Chanzo BBC
Tunazo kama Aircraft Carrier 2 hivi, moja imepaki Zanzibar ukiwa pale Le Grand Bleu Sea Food ukatizama kwenye darubini utaona kuna carrier kubwa sana kwa mbaaali, pale ipo karibu na Matlai Mchanga Island.Hivi jwtz wana craft carrier ya jeshi au uko israel watafika na matrack yao Fao, iveco nk,