Na waTz walivyowaoga hao watakuwa wanatetemeka mpaka nywele.
πππRaia wa Kusini ..... ndo eneo gani la dunia?
Hahahaha acha masihara mkuu, JWTZ sio watani wako.......Hapa JWTZ inabidi iingilie kati, zile ndege zetu ambazo huwa hazionekani na radar siku za sherehe za kitaifa inabidi zikahusike.
Wao wenyewe wanasoma habari kama mimi na wewe..tuHapa JWTZ inabidi iingilie kati, zile ndege zetu ambazo huwa hazionekani na radar siku za sherehe za kitaifa inabidi zikahusike.
Kwa Israel mtoa roho jwtz ni kama sungusunguHapa JWTZ inabidi iingilie kati, zile ndege zetu ambazo huwa hazionekani na radar siku za sherehe za kitaifa inabidi zikahusike.
JWTZ wanakaa ardhini halafu IDF anatoa Air Support lazima Hamas wakubali.Kwa Israel mtoa roho jwtz ni kama sungusungu
Joking!. Kwa ubora/umahiri ni no. 6 π€£π€£π€£Hapa JWTZ inabidi iingilie kati, zile ndege zetu ambazo huwa hazionekani na radar siku za sherehe za kitaifa inabidi zikahusike.
π π π πHapa JWTZ inabidi iingilie kati, zile ndege zetu ambazo huwa hazionekani na radar siku za sherehe za kitaifa inabidi zikahusike.
Nilidhani mmoja wapi ni kiranga,maana hakuonekana humu wakati zogo lineanzaWanaukumbi.
Watanzania wawili na raia mmoja wa Kusini ni miongoni mwa mateka 224 wanaoshikiliwa na Hamas baada ya mashambulizi ya Oktoba 7 nchini Israel, serikali ya Israel inasema.
Hakuna hata mmoja kati ya hao watatu aliyetajwa.
Mamlaka ya Tanzania hapo awali ilikuwa imethibitisha kuwa raia wake wawili hawajulikani walipo. BBC imezungumza na familia ya mmoja wao, Joshua Mollel, ambaye alikuwa mwanafunzi wa kilimo kwenye mojawapo ya eneo makazi lililolengwa .Wageni kutoka nchi 25 kwa jumla wanazuiliwa na Hamas, Israel inasema.
Chanzo BBC
Israel hamna lolote wewe kwa bato la chini,acha kuichukulia poa jwtz,hai idf mpaka Leo wanaogopa kuingia Gaza wanabomoa majumba tu kwa ndege,kila wakitia pua wananyolewaKwa Israel mtoa roho jwtz ni kama sungusungu
Wewe usingetetemeka?Na waTz walivyowaoga hao watakuwa wanatetemeka mpaka nywele.
NapitaKamaRadi
Hawa subiri siku ya 9/12 ndiyo utaona uwezo waoNi muda sasa jwtz waende wakaongeze nguvu Jeshi imara Afrika yote