ministrant
JF-Expert Member
- Jan 17, 2014
- 754
- 1,478
Pole sanaSerikali ya Israel pamoja na ubalozi wa Tanzania nchini Israel vimethibitisha kuwa miongoni mwa mamia ya watu waliochukuliwa mateka na magaidi ya kipalestina (HAMAS) wakati wa shambulio baya la kigaidi huko kusini mwa Israel, wapo watanzania wenzetu wawili na raia mmoja wa Afrika Kusini.
Sio mara ya kwanza hawa watu wanatuchoma kisu mgongoni licha ya kuwaunga mkono kwa miaka mingi katika harakati zao za kutaka uhuru na hata kuwaruhusu kufungua ubalozi wao hapa kwetu.
Katika vita ya Kagera hawa mabwana walikwenda kipigana upande wa Nduli.
Kuna sababu ya kwanini hata mataifa ya Kiarabu kama Misri hawataki wakimbizi wa kipalestina, hawa jamaa wamejaa ugaidi ugaidi mno. Serikali ya Egypt ililazimika hadi kupiga marufuku chama cha Muslim Brotherhood kwakuwa kilikuwa na mafungamano na kundi la Hamas na mwenendo wa siasa kali za kigaidi.
Tanzania tuwatake hawa wapalestina wawaachie watu wetu mara moja, kinyume chake tuwatimue hapa kwetu na kufuta kabisa mahusiano nao.
Two Tanzanians and one South African among Hamas hostages, says Israel
South Africa has not commented on reports its national was seized, along with the unnamed Tanzanians.www.bbc.com
Pole sanaNdio maana hawa watu mm sina hata chembe ya huruma nao. Kuanzia ya kagera, ya kuchokoza waisrael afubwatafute huruma. La mwisho tu israel waendelee kuwapelekea moto kisawa sawa
Pole sanaWanapofanya mambo ya kigaidi hakuna anyewahurumia. Hauwezi kuwashawishi watu wakuunge mkono huku ukiwa gaidi.
Kitendo cha kuvamia mahali, kuua na wengine kuchukuliwa mateka tayari huo ni ugaidi. Hapo haujaja kwa nia njemaNimeandika hivyo kwa sababu
1. Watanzania sio Wayahudi...
2. Kuna Wayahudi waliotekwa na wangali hai...
SawaPole sana
πππππππSio majususi wa Isreal lkn? Kama hana hatia wataachiwa maana muislam mkorofi pale tu ukiichezea dini yake
Qumamae Ile midege ambayo inapiga mikelele hovyo si itabutuliwa hata kabla Haijavuka mpakaHapa JWTZ inabidi iingilie kati, zile ndege zetu ambazo huwa hazionekani na radar siku za sherehe za kitaifa inabidi zikahusike.
Nikweli mkuu...π€¨Daah Ushimen ulikua unarudia madarasa naona umesoma na watu wote wenye majanga..
Zile ndege pale uwanjani kwenye maonyesho, ukikaa mahala flani kwenye target nzuri halafu ikapita ukaipiga manati, itaanguka kama embe litokalo mtini.Qumamae Ile midege ambayo inapiga mikelele hovyo si itabutuliwa hata kabla Haijavuka mpaka
Wanagombea aridhi au dini mbona kama hata hujui unafunga mkono kitu Gani?Sio majususi wa Isreal lkn? Kama hana hatia wataachiwa maana muislam mkorofi pale tu ukiichezea dini yake
Cc: Faiza MbwehaAthari za Ugaidi ni Dunia nzima, wako wapi wale Watanzania washabiki wa Hamas?
Wewe mtata siku nikipita huko Rombo ntakutafuta hapa karibuni nina safari ya Mahlangu...Nikweli mkuu...π€¨
Kwani haujui kwamba elimu haina mwisho...π€
π€£π€£π€£π€£π€£π€£Wewe mtata siku nikipita huko Rombo ntakutafuta hapa karibuni nina safari ya Mahlangu...
Hamas wako wapi? Si waende wakawapige watu wanaowaulia wananchi wao kila siku kwa nini wanajificha kwenye mahandaki..!!πππKwa hiyo ikiwa urban warfare..ndiyo Israel anakua Bora!?.. urban warfare unapiga risasi watu Wana makombeo na manati!
Tunasubiri ground offence wiki ya tatu sasaHamas wako wapi? Si waende wakawapige watu wanaowaulia wananchi wao kila siku kwa nini wanajificha kwenye mahandaki..!!πππ
kabisa kabisa.I peleka jeshi wakawaokoe watu wetu
Makomandoo wa JWTZ waende wakashirikiane na jeshi la Israel watuokolee watu wetu