Watanzania wawili wakamatwa India kwa usafirishaji wa kilo 1.5 ya dawa za kulevya

Hana Hoja huyo.
Mkuu nakumbukaga ule uzi wa kuchimba kisima. Nilikukubali kwasababu umechimbpa kisima chako hadi umeweka swimming pool. Lakini hujawasahau the less unfortunate ambao wanashida na maji kwa kuwawekea bomba nje na kuchota maji wanavyopenda huku ukinywa juis nakujiburudisha kwenye swimming pool.
 
Wauliwe wote wenye majina ya Kiarabu, wabakishwe wenye majina ya kizungu tu.
Hapana, Kila mtu ana haki ya kuishi na kuheshimiwa na tofauti zake

🔷 Mungu anapenda derivasity na sio kama watu wanavyotamani na kutumia nguvu ili tuwe Imani Moja

🔷 Mungu katuumba jinsia tofauti angeamua kwa utukufu wake kutuumba jinsia Moja wote na akatafuta njia nyingine ya kuongezeka angeweza lakini hakufanya hivyo

🔷 Hata kama mapancha wale identical twin Wana tofauti lakini Mungu angeamua kutuumba tufanane kama maharage angeweza lakini Kila mtu anatofauti zake ili utukufu wake unekane.

🔷 Lugha Kila jamii Ina lugha zake tofauti na nyingine. Hizi lugha za kienyeji ni za kuwasiliana na Mungu wetu. Lakini ukiona jamii inasali kwa kutumia lugha ya jamii nyingine inamwambia Mungu kuwa hasikii lugha aliyowapa.

🔷🔹Hata suala dini, Mungu angeamua wote tuwe dini Moja angeweza lakini ametuacha hivi natofauti zetu ili utukufu wake uonekane. Mkiwa na itikadi Moja ya kiimani, mtaweza mkakufuru hivyo, Tusitumie nguvu kueneza dini au kumchukia mtu mwenye Imani tofauti na wewe ,kinachotakiwa ni kueneza dini kwa amani akikataa basi na hata akitoka kwenye Imani yako na kujiunga na Imani nyingine usimdhuru hapo Ndipo tutampendeza Mungu. Tupendane kama binafamu na tujifunze kwa Kila mmoja wetu liliojema tulifuate na lililobaya tuliache
 
Kitimoto is necessary???
 
Na bado silali usiku wanavyoniwangia mara nasikia wakitembea juu ya paa mara nawasikia wakibamiza milango.

Hawa watu wa Pwani hata ukiwafanyia wema watakulipa kwa kukuloga tu.

Lakini mimi nimeshajiapiiza hata Waloge vipi sitawalipizia kwa mabaya.
 
Nipe mchongo wa biashara moja ya halali itakayoweza kunitoa kimaisha,mtaji usizidi 20m,ntashukuru sana.
Ndugu achana na michongo sijui umekwepa kodi , nazungumzia hii haramu madawa, ujambazi , meno ya tembo na mingineyo kama hiyo niliyotaja
 
Niijuwa tu, siku zote ni Waislam na matukio kama haya. Tukisema watu wanachukia na kusema kuwa tunakashifu Uislam. Jamani matukio si mnayaona hata nyie wenyewe, rudini shule au himizeni wanenu kusoma.
 
Huko unakoenda kujengea hako kajumba kadogo nakupa [emoji817]% kabisa!
 
Hii hata haiwezi kuitwa "news". Watanzania wanaojihusisha na madawa ya kulevya wapo wengi sana Mumbai.
 
tangu mama samia aingie madarakani sijasikia mtu kakamatwa na cocaini, sana ni mirungi na bangi hizo ni ulevi haramu, ila mihadarati kama cocain na zingine hawakamatwi
 
wachungaji ndio wanaongoza kwa kuuza dawa za kulevya kwa kupitia mgongo wa kanisa
Washirika wa mmiliki wa kituo cha Cambiasso Sport Academy kilichopo Tuangoma wakamatwa na kilo 15 za dawa za kulevya aina ya heroin.

Mamlaka ya Kupambana na Dawa za Kulevya nchini (DCEA) imewakamata watuhumiwa watatu ambao ni washirika wa mmiliki wa kituo cha Cambiasso Sport Academy kilichopo Tuangoma, Kambi Zuberi Seif (40) wakiwa na kilo 15.19 za dawa za kulevya aina ya heroin.

Akizungumza jijini Dar es Salam leo Desemba 7, 2022 Kamishna Jenerali wa DCEA, Gerald Kusaya amesema watuhumiwa waliokamatwa ni Suleiman Thabit mkazi wa Salasala.

Wengine ni Sharifa Suleiman Bakari mkazi wa Maji matitu na Farid Hamis Said mkazi wa Maji matitu jijini Dar es Salaam.

=====

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA MAMLAKA YA KUDHIBITI NA KUPAMBANA NA DAWA ZA KULEVYA

UKAMATAJI WA KILO 16.643 ZA DAWA ZA KULEVYA

Dar es Salaam, 07 Disemba, 2022
Katika kipindi cha mwishoni mwa mwezi Novemba 2022, Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA) ilifanikiwa kukamata jumla ya kilo 16.643 za dawa ya kulevya zikijumuisha kilo 15.19 za heroin, gramu 655.73 za cocaine na gramu 968.67 za Methamphetamine zilizowahusisha jumla ya watuhumiwa saba.

Ukamataji wa kilo 15.19 za dawa za kulevya aina ya heroin zilizowahusisha watuhumiwa watatu ni mwendelezo wa operesheni zilizopita.

Watuhumiwa hawa ni washirika wa Kambi Zuberi Seif na wenzake waliokamatwa wakiwa na kilo 34.89 za heroin katika operesheni ya mwanzoni mwa mwezi Novemba 2022.

Watuhumiwa hao watatu ni Suleiman Thabit Ngulangwa (36), mfanyabiashara na mkazi wa Salasala, Sharifa Seleman Bakar (41), mkazi wa Maji matitu - Mbagala na Farid Khamis Said (22) mkazi wa Maji matitu – Mbagala, wote ni wakazi wa Dar es Salaam.

Watuhumiwa wengine wanne (4) walikamatwa wakiwa na gramu 655.75 za cocaine na gramu 968.67 za Methamphetamine. Walikamatwa wakiwa kwenye harakati za kusafirisha dawa hizo za kulevya kwenda nje ya nchi.

Watuhumiwa hao wanne ni Hussein Rajab Mtitu (28) anayejulikana pia kama Chodri Mohamed mfanyabiashara na mkazi wa Kibonde maji, Mbagala, Jaalina Rajab Chuma (31) anayejulikana pia kama Jaalina Mohan mjasiriamali na mkazi wa Tandika, Shabani Abdallah Said (36) mkazi wa Kilimahewa, Tandika, hawa pia ni wakazi wa Dar es Salaam, pamoja na Irene Dickson
Mseluka (39) mfanyabiashara na mkazi wa Ndala Shinyanga.

Watuhumiwa wote wanaendelea kuhojiwa na watafikishwa mahakamani mara baada ya taratibu za kiupelelezi kukamilika.

Kutokana na kuimarika kwa udhibiti wa dawa za kulevya nchini, wahalifu wa dawa za kulevya wamekuwa wakibuni mbinu mbalimbali ili kufanikisha uhalifu wao. Hata hivyo, Mamlaka iko macho na inaendelea kukabiliana na mabadiliko ya mbinu hizo.

Aidha, tunashirikiana na makampuni ya usafirishaji wa vifurushi, vyombo vyote vya ulinzi na usalama na wadau wengine katika udhibiti na mapambano dhidi ya dawa za kulevya ili kukabiliana na mbinu mpya za usafirishaji na uuzaji wa dawa za kulevya.

Imetolewa na,

Florence Khambi
Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano Serikalini Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulev
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…