Watanzania wengi maskini wanafia ndani kwa kukosa matibabu

Watanzania wengi maskini wanafia ndani kwa kukosa matibabu

Wewe nawe kwa kutetea uozo. Sasa hapo unaona kuna familia yenye iPhone hapo? Hapa wanazungumziwa watu ambao hata hela ya kula ni shida.
Nimesoma hoja za huyo jamaa!!! Nihitimishe kusema tu kuwa ogopa kubishana na mpumbavu mwenye confidence
 
Yes,
ilikua 50k last two yrs gentleman.

sibabaika kusema ukweli kwenye mabandiko yanakuja kutafuta attention na huruma.

hua naeleza ukweli.
kuna uzembe hata wa kifamilia dhidi ya huyo mgonjwa.

Sukari ni maradhi ambayo ni endelevu sana, ambayo mgonjwa anafaa kua standby mno kwa kuzingatia clinic, vigezo na masharti.

Walipaswa ilipogundulika ana tatizo hilo tu, wajichange na wamkatie bima ya afya, kwasabb mgonjwa huyo hastahili msamaha wa matibabu kwasabb ndugu zake wenye uwezo wapo. Hilo hawakulifanya na ni kosa la kifamilia.

Fuatilia hata huyo mgonjwa mwenyewe au hao ndugu zake wana Infinix new model za laki8 but wanatafuta huruma ati wao ni maskini.

That's very wrong.
Tuzipe afya zetu kipaumbele.

Gunia moja la Alizeti hivi sasa ni laki1.5 uzeni mkate bima za afya za mwaka mzima ndrugu zango wadau 🐒
Sio wote mkuu huko vijijini walipata mazao waliyoweka stoo.

Labda kama wana mbuzi lakini hakuna ugonjwa mufilis kama kisukari. Waweza kuta hata mlo wa mgonjwa ni mtihani.
 
Sio wote mkuu huko vijijini walipata mazao waliyoweka stoo.

Labda kama wana mbuzi lakini hakuna ugonjwa mufilis kama kisukari. Waweza kuta hata mlo wa mgonjwa ni mtihani.
mwenyekiti moja wa kijiji huko mbeya aliliona hilo, hata akaamua kuwachangisha wananchi kidogo, akatafuta na wadau wa maendeleo na Serikali kwa ujumla,

akawakatia bima za afya wananchi wote katika kijiji anachokiongoza ili kuwapa unafuu wa gharama za afya ukilinganisha na ugumu wa maisha wanaopitia.

bima ya afya inaondoa unyonge na kuepusha msongo wa mawazo unapougua na huna chochote mfukoni 🐒
 
Back
Top Bottom