Watanzania wengi maskini wanafia ndani kwa kukosa matibabu

Watanzania wengi maskini wanafia ndani kwa kukosa matibabu

Yes,
ilikua 50k last two yrs gentleman.

sibabaika kusema ukweli kwenye mabandiko yanakuja kutafuta attention na huruma.

hua naeleza ukweli.
kuna uzembe hata wa kifamilia dhidi ya huyo mgonjwa.

Sukari ni maradhi ambayo ni endelevu sana, ambayo mgonjwa anafaa kua standby mno kwa kuzingatia clinic, vigezo na masharti.

Walipaswa ilipogundulika ana tatizo hilo tu, wajichange na wamkatie bima ya afya, kwasabb mgonjwa huyo hastahili msamaha wa matibabu kwasabb ndugu zake wenye uwezo wapo. Hilo hawakulifanya na ni kosa la kifamilia.

Fuatilia hata huyo mgonjwa mwenyewe au hao ndugu zake wana Infinix new model za laki8 but wanatafuta huruma ati wao ni maskini.

That's very wrong.
Tuzipe afya zetu kipaumbele.

Gunia moja la Alizeti hivi sasa ni laki1.5 uzeni mkate bima za afya za mwaka mzima ndrugu zango wadau 🐒
Jibu la ki-CCM na jeuri zote.

Umesoma hali ya hiyo familia? Halafu Bima ya 50-70k inasaidia nini?
 
Jibu la ki-CCM na jeuri zote.

Umesoma hali ya hiyo familia? Halafu Bima ya 50-70k inasaidia nini?
kata hiyo bima gentleman itakusaiadia sana,

hata hivyo ukiwa na maradhi endelevu yaliyobainika, kata bima kubwa zaidi, huzuiwi na mtu gentleman 🐒
 
Bima huwa ni bure mkuu?
bima ni ulinzi wa Afya yako unapuka tee mfokoni huna jambo,

ni kwa watu wanaojali na kuthamini afya zao wakiugua.

wabishi na wenye uelewa mdogo juu ya umuhimu wa bima hukimbilia kuvutia tension na huruma ya jamii.

Jitahidi sana uwe na bima ya afya kuepuka unyonge na kujifungia ndani unapougua 🐒
 
Ni muhimu sana kwa mwaka huu mpya kila moja wetu, kuhakikisha kuwa na Bima ya afya.

Inashangaza na kufedhehesha sana, mtu ana iphone ya 4m, na hana bima ya afya ya efu70.

Ni muhimu sana kuzipa umuhimu na kipaumbele cha kipekee sana afya zetu, vinginevyo uliyoyaeleza hayakwepeki 🐒
Bima ya afya kwani ni bure. pesa ya kula huna, je ya bima utapata wapi? ndugu.
 
Jana nilitoka nje ya wilaya niliyopo kwa ajili ya jambo flan flan, sasa wakati nikiwa huko ugenini mwenyeji wangu alichelewa kunifuata baada ya kumsubiri kwa muda alikuja.

Basi akasema amechelewa kuna jirani yake anaumwa sana yupo nyumbani basi wakati tunaongea kumbe alisahau simu huko alikotoka ikabidi nimsindikize na hichi ndicho kilichonitoa machozi.

Mgonjwa yupo katika hali mbaya, ni mama mtu mzima ambae anaugua sukari, mguu mmoja waliukata tayari sasa huu mguu mwingine hali ni mbaya jamani kidonda kikubwa kimetokea karibu na unyayo kinazidi kusambaa na kutoboa mguu, isitoshe hiyo sehemu ya kidonda panavuja/panachuruzika
maji.

Na pia mguu wote umekuwa mweusi, basi nikauliza kwanini hajapelekwa hospitapi hadi sasa wanadai hali ni ngumu nyumbani hapo na watoto hawana pesa kwani wanaishi kwa vibarua vibarua tu. Wazazi hao ni wazee na walikuwa wakulima wadogo tu.

Na kwa sasa hata mifugo ndani hawana kwani imetumika kwenye matibu tangu mguu wa kwanza na sasa hawana chochote.

Ukweli ni kwamba huyu mama anateketetea huku anajiona kutokana na umaskini uliopo. Hali ni mbaya na watoto wao pia hawana namna kutokana na uduni wa maisha.
Ukweli ni huo, gharama za matibabu ziko juu kuliko kipato cha mwananchi wa kawaida. Bima nako ni balaa lingine. Wafanyakazi wanakatwa kweli lakini huduma zitolewazo ni duni. Nina bima ya VIP, nililazwa hospitali ya mkoa nikaambiwa tulale wawili wadi ya daraja la tatu kwani daraja la kwanza pamejaa. Dawa nyingi nilizoandikiwa ama hazikuwa kwenye bima, na zilizokuwepo nyingi hawakuwa nazo.!
 
Kwani bima ya afya ni Bure? Si mpaka uchangie kila mwaka. Mtu anakosa hela ya kula na umuongezee mzigo/mchango wa bima ya afya!
Bima inasaidia lakini nayo ina mapungufu mengi. Dawa nyingi uandikiwazo hawana, utaratibu wa kununua madukani form hiyo ilisha ondolewa.
 
kata hiyo bima gentleman itakusaiadia sana,

hata hivyo ukiwa na maradhi endelevu yaliyobainika, kata bima kubwa zaidi, huzuiwi na mtu gentleman 🐒
Hiyo bima ya elfu 70 ndo ikoje?
Hebu idadavue hapa kifurushi chake tukione!
 
bima ni ulinzi wa Afya yako unapuka tee mfokoni huna jambo,

ni kwa watu wanaojali na kuthamini afya zao wakiugua.

wabishi na wenye uelewa mdogo juu ya umuhimu wa bima hukimbilia kuvutia tension na huruma ya jamii.

Jitahidi sana uwe na bima ya afya kuepuka unyonge na kujifungia ndani unapougua 🐒
BIMA haisimami kila matibabu au kupata dawa,huduma nyingi bima inadunda
Kikubwa pesa cash mbele....gentleman
Matibabu gharama

Ova
 
BIMA haisimami kila matibabu au kupata dawa,huduma nyingi bima inadunda
Kikubwa pesa cash mbele....gentleman
Matibabu gharama

Ova
kwani wewe una umwa kila ugonjwa au maradhi gentleman? 🐒
 
Unaongelea wenye iphone ya 4m, unadhani watanzania wangapi wanamilili simu ya milioni 4?
Humu jf kwenyewe wenye jeuri ya kumiliki simu ya milioni 4 ni wachache mnoo.

Na maelezo ya jamaa amegusia watu wa vipato vya chini, mtu ambe hata kula yake tabu, mtu anaefanya kazi vibarua, anaweza kupata kazi 3 ama 4 katika wiki, kwa malipo ya elfu 10-15 kwa siku, hiyo hiyo ale yeye na mkewe, atizame wazazi wake, matibabu, usafiri n.k, huyu mtu anawezaje kulipia bima.
Achana na vijijini hapa mjini daslam tu. Kuna watu vipato haviruhusu kulipa bima.
Huyo uliyemquote Hana akili kabisa na ni Moja ya machawa majinga majinga tu... Hivi mtu wa kijijini huko interior kabisa ana uwezo hata wa kumiliki smartphone ya kawaida? Achililia mbali iphone ya 4m anayoisema?
 
Huyo uliyemquote Hana akili kabisa na ni Moja ya machawa majinga majinga tu... Hivi mtu wa kijijini huko interior kabisa ana uwezo hata wa kumiliki smartphone ya kawaida? Achililia mbali iphone ya 4m anayoisema?
Nimegundua hilo, nimemuweka kwenye kundi la wajinga wajinga.
 
Huyo uliyemquote Hana akili kabisa na ni Moja ya machawa majinga majinga tu... Hivi mtu wa kijijini huko interior kabisa ana uwezo hata wa kumiliki smartphone ya kawaida? Achililia mbali iphone ya 4m anayoisema?
huwezi kukwepa wala kupunguza gharama za matibabu bila kua na bima ya afya gentleman,

utateseka, utafedheheka na kunung'unika sana kwa kutafuta tension na huruma za wadau ambazo completely haziwezi kupunguza fedheha na maumivu ya kiafya mgonjwa anazopitia. Bima inaweza kupunguza mzigo wa gharama za matibabu kwa kiasi kikubwa mno.

hakuna haja ya kua mbishi na mwenye kiburi kwajili ya ustawi na afya yako mwenyewe.

Ni muhimu kujipenda, kujipenda na kujali afya zetu kwa kua na bima za afya my friend, ladies and gentlemen 🐒
 
Nimegundua hilo, nimemuweka kwenye lundi la wajinga wajinga.
Huyo na jamaa Mmoja humu anaitwa Lucas Mwashambwa akili zao ni mapacha, yaani ni watu fulani hivi wapuuzi sana ambao wamekubali kuonekana wajinga Kwa kuikingia kifua serikali hata kwenye mambo ambayo ni vigumu kutetea serikali.

Ona kama hapa anavyoandika comments za kipuuzi yaani ambazo hata hazina uhusiano wowote wa kimantiki na mada husika, yote hiyo kuwatetea watawala akijaribu kaurudisha lawama Kwa hao wanainchi wenyewe kwamba ndio wenye makosa na serikali haihusika Kwa namna yoyote Ile, Sasa ni ni upuuzi huo?
 
Back
Top Bottom