Watanzania wengi maskini wanafia ndani kwa kukosa matibabu

Watanzania wengi maskini wanafia ndani kwa kukosa matibabu

huwezi kukwepa wala kupunguza gharama za matibabu bila kua na bima ya afya gentleman,

utateseka, utafedheheka na kunung'unika sana kwa kutafuta tension na huruma za wadau ambazo completely haziwezi kupunguza fedheha na maumivu ya kiafya mgonjwa anazopitia. Bima inaweza kupunguza mzigo wa gharama za matibabu kwa kiasi kikubwa mno.

hakuna haja ya kua mbishi na mwenye kiburi kwajili ya ustawi na afya yako mwenyewe.

Ni muhimu kujipenda, kujipenda na kujali afya zetu kwa kua na bima za afya my friend, ladies and gentlemen
 
Jana nilitoka nje ya wilaya niliyopo kwa ajili ya jambo flan flan, sasa wakati nikiwa huko ugenini mwenyeji wangu alichelewa kunifuata baada ya kumsubiri kwa muda alikuja.

Basi akasema amechelewa kuna jirani yake anaumwa sana yupo nyumbani basi wakati tunaongea kumbe alisahau simu huko alikotoka ikabidi nimsindikize na hichi ndicho kilichonitoa machozi.

Mgonjwa yupo katika hali mbaya, ni mama mtu mzima ambae anaugua sukari, mguu mmoja waliukata tayari sasa huu mguu mwingine hali ni mbaya jamani kidonda kikubwa kimetokea karibu na unyayo kinazidi kusambaa na kutoboa mguu, isitoshe hiyo sehemu ya kidonda panavuja/panachuruzika
maji.

Na pia mguu wote umekuwa mweusi, basi nikauliza kwanini hajapelekwa hospitapi hadi sasa wanadai hali ni ngumu nyumbani hapo na watoto hawana pesa kwani wanaishi kwa vibarua vibarua tu. Wazazi hao ni wazee na walikuwa wakulima wadogo tu.

Na kwa sasa hata mifugo ndani hawana kwani imetumika kwenye matibu tangu mguu wa kwanza na sasa hawana chochote.

Ukweli ni kwamba huyu mama anateketetea huku anajiona kutokana na umaskini uliopo. Hali ni mbaya na watoto wao pia hawana namna kutokana na uduni wa maisha.
Enzi za ukoloni angetibiwa bila kutoa hela, ila hawa wakoloni weusi pesa za serikali wanazitumia kuombea kura waingie madarakani.
 
Huyo na jamaa Mmoja humu anaitwa Lucas Mwashambwa akili zao ni mapacha, yaani ni watu fulani hivi wapuuzi sana ambao wamekubali kuonekana wajinga Kwa kuikingia kifua serikali hata kwenye mambo ambayo ni vigumu kutetea serikali.

Ona kama hapa anavyoandika comments za kipuuzi yaani ambazo hata hazina uhusiano wowote wa kimantiki na mada husika, yote hiyo kuwatetea watawala akijaribu kaurudisha lawama Kwa hao wanainchi wenyewe kwamba ndio wenye makosa na serikali haihusika Kwa namna yoyote Ile, Sasa ni ni upuuzi huo?
Hawa ni maadui wengineo wa taifa hili.
 
bima ni ulinzi wa Afya yako unapuka tee mfokoni huna jambo,

ni kwa watu wanaojali na kuthamini afya zao wakiugua.

wabishi na wenye uelewa mdogo juu ya umuhimu wa bima hukimbilia kuvutia tension na huruma ya jamii.

Jitahidi sana uwe na bima ya afya kuepuka unyonge na kujifungia ndani unapougua 🐒
Nmeuliza ni bure?
 
Jana nilitoka nje ya wilaya niliyopo kwa ajili ya jambo flan flan, sasa wakati nikiwa huko ugenini mwenyeji wangu alichelewa kunifuata baada ya kumsubiri kwa muda alikuja.

Basi akasema amechelewa kuna jirani yake anaumwa sana yupo nyumbani basi wakati tunaongea kumbe alisahau simu huko alikotoka ikabidi nimsindikize na hichi ndicho kilichonitoa machozi.

Mgonjwa yupo katika hali mbaya, ni mama mtu mzima ambae anaugua sukari, mguu mmoja waliukata tayari sasa huu mguu mwingine hali ni mbaya jamani kidonda kikubwa kimetokea karibu na unyayo kinazidi kusambaa na kutoboa mguu, isitoshe hiyo sehemu ya kidonda panavuja/panachuruzika
maji.

Na pia mguu wote umekuwa mweusi, basi nikauliza kwanini hajapelekwa hospitapi hadi sasa wanadai hali ni ngumu nyumbani hapo na watoto hawana pesa kwani wanaishi kwa vibarua vibarua tu. Wazazi hao ni wazee na walikuwa wakulima wadogo tu.

Na kwa sasa hata mifugo ndani hawana kwani imetumika kwenye matibu tangu mguu wa kwanza na sasa hawana chochote.

Ukweli ni kwamba huyu mama anateketetea huku anajiona kutokana na umaskini uliopo. Hali ni mbaya na watoto wao pia hawana namna kutokana na uduni wa maisha.
 
Jana nilitoka nje ya wilaya niliyopo kwa ajili ya jambo flan flan, sasa wakati nikiwa huko ugenini mwenyeji wangu alichelewa kunifuata baada ya kumsubiri kwa muda alikuja.

Basi akasema amechelewa kuna jirani yake anaumwa sana yupo nyumbani basi wakati tunaongea kumbe alisahau simu huko alikotoka ikabidi nimsindikize na hichi ndicho kilichonitoa machozi.

Mgonjwa yupo katika hali mbaya, ni mama mtu mzima ambae anaugua sukari, mguu mmoja waliukata tayari sasa huu mguu mwingine hali ni mbaya jamani kidonda kikubwa kimetokea karibu na unyayo kinazidi kusambaa na kutoboa mguu, isitoshe hiyo sehemu ya kidonda panavuja/panachuruzika
maji.

Na pia mguu wote umekuwa mweusi, basi nikauliza kwanini hajapelekwa hospitapi hadi sasa wanadai hali ni ngumu nyumbani hapo na watoto hawana pesa kwani wanaishi kwa vibarua vibarua tu. Wazazi hao ni wazee na walikuwa wakulima wadogo tu.

Na kwa sasa hata mifugo ndani hawana kwani imetumika kwenye matibu tangu mguu wa kwanza na sasa hawana chochote.

Ukweli ni kwamba huyu mama anateketetea huku anajiona kutokana na umaskini uliopo. Hali ni mbaya na watoto wao pia hawana namna kutokana na uduni wa maisha.
Anasifa ya kupata excemption ya kulipia matibabu, kwa public facilities, mwoneni afisa ustawi wa jamii ktk kata, atamwanzishia kibali cha kupata tiba bila malipo
 
Nmeuliza ni bure?
kuna mwenyekiti wa kijiji huko mbweya amewakatia Bima wanakijiji wake wote wa kijiji chake zaidi ya 1500, ili kupunguza adha na fedheha za gharama za matibabu.

thamani ya Afya hailinganishwi na gharama yoyote, kwasabb afya na uhai ni zawadi kutoka kwa Mungu,

Tumepewa bure nasi yafaa kuitunza kwa nguvu na gharama yoyote ile ni uhai🐒
 
kuna mwenyekiti wa kijiji huko mbweya amewakatia Bima wanakijiji wake wote wa kijiji chake zaidi ya 1500, ili kupunguza adha na fedheha za gharama za matibabu.

thamani ya Afya hailinganishwi na gharama yoyote, kwasabb afya na uhai ni zawadi kutoka kwa Mungu,

Tumepewa bure nasi yafaa kuitunza kwa nguvu na gharama yoyote ile ni uhai🐒
Garama za NHif ni gani?
 
Nmeuliza tu mana garama unazonipa na nilizoziona naona tofauti
umeona hiyo elfu hamisini mia ngapi sijui ilikua previous yrs my lady, but imeongezeka kidunchu 🐒
 

Attachments

  • 3b94fc5db0076358ff9c173ebb022233.png
    3b94fc5db0076358ff9c173ebb022233.png
    43.5 KB · Views: 1
Jana nilitoka nje ya wilaya niliyopo kwa ajili ya jambo flan flan, sasa wakati nikiwa huko ugenini mwenyeji wangu alichelewa kunifuata baada ya kumsubiri kwa muda alikuja.

Basi akasema amechelewa kuna jirani yake anaumwa sana yupo nyumbani basi wakati tunaongea kumbe alisahau simu huko alikotoka ikabidi nimsindikize na hichi ndicho kilichonitoa machozi.

Mgonjwa yupo katika hali mbaya, ni mama mtu mzima ambae anaugua sukari, mguu mmoja waliukata tayari sasa huu mguu mwingine hali ni mbaya jamani kidonda kikubwa kimetokea karibu na unyayo kinazidi kusambaa na kutoboa mguu, isitoshe hiyo sehemu ya kidonda panavuja/panachuruzika
maji.

Na pia mguu wote umekuwa mweusi, basi nikauliza kwanini hajapelekwa hospitapi hadi sasa wanadai hali ni ngumu nyumbani hapo na watoto hawana pesa kwani wanaishi kwa vibarua vibarua tu. Wazazi hao ni wazee na walikuwa wakulima wadogo tu.

Na kwa sasa hata mifugo ndani hawana kwani imetumika kwenye matibu tangu mguu wa kwanza na sasa hawana chochote.

Ukweli ni kwamba huyu mama anateketetea huku anajiona kutokana na umaskini uliopo. Hali ni mbaya na watoto wao pia hawana namna kutokana na uduni wa maisha.
Subiri LUCAS MWASHAMBWA akusikie
 
Wee jamaa sijui una roho mbaya au vipi? Ulivyoona hivyo wewe ulitoa msaada gani? Kwa jinsi unavyojinasibu na kushangaa umasikini ningetegemea walau umpeleke hospitali na kugharamia japo huduma ya kwanza au toa basi 50k iwasaidie kumuuguza kuliko kuona ulichokiona na kubeza
Ulitaka aandike yote kwamba “nikatoa 50K kama msaada”? na angeandika hivyo still ungemuona kama ameleta mada ili kujionyesha kwamba ana hela sana.

Then wapi ame’mbeza mgonjwa?
 
Poleni Sana Ila Kama ungemfanyia utaratibu wa kumuombea msaada ingekuwa vizuri Sana.

Mpeleke hata hosptali kwanza then naamini anaweza kuchangiwa akapata matibabu

Binafsi nimeguswa na Kama kutakuwa na namna yoyote ya kumsaidia huyo mgonjwa utasema.
Kuwa making usijepigwa na kitu kizito, mtoa mada alishahusishwa na uvutaji bangi
 
Umasikini ni mbaya sana.Inakera pale mgonjwa anaposikia kua TUNASUBIRIA,ni bora ajitokeze msamaria mwema AMPE mgonjwa husika sumu.
 
Umasikini ni mbaya sana.Inakera pale mgonjwa anaposikia kua TUNASUBIRIA,ni bora ajitokeze msamaria mwema AMPE mgonjwa husika sumu.
hali duni ya maisha pamoja mfumo mbaya wa uongozi ndo unaleta haya yote
 
Ulitaka aandike yote kwamba “nikatoa 50K kama msaada”? na angeandika hivyo still ungemuona kama ameleta mada ili kujionyesha kwamba ana hela sana.

Then wapi ame’mbeza mgonjwa?
asante mkuu kwa kunijibia, maana ndo hvo tena, nimeweka update kwenye uzi na wala sijaweka namba ya mgonjwa wala yoyote na sikuandika huu uzi kuombea msaada mgonjwa.
ila nimeandika nilichokiona tu pamoja na hali halisi ya maisha ya watu mitaani.
 
Back
Top Bottom