Tlaatlaah
JF-Expert Member
- May 18, 2023
- 24,665
- 25,388
Yes,Bima ya afya kwa 70k??
We umeamua kudivert ujumbe wa mleta mada kwa sababu unazozijua mwenyewe.
Mleta mada kazungumzia masikini ambao vipato vyao kwa siku havieleweki.
We unabadilisha mada unasema mara iphone ya milioni 4, mara sijui kimeenda kimerudi, infinix sijui nini.. Kwa dunia ya sasa simu sio luxury, simu ni hitaji la muhimu pia, zipo za luxury, lakini hizi za mawasiliano tu ni muhimu na kuna watanzania hata hizo infinix za 90 elfu hawana, wanatumia kiswaswadu cha tecno kina rubber band kila kona.
Sasa huyu umuambie mambo ya bima, anaipatia wapi laki 2 kasoro, tena ya pamoja, kulipa bima?
Mkuu au wewe ni chawa wa watawala nini??
ilikua 50k last two yrs gentleman.
sibabaika kusema ukweli kwenye mabandiko yanakuja kutafuta attention na huruma.
hua naeleza ukweli.
kuna uzembe hata wa kifamilia dhidi ya huyo mgonjwa.
Sukari ni maradhi ambayo ni endelevu sana, ambayo mgonjwa anafaa kua standby mno kwa kuzingatia clinic, vigezo na masharti.
Walipaswa ilipogundulika ana tatizo hilo tu, wajichange na wamkatie bima ya afya, kwasabb mgonjwa huyo hastahili msamaha wa matibabu kwasabb ndugu zake wenye uwezo wapo. Hilo hawakulifanya na ni kosa la kifamilia.
Fuatilia hata huyo mgonjwa mwenyewe au hao ndugu zake wana Infinix new model za laki8 but wanatafuta huruma ati wao ni maskini.
That's very wrong.
Tuzipe afya zetu kipaumbele.
Gunia moja la Alizeti hivi sasa ni laki1.5 uzeni mkate bima za afya za mwaka mzima ndrugu zango wadau 🐒