CCM ile ya tarehe 05.02.1977 aliyoasisi Baba wa Taifa na wazalendo wenzake bado inaweza kutufikisha kule wa asisi wake walikokuwa wanatamani tufike. Tatizo imetekwa na wahuni na walafi walioitoa mikononi mwa Wafanyakazi na Wakulima. It is no longer a Mass Party as it used to be.Labda awe CCM B.
Dr Nchimbi yuko na msimamo, aliuonyesha tangu 2015 uteuzi wa Mgombea Urais ndani ya CCM ulitekwa kwa kuwepo mgombea wa upendeleo aliukataa waziwazi. Kama matendo ya Dr Nchimbi yataendana na matamko yako hakika 2025 ndio Rais material. Pia ni ME taifa litahitaji Rais Mwanaume mwenye hofu ya Mungu na anayekerwa na ufisadi na uvujaji wa mali ya umma.huu ni mwanzo mzuri kwa katibu mkuu wa CCM Dr. Emanuel Nchimbi baada ya maelezo yake yaliojaa hisia kali za uchungu, huruma ya kibinadamu na kukasirishwa na vitendo vya utekaji hususani dhidi ya utekaji na mauaji ya kikatili ya kamanda Ally Mohamed kibao kiongozi mwandamizi wa chadema..
Lakini pia ufafanuzi, msisitizo na maagizo yake kwa vyombo vya ulinzi na usalama dhidi ya kutekeleza maelekezo ya rais kuhusu uchunguzi wa haraka dhidi ya ukatili huo, na wito wake wa kiungwana sana kwa Chama, serikali na wananchi dhidi ya matukio hayo...
bila kujali vyama vyao vya kisiasa wengi wa waTanzani kupitia mitandao mbalimbali ya kijamii, vyombo vya habari, kwenye mikusanyiko mbalimbali wamevutiwa na namna kutibu Mkuu huyu wa CCM alivyolichukulia Jambo hili la utekaji kwa uzito unaostahili..
na maoni ya wengi ni kwamba Dr Emanueli Nchimbi anafaa zaidi kushika hatamu za uongozi wa nchi baada ya Dr Samia Suluhu Hassan kuhitimisha ngwe yake ya pili 2030.
unadhani ni kwanini waTanzania katika umoja wao bila kujali itikadi za vyama vyao na misimamo yao ya kisiasa, wametokea kumkubalia, kumuamini na kudhani kwamba kiongozi huyu ni muafaka sana kwa nafasi ya juu ya uongozi wa nchi baada ya Dr Samia Suluhu Hassan atakapokamilisha ngwe yake ya pili uongozini kikatiba 2030?
Friends, ladies and gentlemen,
mmebadili mawazo ama tupo pamoja na SG Dr Emanuel Nchimbi sako kwa bako kuanzia 2030 na kuendelea?π
Mungu Ibariki Tanzania
uko sahihi hapo mwanzo,Ila Pia kwa Nafasi yake ya sasa, kila anachoweza kusaidia kushauri na kuelekeza tunatarajia asaidie mambo yasiendelee kuharibika kufikia ile Hatua ya yule Mzee ww kule wanakolima nanasi sana, aliyosema kuwa labda mambo ya kiharibika zaidi hapa Katikati.
Naogopa Rafu za ndani kama alivyofanyiwa Gentleman Dr Salim na the so called Mtandao ambao baadae nao ulivurugana na kugeukana. Yule Mzee labda awe ametupisha ni mvurugaji.For sure ni makali.
ni mtu wa kusema na kutenda π
huu ni mwanzo mzuri kwa katibu mkuu wa CCM Dr. Emanuel Nchimbi baada ya maelezo yake yaliojaa hisia kali za uchungu, huruma ya kibinadamu na kukasirishwa na vitendo vya utekaji hususani dhidi ya utekaji na mauaji ya kikatili ya kamanda Ally Mohamed kibao kiongozi mwandamizi wa chadema..
Lakini pia ufafanuzi, msisitizo na maagizo yake kwa vyombo vya ulinzi na usalama dhidi ya kutekeleza maelekezo ya rais kuhusu uchunguzi wa haraka dhidi ya ukatili huo, na wito wake wa kiungwana sana kwa Chama, serikali na wananchi dhidi ya matukio hayo...
bila kujali vyama vyao vya kisiasa wengi wa waTanzani kupitia mitandao mbalimbali ya kijamii, vyombo vya habari, kwenye mikusanyiko mbalimbali wamevutiwa na namna kutibu Mkuu huyu wa CCM alivyolichukulia Jambo hili la utekaji kwa uzito unaostahili..
na maoni ya wengi ni kwamba Dr Emanueli Nchimbi anafaa zaidi kushika hatamu za uongozi wa nchi baada ya Dr Samia Suluhu Hassan kuhitimisha ngwe yake ya pili 2030.
unadhani ni kwanini waTanzania katika umoja wao bila kujali itikadi za vyama vyao na misimamo yao ya kisiasa, wametokea kumkubalia, kumuamini na kudhani kwamba kiongozi huyu ni muafaka sana kwa nafasi ya juu ya uongozi wa nchi baada ya Dr Samia Suluhu Hassan atakapokamilisha ngwe yake ya pili uongozini kikatiba 2030?
Friends, ladies and gentlemen,
mmebadili mawazo ama tupo pamoja na SG Dr Emanuel Nchimbi sako kwa bako kuanzia 2030 na kuendelea?π
Mungu Ibariki Tanzania
Mtanzania gani anamfikiria nchimbi? nchimbi mrija wa wajanja km bi tozo tuu,,TUNZA HII,,, 2025 wagombea wa CCM Rais Majaliwa na VP Dr. Tulia!!!elezea kwa kina kifupi kidogo kwa faida ya wadau π
2030 si mbaliNcho
Mtanzania gani anamfikiria nchimbi? nchimbi mrija wa wajanja km bi tozo tuu,,TUNZA HII,,, 2025 wagombea wa CCM Rais Majaliwa na VP Dr. Tulia!!!
Infact,Dr Nchimbi yuko na msimamo, aliuonyesha tangu 2015 uteuzi wa Mgombea Urais ndani ya CCM ulitekwa kwa kuwepo mgombea wa upendeleo aliukataa waziwazi. Kama matendo ya Dr Nchimbi yataendana na matamko yako hakika 2025 ndio Rais material. Pia ni ME taifa litahitaji Rais Mwanaume mwenye hofu ya Mungu na anayekerwa na ufisadi na uvujaji wa mali ya umma.
Bila unafiki wa Kisiasa, ndani ya CCM Dr N angesaidia nchi na chama chake pia. For rational thinkers he remains the only best option. He is a man of his stand.2030 si mbali
Huwezi tenganisha dini na siasa za tanzaniagentleman,
udini sio Muhimu tena kwenye siasa za Tanzania tafadhali sana tusirudi kwenye ujima π
ukimtazama na kumpima vizuri Dr Nchimbi, hivi kweli kuna mtu anaweza pambana nae kweli akiamua kusema ng'weee?πNaogopa Rafu za ndani kama alivyofanyiwa Gentleman Dr Salim na the so called Mtandao ambao baadae nao ulivurugana na kugeukana. Yule Mzee labda awe ametupisha ni mvurugaji.
Regardless, si kosa kuanzia kufikilia Options . Tabia ya kuokota wagombea bila kuwa andaa imetugharimu sana Nchi hii, Bila kujali anatoka Chama gani, we need Individual capability.Infact,
ni kuanzia 2030 na si vinginevyo gentleman π