Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawezi kuwa Perfect 100% ila ana much elements za kuwa Kiongozi na ni Mkakamavu na hayumbi kwa kile anachokiamini hata kama ni kupoteza uteuzi. Ndani ya Chama wanamjua na sisi tulioko nje tunamuona. Hutapata Mtu ambaye ana all required Compitence and qualifications 100% at least ana 75% na he is above most of the Faces available .Watanzania ni wepesi wa kusahau, Nchimbi ana historia kuanzia umoja wa vijana, mmesahau sababu iliyomfanya mgombea mwanamke aliyejitoa kuwania uenyekiti wa umoja wa vijana wa ccm baada ya kuvamiwa Tabata.
Walio karibu naye akiwa mwenyekiti wa umoja wa vijana watakwambia vifo vya ajabu vya watu waliokuwa wakimpinga.
Hii inaonyesha wengi wameingiza siasa kwa mihemko na hawajuiadui wa upinzani ni nani.
Pia ni rahisi kubadilika kwa matamko tu...
Ni kwa Mapenzi ya Mungu ndo maana tuko hapa tulipo.Wote hovyo hovyo tu. LAKINI Nchimbi afadhali sana sana kuliko huyu mama! She's absolutely hopeless!
Ni kwa Mapenzi ya Mungu ndo maana tuko hapa tulipo.
UVICCM ya akina enzi za Nchimbi ilikuwa na Vijana wazalendo na bahati nzuri walikuwa wanalelewa na Wazee wa Chama wa wakati huo wakati bado kiko mikononi mwa wenye jembe na Nyundo. Hiki cha sasa ni tatizoWote hovyo hovyo tu. LAKINI Nchimbi afadhali sana sana kuliko huyu mama! She's absolutely hopeless!
Kampenihuu ni mwanzo mzuri kwa katibu mkuu wa CCM Dr. Emanuel Nchimbi baada ya maelezo yake yaliojaa hisia kali za uchungu, huruma ya kibinadamu na kukasirishwa na vitendo vya utekaji hususani dhidi ya utekaji na mauaji ya kikatili ya kamanda Ally Mohamed kibao kiongozi mwandamizi wa chadema..
Lakini pia ufafanuzi, msisitizo na maagizo yake kwa vyombo vya ulinzi na usalama dhidi ya kutekeleza maelekezo ya rais kuhusu uchunguzi wa haraka dhidi ya ukatili huo, na wito wake wa kiungwana sana kwa Chama, serikali na wananchi dhidi ya matukio hayo...
bila kujali vyama vyao vya kisiasa wengi wa waTanzani kupitia mitandao mbalimbali ya kijamii, vyombo vya habari, kwenye mikusanyiko mbalimbali wamevutiwa na namna kutibu Mkuu huyu wa CCM alivyolichukulia Jambo hili la utekaji kwa uzito unaostahili..
na maoni ya wengi ni kwamba Dr Emanueli Nchimbi anafaa zaidi kushika hatamu za uongozi wa nchi baada ya Dr Samia Suluhu Hassan kuhitimisha ngwe yake ya pili 2030.
unadhani ni kwanini waTanzania katika umoja wao bila kujali itikadi za vyama vyao na misimamo yao ya kisiasa, wametokea kumkubalia, kumuamini na kudhani kwamba kiongozi huyu ni muafaka sana kwa nafasi ya juu ya uongozi wa nchi baada ya Dr Samia Suluhu Hassan atakapokamilisha ngwe yake ya pili uongozini kikatiba 2030?
Friends, ladies and gentlemen,
mmebadili mawazo ama tupo pamoja na SG Dr Emanuel Nchimbi sako kwa bako kuanzia 2030 na kuendelea?🐒
Mungu Ibariki Tanzania
Familia historia yake, wengi wengi mmeanza kufatilia siasa juzijuzi.Hawezi kuwa Perfect 100% ila ana much elements za kuwa Kiongozi na ni Mkakamavu na hayumbi kwa kile anachokiamini hata kama ni kupoteza uteuzi. Ndani ya Chama wanamjua na sisi tulioko nje tunamuona. Hutapata Mtu ambaye ana all required Compitence and qualifications 100% at least ana 75% na he is above most of the Faces available .
Miaka michache imebakia ni vema tuanze kutupia jicho huko maana ushabiki wa kuokota watu dakika za lala salama zimeponza Taifa letu hata huku majimboni ni hivyo.Kampeni
Aje CDM tutamfikiria.huu ni mwanzo mzuri kwa katibu mkuu wa CCM Dr. Emanuel Nchimbi baada ya maelezo yake yaliojaa hisia kali za uchungu, huruma ya kibinadamu na kukasirishwa na vitendo vya utekaji hususani dhidi ya utekaji na mauaji ya kikatili ya kamanda Ally Mohamed kibao kiongozi mwandamizi wa chadema..
Lakini pia ufafanuzi, msisitizo na maagizo yake kwa vyombo vya ulinzi na usalama dhidi ya kutekeleza maelekezo ya rais kuhusu uchunguzi wa haraka dhidi ya ukatili huo, na wito wake wa kiungwana sana kwa Chama, serikali na wananchi dhidi ya matukio hayo...
bila kujali vyama vyao vya kisiasa wengi wa waTanzani kupitia mitandao mbalimbali ya kijamii, vyombo vya habari, kwenye mikusanyiko mbalimbali wamevutiwa na namna kutibu Mkuu huyu wa CCM alivyolichukulia Jambo hili la utekaji kwa uzito unaostahili..
na maoni ya wengi ni kwamba Dr Emanueli Nchimbi anafaa zaidi kushika hatamu za uongozi wa nchi baada ya Dr Samia Suluhu Hassan kuhitimisha ngwe yake ya pili 2030.
unadhani ni kwanini waTanzania katika umoja wao bila kujali itikadi za vyama vyao na misimamo yao ya kisiasa, wametokea kumkubalia, kumuamini na kudhani kwamba kiongozi huyu ni muafaka sana kwa nafasi ya juu ya uongozi wa nchi baada ya Dr Samia Suluhu Hassan atakapokamilisha ngwe yake ya pili uongozini kikatiba 2030?
Friends, ladies and gentlemen,
mmebadili mawazo ama tupo pamoja na SG Dr Emanuel Nchimbi sako kwa bako kuanzia 2030 na kuendelea?🐒
Mungu Ibariki Tanzania
Kuwapa nafasi za uongozi kwa kuzingatia Historia za Familia na Majina ya waliowatangulia zimetuponza. Angalia Vijana wale 2 ambao hawakuwa na Sifa ila walibebwa na Majina ya Wazazi wao na nini kimetokea?Familia historia yake, wengi wengi mmeanza kufatilia siasa juzijuzi.
Aje CDM tutamfikiria.
Wanzania au wewe,tangu lini ukawa msemaji wa watanzania?,punguza uchawahuu ni mwanzo mzuri kwa katibu mkuu wa CCM Dr. Emanuel Nchimbi baada ya maelezo yake yaliojaa hisia kali za uchungu, huruma ya kibinadamu na kukasirishwa na vitendo vya utekaji hususani dhidi ya utekaji na mauaji ya kikatili ya kamanda Ally Mohamed kibao kiongozi mwandamizi wa chadema..
Lakini pia ufafanuzi, msisitizo na maagizo yake kwa vyombo vya ulinzi na usalama dhidi ya kutekeleza maelekezo ya rais kuhusu uchunguzi wa haraka dhidi ya ukatili huo, na wito wake wa kiungwana sana kwa Chama, serikali na wananchi dhidi ya matukio hayo...
bila kujali vyama vyao vya kisiasa wengi wa waTanzani kupitia mitandao mbalimbali ya kijamii, vyombo vya habari, kwenye mikusanyiko mbalimbali wamevutiwa na namna kutibu Mkuu huyu wa CCM alivyolichukulia Jambo hili la utekaji kwa uzito unaostahili..
na maoni ya wengi ni kwamba Dr Emanueli Nchimbi anafaa zaidi kushika hatamu za uongozi wa nchi baada ya Dr Samia Suluhu Hassan kuhitimisha ngwe yake ya pili 2030.
unadhani ni kwanini waTanzania katika umoja wao bila kujali itikadi za vyama vyao na misimamo yao ya kisiasa, wametokea kumkubalia, kumuamini na kudhani kwamba kiongozi huyu ni muafaka sana kwa nafasi ya juu ya uongozi wa nchi baada ya Dr Samia Suluhu Hassan atakapokamilisha ngwe yake ya pili uongozini kikatiba 2030?
Friends, ladies and gentlemen,
mmebadili mawazo ama tupo pamoja na SG Dr Emanuel Nchimbi sako kwa bako kuanzia 2030 na kuendelea?🐒
Mungu Ibariki Tanzania
Huyu ni DrSiye
Wanzania au wewe,tangu lini ukawa msemaji wa watanzania?,punguza uchawa
Tatizo ni uchawa na unafiki wa Ndani. Ila sina shaka naye , anazijua hizo strategies na Tactictics za ndani. Mungu ampe Afya tu !For sure ni makali.
ni mtu wa kusema na kutenda 🐒
Tunachotafuta sisi wananchi ni kumpata Mtu mweye ujasiri na uthubutu na pia Mzalendo. Mbona JP alifumua mfumo aliposhika Madaraka. Kama Vyama vingine , CCM kama Chama hakijawahi kuwa ni tatizo. tatizo ni Watu wachache waliojimilikisha Chama hicho kutoka mikononi mwa wanachama. Katiba na Sera na Hata Ilani zake zote huwa ni nzuri but those who holds the positions and largely the Top Seat.Ni hao hao watekaji na wauaji....
Chakushangaza zaidi aliyeleta hii thread ni chawa wa ccm!!!