Wewe ndio mshamba.UTOVU WA NIDHAMU!
NANI AIJUAYE KESHO!!?
UKUU WA WILAYA NI FURSA YA KUPATA UWANJA WA KUONYESHA LEADERSHIP SKILLS!!!
MSHAHARA MKUBWA NA POSHO KUBWA SIO KILA KITU WAKUU!
CV,CONNECTION AND INTERACTON WITH V.I.PS OF THE STATE MATTERS MOST!
HUWEZI UKAWA MTUMISHI WA UMMA UKAGOMEA UTEUZI TOKA KWA NAMBA MOJA KISA MISHAHARA NA MARUPU RUPU LABDA KAMA ANGEKUWA KWENYE KAMPUNI AU PRIVATE SECTORS!!
WAMEONYESHA ULIMBUKENI NA USHAMBA PIA!
Unaona kazi ya U-DC ni ya maana sana, na rais kwako ni Mungu, hivyo mtu akichaguliwa kuwa mkuu wa wilaya inabidi atetemekee nafasi hiyo. Hiyo ni kazi ya majobless, na watu wanaojipendekeza.
Heshima ni kulipoti kwanza unakula kiapo alafu unajiuzuluUsikariri.
Uteuzi ni kama JOB OFFER,
Unaweza kukataa.
Ally Miswanya alimkatalia JOM pia.
PUNGUZENI UCHAWA
Zamani nyakati za Nyerere mkuu wa Wilaya akiwa anaitwa Area Comissioner kilikuwa ni cheo chenye heshima sana. Mpaka mtu uteuliwe kuwa Area Comissioner lazima uwe ni mtu wa shoka sana. Lakini siku hizi, dah!Kwa kweli bila kupepesa maneno, cheo cha ukuu wa wilaya kwa sasa mhh...kama mtu una madili yako ni bora ukatae uteuzi uendelee kupiga misele yako tu, usije ukapata pressure bure
Lugha Kali Sana Kwa kiongozi wako wa inchiMjambiani ni mpuuzi wa wapuuzi unawapaje watu ka,i bila ya wao kukuambia kuwa wanataka hiyo kazi au wanauwezo nayo ...ni sawa sawa umsajiri fei toto kuwa kipa [emoji849][emoji849] tukisema huyu ajuza kanya akili na kubakisha kinyesi watu wanasema tunatukana ...mfano unamwamisha joketi wakati unajua ndiyo katoka kujifungua hivi majuzi
Hata mafuta ya kwenda kukagua miradi mbalimbali ya serikali inabidi kumpigia magoti mkurugenzi, mkuu wa wilaya anaweza kupata oc ya sh 1,500,000 baada ya miezi 3UDC ni dili sana kwa Machawa wenye njaa! Katibu Mkuu wa CWT ni mtu mzito sana kimajukumu na hata kimapato!
Hivi vyeo vya Wakuu wa Wilaya havina impact kwenye maisha ya Wananchi na ni matumizi mabaya tu ya Kodi za Wananchi!
Kuna Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri au Manispaa ambaye ni mtaalamu na pia kuna Meya au Mwenyekiti wa Halmashauri, sasa Mkuu wa Wilaya wa nini?!
Ukiteuliwa utaukataa udc??Naunga mkono hoja, hizi post za DC ni muendelezo tuu wa colonial legacy, but in reality the post is redundancy, just wastage of time, money and resouses za Watanzania masikini wa kutupa wanaishi kwenye lindi la umasikini uliotopea.
P
Musheshimiwa ndio nini??Musheshimiwa Rais,Mama yetu Samia, naomba uniteue mimi
Heshima au uchawa?Heshima ni kulipoti kwanza unakula kiapo alafu unajiuzulu
Haiwezi kutokea kwasababu nimeisha uzuia uteuzi https://www.jamiiforums.com/threads...taki-teuzi-niko-naye-mbeya-nitamweza.2007857/
Naelekea 60!, ni mwandishi wa habari wa kujitegemea kwa kujitolea , kwa kazi tuu ya uandishi wa habari, kwa jinsi ninavyolisaidia taifa as journalist nalisaidia zaidi taifa na kumsaidia sana Samia kuliko kama ingekuwa DC.
P
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ningeshangaa sana kama wangekubali hii teuzi Hawa jamaa. ..maana Cwt wanajichotea tu mihela bila bughudha...si unajua walimu hawanaga baya na Viongozi wao? (Uoga)
Mungu wangu, daah. Watu mnakua na akili za ajabu sana, Kwanza usiseme naongelea juu ya waalimu kukataa uteuzi. Nilipoongelea waalimu kukataa uteuzi ni kwenye nyuzi zinazohusiana na hilo, sasa sijui ulitarajia ni comment kitu gani?Nimefuatilia huu ni uzi wa pili sasa unaongelea juu ya walimu kukataa uteuzi.
Nijuavyo mimi ni kuwa ukiwa mtumishi wa umma na ukateuliwa basi ajira yako haikomi. Unafanya utaratibu wa kuandika barua kwa mwajiri wako kuwa umeitikia wito wa Rais.
Siku ukitumbuliwa unarudi kwenye ajira yako na mshahara wako wa ukuu wa wilaya haubadiliki.
Ukiona mtu amekataa uteuzi lazima atakuwa na maslahi zaidi na hapo alipo.
Aliyewaambia wanataka kuwa viongozi wa kisiasa ni nani? Haya maisha jifunze kuwa huru usipende kuburuzwa kipumbavu. Nafasi ya hawa viongozi wa CWT kiajira wao ni walimu hawakwenda SONGEA TTC kusomea ukuu wa wilaya walienda wawe walimu na kazi zote za majukumu ya ualimu, Kugomea teuzi sio kosa kisheria kama ni kosa Nipe kifungu sio maneno matupu.UTOVU WA NIDHAMU!
NANI AIJUAYE KESHO!!?
UKUU WA WILAYA NI FURSA YA KUPATA UWANJA WA KUONYESHA LEADERSHIP SKILLS!!!
MSHAHARA MKUBWA NA POSHO KUBWA SIO KILA KITU WAKUU!
CV,CONNECTION AND INTERACTON WITH V.I.PS OF THE STATE MATTERS MOST!
HUWEZI UKAWA MTUMISHI WA UMMA UKAGOMEA UTEUZI TOKA KWA NAMBA MOJA KISA MISHAHARA NA MARUPU RUPU LABDA KAMA ANGEKUWA KWENYE KAMPUNI AU PRIVATE SECTORS!!
WAMEONYESHA ULIMBUKENI NA USHAMBA PIA!
Nani aliyekwambia kukubali uteuzi ndiyo kunamuweka huru dhidi ya shutuma alizo nazo? Tangu lini wakuu wa Wilaya wana kinga ya kutoshitakiwa?Ana kesi ya ubadhirifu ambayo 100% ana hatia. Sasa kama wewe unamshauri ajiamini kukabiliana na uwezekano wa mashtaka hiyo ni juu yako.
Option aliyokuwa nayo ni kuchukua nafasi ya uteuzi kisha ukawepo ugumu kuendesha mashtaka. Kwa uzoefu wa katiba yetu mbovu ulivyo mkuu wa wilaya hakutwi na hatia kirahisi
Mbona unamdharau sana Mayala?Ni wakati sasa Rais amkumbuke Paskali Mayala.