Watatu walioteuliwa Ukuu wa Wilaya, akiwemo Japheth Maganga wadaiwa kukataa uteuzi

Watatu walioteuliwa Ukuu wa Wilaya, akiwemo Japheth Maganga wadaiwa kukataa uteuzi

UTOVU WA NIDHAMU!

NANI AIJUAYE KESHO!!?

UKUU WA WILAYA NI FURSA YA KUPATA UWANJA WA KUONYESHA LEADERSHIP SKILLS!!!

MSHAHARA MKUBWA NA POSHO KUBWA SIO KILA KITU WAKUU!

CV,CONNECTION AND INTERACTON WITH V.I.PS OF THE STATE MATTERS MOST!

HUWEZI UKAWA MTUMISHI WA UMMA UKAGOMEA UTEUZI TOKA KWA NAMBA MOJA KISA MISHAHARA NA MARUPU RUPU LABDA KAMA ANGEKUWA KWENYE KAMPUNI AU PRIVATE SECTORS!!

WAMEONYESHA ULIMBUKENI NA USHAMBA PIA!
Wewe ndio mshamba.
Huna hoja.
We hoja tuone akili zako.

Unafrikiri kila mtu anatamani siasa mkuu.
 
Ibrahin Ajib "Kadabra" Anasema kama unaona kwenda ulaya ni kitonga, basi nenda wewe.

Jamaa ni haki yao kukataa, mambo mengine wawe wanauliza muhusika kwanza, siyo kupelekeshana

Mimi nawapongeza kwa misimamo hiyo.
 
Kwa kweli bila kupepesa maneno, cheo cha ukuu wa wilaya kwa sasa mhh...kama mtu una madili yako ni bora ukatae uteuzi uendelee kupiga misele yako tu, usije ukapata pressure bure
Zamani nyakati za Nyerere mkuu wa Wilaya akiwa anaitwa Area Comissioner kilikuwa ni cheo chenye heshima sana. Mpaka mtu uteuliwe kuwa Area Comissioner lazima uwe ni mtu wa shoka sana. Lakini siku hizi, dah!
 
Mjambiani ni mpuuzi wa wapuuzi unawapaje watu ka,i bila ya wao kukuambia kuwa wanataka hiyo kazi au wanauwezo nayo ...ni sawa sawa umsajiri fei toto kuwa kipa [emoji849][emoji849] tukisema huyu ajuza kanya akili na kubakisha kinyesi watu wanasema tunatukana ...mfano unamwamisha joketi wakati unajua ndiyo katoka kujifungua hivi majuzi
Lugha Kali Sana Kwa kiongozi wako wa inchi
 
UDC ni dili sana kwa Machawa wenye njaa! Katibu Mkuu wa CWT ni mtu mzito sana kimajukumu na hata kimapato!
Hivi vyeo vya Wakuu wa Wilaya havina impact kwenye maisha ya Wananchi na ni matumizi mabaya tu ya Kodi za Wananchi!
Kuna Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri au Manispaa ambaye ni mtaalamu na pia kuna Meya au Mwenyekiti wa Halmashauri, sasa Mkuu wa Wilaya wa nini?!
Hata mafuta ya kwenda kukagua miradi mbalimbali ya serikali inabidi kumpigia magoti mkurugenzi, mkuu wa wilaya anaweza kupata oc ya sh 1,500,000 baada ya miezi 3
 
Nimefuatilia huu ni uzi wa pili sasa unaongelea juu ya walimu kukataa uteuzi.

Nijuavyo mimi ni kuwa ukiwa mtumishi wa umma na ukateuliwa basi ajira yako haikomi. Unafanya utaratibu wa kuandika barua kwa mwajiri wako kuwa umeitikia wito wa Rais.

Siku ukitumbuliwa unarudi kwenye ajira yako na mshahara wako wa ukuu wa wilaya haubadiliki.

Ukiona mtu amekataa uteuzi lazima atakuwa na maslahi zaidi na hapo alipo.
Mungu wangu, daah. Watu mnakua na akili za ajabu sana, Kwanza usiseme naongelea juu ya waalimu kukataa uteuzi. Nilipoongelea waalimu kukataa uteuzi ni kwenye nyuzi zinazohusiana na hilo, sasa sijui ulitarajia ni comment kitu gani?
Pili, utaratibu siyo tu kuandika barua ya kuandika barua kuitikia wito/uteuzi bali unaweza pia ukaukataa wito huo.

Kingine, unaposema ukiona mtu anakataa uteuzi basi ujue pale alipo pana maslahi zaidi, kwani kuna shida gani pakiwa na maslahi zaidi?
Kwani utaratibu ni lazima kukubali hizo teuzi?
 
UTOVU WA NIDHAMU!

NANI AIJUAYE KESHO!!?

UKUU WA WILAYA NI FURSA YA KUPATA UWANJA WA KUONYESHA LEADERSHIP SKILLS!!!

MSHAHARA MKUBWA NA POSHO KUBWA SIO KILA KITU WAKUU!

CV,CONNECTION AND INTERACTON WITH V.I.PS OF THE STATE MATTERS MOST!

HUWEZI UKAWA MTUMISHI WA UMMA UKAGOMEA UTEUZI TOKA KWA NAMBA MOJA KISA MISHAHARA NA MARUPU RUPU LABDA KAMA ANGEKUWA KWENYE KAMPUNI AU PRIVATE SECTORS!!

WAMEONYESHA ULIMBUKENI NA USHAMBA PIA!
Aliyewaambia wanataka kuwa viongozi wa kisiasa ni nani? Haya maisha jifunze kuwa huru usipende kuburuzwa kipumbavu. Nafasi ya hawa viongozi wa CWT kiajira wao ni walimu hawakwenda SONGEA TTC kusomea ukuu wa wilaya walienda wawe walimu na kazi zote za majukumu ya ualimu, Kugomea teuzi sio kosa kisheria kama ni kosa Nipe kifungu sio maneno matupu.

Mwajiri wa mwalimu ni mkurugenzi maana wapo chini ya serikali za mitaa (halmashauri) na sio Rais acheni ubabaishaji hakuna Mwajiri namba moja Wala namba kumi Mwajiri ni mmoja tu MKURUGENZI nahakuna kipengere chochote cha mkataba kinasema ni kosa Kugomea uteuzi bali Kuna kipengere kinasema utakuwa tayari kufanya kazi ya ualimu na majukumu mengine utakayopangiwa maana ake yale tu ndani ya proffesion na uwanja wako wa kazi kama kuwa mtaaluma, mkuu wa shule na mengineyo
 
Ana kesi ya ubadhirifu ambayo 100% ana hatia. Sasa kama wewe unamshauri ajiamini kukabiliana na uwezekano wa mashtaka hiyo ni juu yako.

Option aliyokuwa nayo ni kuchukua nafasi ya uteuzi kisha ukawepo ugumu kuendesha mashtaka. Kwa uzoefu wa katiba yetu mbovu ulivyo mkuu wa wilaya hakutwi na hatia kirahisi
Nani aliyekwambia kukubali uteuzi ndiyo kunamuweka huru dhidi ya shutuma alizo nazo? Tangu lini wakuu wa Wilaya wana kinga ya kutoshitakiwa?
Kwani ni kipi kilichomtokea aliyekua Mkurugenzi wa Halmashauri huko Ruangwa? Alipiga hela alipokuwa Mkurugenzi wa Halmashauri. Baadaye akateuliwa kuwa Mkuu wa Wilaya, juzijuzi tu hapa TAKUKURU wamemfungulia Mashitaka akiwa kwenye nafasi yake ya ukuu wa Wilaya hali iliyopelekea rais kutengua uteuzi wake.

Au kama ana hizo shutuma halafu akang'ang'ania kubaki kwani kunampa kinga ya kutochunguzwa na kushitakiwa?
Mbon tunaongea vitu bila kutumia vyema ufahamu wetu?
 
Vyovote iwavyo hili swala me nalichukulia kama ni mpango wa kukiyumbisha na kukiharibu hicho chama Cha maticha.

Huwezi kwa wkt mmoja kuwaondoa kwenye nafasi zao katibu, Naibu katibu pamoja na Rais wa hicho chama kwa kigezo Cha uteuzi tena wa ukuu wa wilaya.

Nikweli inaweza ikawa sio vyema sn kukataa uteuzi wa Rais lkn tuangalie nyuma ya pazia uteuzi huo una agenda gani ya Siri nyuma yake kwa chama Cha maticha?
 
Back
Top Bottom