Watatu walioteuliwa Ukuu wa Wilaya, akiwemo Japheth Maganga wadaiwa kukataa uteuzi

Ka Mkama Ana uhakika wa kuongiza hyo cwt kwa takrban miaka 5 bas Ana haki ya kukataa kuendelea
 

Kuna watu wanajuaga kuteuliwa tuu bila kujua wanachenda kukifanya
Au kupima hasira ya wanachokiacha ili wakawe madc au maded
Ni vizuri wakapewa taarifa na kutoa mrejesho kabla ya kuteuliwa
 
WAALIMU WAJIPANGA KUJIKOMBOA KUTOKA CCM ?

Safi ni dalili ya mwanga unaoangaza wa Chama cha Walimu Tanzania (CWT) kutaka kujikomboa kutoka kucha za chama dola na kukataa kuwa Jumuiya ya CCM kama zilivyo UVCCM, UWT, WAZAZI

16 December 2022
Dodoma, Tanzania

VURUGU ZAIBUKA MKUTANO WA CHAMA CHA WALIMU, WAMTIMUA KAIMU RAIS Bi. Dinah Mathamani
huku Bi. Leah Ulaya .....


Kwa sasa CWT inaongozwa na Kaimu Rais Dinah Mathamani na Kaimu Katibu Mkuu Japheth Maganga baada ya viongozi wa juu kusimamishwa kwa nyakati tofauti.

CWT kimesakamwa sana kama TLS chama cha mawakili Tanganyika kwa muda mrefu ili kiwe pamoja na CCM

Mwaka 2017:


Waalimu wamekuwa wakirushiwa lawama kukubali kutumika na CCM ili ibaki madarakani huku waalimu mazingira yao ya kufanya kazi ni magumu mfano darasa moja lina wanafunzi 200 na anatakiwa awafunze watoto hao ili wafaulu vizuri wakati ni vigumu.

Inatakiwa wastani wa Mwalimu kwa darasa iwe 1 : 30 yaani darasa lisizidi wanafunzi 30 ili mwalimu aweze kutoa elimu sahihi kwa watoto na kuweza kusahihisha kazi zao n.k n.k


Lakini serikali ya CCM haioni hilo la mzigo mkubwa kwa waalimu na wanafunzi kutofanya vizuri ktk mitihani yao ya ngazi mbalimbali na mwisho wa siku wanalaumiwa waalimu kwa kutofundisha wanafunzi wapate alama nzuri.
mwananchi.co.tz
https://www.mwananchi.co.tz › kitaifa
ELIMU: Darasa moja, wanafunzi 370


9 Mar 2021 — Wanafunzi wa darasa la pili katika shule ya msingi Nyamarere mkoani Geita wakiwa darasani.....
 
CWT ni kichaka cha wizi,Rushwa, UFISADI na UBADHIRIFU!

Tunaomba Serikali ishushe makato ya ya CWT hayana tija KWA walimu tuliopo Field huku!

Ndio Maana Hata taaluma inashuka nchini Kwasababu ya kupe kama hao! mishahara haipandi halafu makato yanapanda KWA asilimia!

Wizi na UFISADI wa CWT umefanya wahusika wadharau uteuzi wa RAIS!

Nina imani SERIKALI itashughulika na CHAMA HIKI!
 
Ni wakati sasa Rais amkumbuke Paskali Myala.
Aisee, humu huwa tunamtania tu Pascal Mayalla kumhusisha na hizi nafasi. Msije mkachulia kuwa watu wakisema wapo serious. The guy is the living legend na heshima yake ni kubwa sana kuwa associated na kumsaidia rais katika ngazi ya such positions. Ni heri aendelee kumsaidia rais kulipa kodi kuliko kwenye nafasi hizo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…