Watatu walioteuliwa Ukuu wa Wilaya, akiwemo Japheth Maganga wadaiwa kukataa uteuzi

Watatu walioteuliwa Ukuu wa Wilaya, akiwemo Japheth Maganga wadaiwa kukataa uteuzi

Vyama vya wafanyakazi hufanya kazi zake katika mahusiano uwili "bipartite" kati yake na mwajiri. Mwavuli wake ukiwa ni sauti jumuifu za wafanyakazi " collective voices of worker" zinazowasilishwa Kwa njia ya majadiliano ya pamoja "collective bargaining".

Tunapoona mahusiano yanaingiza utatu "tripartite" maana yake kuna sauti za umma zinapaswa kusikika na Serikali ndiyo chombo kinachoingiza maslahi mapana ya umma " public interest" kwenye meza ya majadiliano maslahi ambayo Vyama vya wafanyakazi huwa haviyapi kipaumbele mara nyingi.

Kuna sauti hazisikiki vizuri juu kutokana na waliovaa kofia ya uwakilishi kushindwa kuwasilisha kinachopaswa kuwajibishwa na badala yake ni mtifuano chamani. Katika kurekebisha hali chombo cha tatu katika mahusiano ya kiajira "labour relations" hutumia njia kadhaa kuhakikisha maslahi mapana ya umma yanasikika.

Katika kurekebisha hali Ili maslahi mapana ya umma kupata nafasi yake wapo watakaoumia kutokana na mazingira ya maslahi binafsi yamekuwa finye.
 
Si kweli, unautamani usiku na mchana!
Mkuu Lusungo, jf was meant to be a home of great minds, lakini all the people are not alike, tuna simple mind, ordinary mind and great minds, kama na wewe ambaye nilikuhesabu ni GT, kama ukinisoma humu unaona nautamani u DC usiku na mchana, then you are very wrong about me!.
Mamlaka ya uteuzi ni moja tuu, mtu anayeutamani uteuzi usiku na mchana, anaweza kuzungumza haya kuhusu mamlaka ya uteuzi?.
Na https://www.jamiiforums.com/threads...030-ndipo-aje-mwanamke.1980867/#post-42540531
Na https://www.jamiiforums.com/threads...-ya-kukoseshwa-tumvumilie-tumpe-muda.1883239/ na
Na https://www.jamiiforums.com/threads...ni-haki-si-uadui-si-chuki-si-kinyume.2043460/
P
 
Naunga mkono hoja, hizi post za DC ni muendelezo tuu wa colonial legacy, but in reality the post is redundancy, just wastage of time, money and resouses za Watanzania masikini wa kutupa wanaishi kwenye lindi la umasikini uliotopea.
P
Kaka kuna watu wanakupigia chapuo la UDC!!!!Na kilingeni mkuu anasema kijana unafaa
 
Hili Dubwana linaitwa CWT ni jini linalo nyonya damu na halijawahi kutosheka..... Watu wamechomolewa kwenye chuchu... Sasa hawataki....
 
Kwani mh rais hakuwasiliana nao kabla ya kuwatangaza. Au rais anaweza kunitangaza kuwa kuanzia sasa Stonecutter ni mkuu wa wilaya flani pasipo kunitaarifu mimi niridhie au nimkatalie kabla ya kulitangaza kwa umma, jambo ambalo halitaleta fedheha na kumvunjia heshima mkuu wa watu. Na kama alitangaza tu na wateuliwa wakaskia kwa mara ya kwanza kwenye media, basi ni haki yao kuamua waliyoyaamua. Lakini kwa wateule wote wanaotoka cwt kukataa, inaleta viulizo kwenye uhusiano kt ya serikali na chama cha walimu.
 
UTOVU WA NIDHAMU!

NANI AIJUAYE KESHO!!?

UKUU WA WILAYA NI FURSA YA KUPATA UWANJA WA KUONYESHA LEADERSHIP SKILLS!!!

MSHAHARA MKUBWA NA POSHO KUBWA SIO KILA KITU WAKUU!

CV,CONNECTION AND INTERACTON WITH V.I.PS OF THE STATE MATTERS MOST!

HUWEZI UKAWA MTUMISHI WA UMMA UKAGOMEA UTEUZI TOKA KWA NAMBA MOJA KISA MISHAHARA NA MARUPU RUPU LABDA KAMA ANGEKUWA KWENYE KAMPUNI AU PRIVATE SECTORS!!

WAMEONYESHA ULIMBUKENI NA USHAMBA PIA!
 
Mkuu Lusungo, jf was meant to be a home of great minds, lakini all the people are not alike, tuna simple mind, ordinary mind and great minds, kama na wewe ambaye nilikuhesabu ni GT, kama ukinisoma humu unaona nautamani u DC usiku na mchana, then you are very wrong about me!.
Mamlaka ya uteuzi ni moja tuu, mtu anayeutamani uteuzi usiku na mchana, anaweza kuzungumza haya kuhusu mamlaka ya uteuzi?.
Na https://www.jamiiforums.com/threads...030-ndipo-aje-mwanamke.1980867/#post-42540531
Na https://www.jamiiforums.com/threads...-ya-kukoseshwa-tumvumilie-tumpe-muda.1883239/ na
Na https://www.jamiiforums.com/threads...ni-haki-si-uadui-si-chuki-si-kinyume.2043460/
P
Pasco, nichukulie kwa kadiri unavyopenda... ila mi nakujua vizuri sana nje ndani lakini wewe hunijui...

Naomba nikuhakikishie ikatokea umeteuliwa hutokaa.... narudia hutokataa!!!
 
Back
Top Bottom