Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
We ni mpuuzi unadhani wewe ndiyo wa kwanza kujenga darasa?Hivi akili yako ipo vizuri kweli? Tofali 500 zijenge darasa gani? Halafu usifikiri ujenzi wa serikali ni kama unavyojenga wewe lazima kuwe na ubora, unapotosha usichokijua.
Soma ile BOQ ya mdau hapo juu, hata mimi nilikuwa na mawazo kama yako lakini baada kuingia kwenye kamati ya ujenzi wa madarasa mawili shule fulani niligundua hiyo pesa haitoshi, nilikuwa naenda hatua kwa hatua narekodi kila kitu, baada ya kupiga hesabu nikagundua ujenzi ule ni wa gharama.Lakini bado 12M haitafika mkuu
Usilete ligi za kitoto hapa darasa gani linajengwa kwa tofali 500?We ni mpuuzi unadhani wewe ndiyo wa kwanza kujenga darasa?
Darasa la watoto 40 tunaongelea au godown? maana hii kazi nimefanya sana tena sna kwa miaka 3Soma ile BOQ ya mdau hapo juu, hata mimi nilikuwa na mawazo kama yako lakini baada kuingia kwenye kamati ya ujenzi wa madarasa mawili shule fulani niligundua hiyo pesa haitoshi, nilikuwa naenda hatua kwa hatua narekodi kila kitu, baada ya kupiga hesabu nikagundua ujenzi ule ni wa gharama.
We naye mwandalie bwashee chai achana na mambo za wanaumeUsilete ligi za kitoto hapa darasa gani linajengwa kwa tofali 500?
Ulishawahi kujenga hata banda la kuku?Tulia headmaster, mmezoea kusema choo cha shule kimejengwa kwa m20 kumbe zinajenga darasa na ofisi na makolombwezo kibao
Toadie mchanganuo hapa ili tuone sio porojo zisizo na facts.Darasa haliwezi kuzidi milioni 12
Umewahi kujenga hata banda la kukuMl 20 darasa 1 mbona nyingi sana
Upumbavu mtupu na kutupotezea muda bila sababu
Milioni 20 najenga madarasa matano na hela inabaki
Nimepitia kama transaction 3 nikakutana na bei mara ndugu kwa eneo nililopoWizi upo wapi hapo, huo ni mchanganuo tu ili hela ibalancr. Matumizi halisi yanaweza kuwa chini ya hapo au juu kulingana na hali halisi site na bei halisi ya vifaa
Tofali 500 x 1200 = 600,000, mawe lori 5 x 120,000 = 600,000, nondo 30 x 22,000 = 660,000, bati 40 x 30,000 = 1,200,000, cement 50 x 17,000 = 850,000, mchanga lori 5 x 100,000 = 500,000, misumari 20kgs x 6,000 = 120,000, fundi 1,500,000, mlango 200,000, madirisha 5 x 150,000= 750,000, maji 100,000, kokoto 300,000, vioo na ufundi 300,000, rangi na ufundi 500,000, nauli vifaa 100,000 dharura 1,000,000 jumla 9,280,00 na chenchi inabaki mkuuToadie mchanganuo hapa ili tuone sio porojo zisizo na facts.
Sema hapa gharama za darasa moja kuanzia
1. Uchimbaji wa msingi
2. Matofali
3. Mchanga
4.kokoto
5. Mbao
6. Bati
7.misumari
8. Milango na madirisha
9.Nondo
10.Maji
11.Waya
12.Tiles
13.Wavu
14.Alminium
15.ufundi
150,000÷30=5,000Wakuu wa shule siku hizi mtamu, wanapewa posho ya madaraka nje ya mshahara.
Mkui wa shule ( primary ) = Tsh 150,000
Headmaster= Tsh 200,000.
Na watendaji wako kwenye process za kuanza kupewa posho ya Tsh 100,000 kwa mwezi nje ya mshahara.
Hivyo, utamu wa posho ni lazima uendane na majukumu.
Kijana Acha kulia lia.
Labda unanifahamu ndiyo maana unadandia Gari kwa mbeleUmewahi kujenga hata banda la kuku
Peleka huko ujinga wakoAisee mara ya mwisho umejenga lini?
Mkiwa mnasubiri Chai ya nyumbani mnajiona wajanja sana mnafikri ujenzi ni kitu chepesi sana, wapumbavu.Peleka huko ujinga wako
Tofali 500 zinatosha hasa kama msingi ni wa mawe. Sababu ni hall na sehemu kubwa ni madirisha na mlangoDarasa la watoto 40 tunaongelea au godown? maana hii kazi nimefanya sana tena sna kwa miaka 3
Peleka ujinga wako huko milembeMkiwa mnasubiri Chai ya nyumbani mnajiona wajanja sana mnafikri ujenzi ni kitu chepesi sana, wapumbavu.
Acha niwapuuze, maana kukimbizana na wehu nitaonekana na mimi mwehu.Peleka ujinga wako huko milembe
Wezi nyie
Elekea milembe haraka sanaAcha niwapuuze, maana kukimbizana na wehu nitaonekana na mimi mwehu.
Kama kuna watu wameambiwa hayo ni wapumbavu Sana ,ngoja tuone watakaojitolea..Nawasalimu sana kwa jina la JMT yetu pendwa!
Baada ya mheshimiwa raisi kuagiza fedha za imf kwenda kwenye elimu na kujenga madarasa ili watoto wa f1 mwakani wasipate tabu ya kusubiri, na tamisemi kazipangia bajeti na kuzigawa, kazi imeanza huku chini (wilayani). Viongozi (wakurugenzi na maafisa elimu) wakiibuka na 'majuhudi' kibao ya kutaka kufanya 'maajabu' ili wawe wa mfano. Bahati mbaya sana, 'majuhudi' yao hayo, yanaenda kuwaangukia na kuwaumiza watendaji na zaidi wakuu wa shule.
Kwa siku chache tu, kuna halmashauri fulani, kwa wakati tofauti, tayari wakuu wa shule wameambiwa (of course kuamrishwa) yafuatayo:
1. Darasa lililolengwa likamilike lakini ni lazima na kitu kingine kitokee (yaani wahakikishe wameanzisha kitu kingine pia k.v boma, ofisi, choo n.k kutoka katika fedha hizo hizo)
2. Madarasa yawekwe marumaru (tiles)
3. Bati ziwekwe za msouth
4. Madirisha ya aluminium
5. Mfumo wa umeme wote ukamilike
Barua za kuwakabidhi fedha hizo zinaandaliwa kwenda kwa wakuu hao kwa majina yao na atakayeshindwa kukamilisha majengo hayo kwa viwango tajwa kazi anayo. Ikumbukwe kuwa fedha zilizotolewa ni m.20 tu kwa chumba kimoja cha darasa. Hapo sidhani kama watendaji na wakuu hawa watakuwa na ujanja mwingine wowote zaidi ya kurudi kwa wanakijiji kuwaambia wajitolee.
AISEE! Kujitolea kipindi hiki ni vigumu kuliko maelezo, siajabu kijiji cha watu 2000 wakajitolea watu 7 tu tena kwa siku mbili tu.
Wakuu wa shule kiukweli kazi wanayo. Huku mitihani ya kitaifa, kule ujenzi uliyoongezewa maagizo. Dah!!!