Watendaji Wizara ya Fedha wasimamishwa kazi kwa tuhuma za matumizi mabaya ya fedha

Tafuta na wewe Tawi lako uangue maembe.
Vinginevyo itaumiza kichwa chako bure Kwa kuwaza
 
Mimi nazani hata waziri mkuu ajiuzulu huu wizi haikuanza awamu ya 6, ulianza awamu ya 5 na muasisi wake ni Doto James mpwa wa Mwendazake. Lakini alikuwa hana Ubavu wa kumgusa.
Nakumbuka Mange Kimambi alishaga onyeshaga vocha za malipo ya kazi maalumu na list ya majina ya watu. Doto akiongoza kwa kulipwa pesa nyingi. Waziri mkuu alikuwepo, Dr. Mapango Makamu alikiwepo mbona hawaku fanya chochote?.

Najua hata fanya uchungizi wa huko nyuma sababu ya kurindana.
 
Mara nyingi huu huwa ni mchongo tu hakuna kazi yeyote iliyofanyika au kazi wanafanya watu wawili ila kwenye kwenye malipo wanaandikana majina 20 ili kila mtu apate.
 
Nyie moderator wa JF acheni mambo ya ajabu. huu mtandao wenu ni user generated contents, Sasa kama kila tukipost humu mnaishia kufyeka contents zetu basi tuwaachie mtandao wenu muwe mnapost vile vinavyowapendeza nyie
 
Posho ya kuandaa ripoti ya mwaka hahahaaa
 
watumishi wote wa Hazina wanatakiwa wawe waadilifu kwa kiwango cha juu.
vinginevyo watakausha hazina yetu
 
Nakuunga mkono. Mwigulu anawaza jinsi ya kupata pesa za kuandika mawe na madaraja yote Tanzania.....hana kabisa uchungu na wananchi.
 
What if yeye ndo ka blow hyo whistle
 
Wizarani kutamu
Hii inatisha sana!!!
wakati baadhi ya watumishi wanadai haki zao za malimbikizo ya mishahara tangu mwaka 2018 kumbe kuna watumishi hazina wanajilipa mamilioni kwa wiki mbili!!!
haki za watu wamezikalia, kwa hili Mungu hawezi kuwasamehe.
 
Sasa niulize nakumbaliana kwanza na maoni yako 10000% prof mussa assad cag retired apewe hii kazi, kile naona kaa sijakuelewi ni kutaja ummy mwalimu, je huyu mama ako na experience ya kuhandle financial matters, ile wizara sio kaa wizara zingine kaisa, infact katika mataifa yalioendelea au yanayojitambua waziri wa fedha ni kaa no 3 yaani president, vice , next ni finance chief, hii wizara inataka sio tu maswala ya hela ile vision and ability to negotiate na watu kaa world bank, imf and donors, hii sio wizara ya kuchezea, unaona kipindi cha mweda zake vile kina dotto waliichezea.lakini mimi naona uchafu ulikuweko wingi tena wakati wa dr mpango, kubuka mama samia kasema anataka report ya hela toka bot from jan- sijui april sikubuki, je wajua ni kwanini ile report haijawekwa hadharani????? a word to the wise is enough
 
Maana yake Dotto James anatakiwa kuhojiwa,maana nadhani kuna sahihi yake hapo.

by the way,nadhani wazirudishe hizo fedha kama malipo hayo hayako kwenye utaratibu kuliko kuwafukuza kazi.Ukifukuza kazi au kuwafunga ni hasara zaidi
 
Inapofika mahali waziri mkuu anaongea mambo ambayo waziri wa hiyo wizara angeongea maana yake huyo waziri hafai...tatizo mama yuko bize mitandaoni
 
Unaandika utopolo Dkt Mwigulu amekaa muda gan paleee???this is utter nonsense unayoongea
Wewe kama ni hawara wa Mwigulu Nchemba shauri yako, imekula kwenu.
Unachoweza kuandika ni vineno vya kiingereza tu!!

Unasema utter nonsense eti Mwigulu amekaa muda gani hapo?

Kumbe unakiherehere kama una tumbo la period huku una ahadi ya kutiwa na Mwigulu.

Sasa rudi kasikie kwanza clip ya PM Majaliwa iko YouTube. Majaliwa anasema wakiwa Mwanza sherehe za Mei Mosi, hao wafanyakazi wamelipana posho.

Sasa niambie nani alikuwa Waziri wa Fedha Mei 1, 2021?

Haya kavae pedi ulale
 
Assad ni kijana?
Uzi ulianza vizuri mwisho ukaonyesha unoya wako tena
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…