Watendaji Wizara ya Fedha wasimamishwa kazi kwa tuhuma za matumizi mabaya ya fedha

Watendaji Wizara ya Fedha wasimamishwa kazi kwa tuhuma za matumizi mabaya ya fedha

Jiwe alimpiga roba kali, kila kitu alikuwa anataka aonekane yeye, Waziri Mkuu alikuwa hana meno kabisa, alikuwa kila akitaka kugusa mahali anakutana na watu pendwa wa Jiwe, inabidi arudi nyuma. Now Mama kamwachia uwanja ajimwage atakavyo, wakati yeye anadili zaidi na mambo makubwa makubwa. Jiwe bwana, hadi madarasa na vyoo alikuwa anataka azindue yeye, alikuwa anafuatilia hadi nani kamtongoza nani kwenye ofisi mbalimbali, very stupid president
Wenzio wamepiga mabilioni huko wewe unaendeleza chuki kwa jiwe huku ukoo wako ukitokomea kwa umasikini!

Lazima utakuwa na laana
 
Sasa naanza kuelewa kwa nn wale jamaa walitaka kupora urais wa mama. Ni kweli kwamba mwanamke hawezi kuwa rais bora hapa Tanzania? Bado naamini imawezekana. Mama, Mh. Suluhu Rais wangu, mwenye jinsia ya kike. Fanya jambo juu ya waziri huyu mzembe ili wasioamini utendaji wa mwanamke wakuelewe vizuri.
Hamna waziri hapo
 
Wee ulikuwa ndo mwimbaji mapambio mkuu nini?
Pole yameingia maji, hayamvutii SSH wala wahanga wa ukandamizaji na ukatili wa awamu ya tano .
Yafaa ujitahidi ukatafute kazi nyingine itakusaidia kukutibu roho yako na uweze kuachana na chuki kwa wenye majeraha, wanaoanika ubaya wa Mwendazake.
Ungejua jinsi sera zake zilivyoyumbisha uwekezaji wangu usingeandika hayo ila nilimkubali maana niliona alikuwa na dhamira safi ya kuiendeleza nchi hasa infrastructure ndiyo maana nilikubali wachache tuteseke na mwisho wengi waneemeke. Nachukia ubinafsi
 
Very smart prime minister.

Ila kuwa Makini mzee maana imani ya Watanzania imeelekezwa zaidi kwako sasa,Japo Kundi la mafisadi,watumishi wazembe na wezi wa mali za umma bado linakuona wewe ni kikwazo kwao
Mzigo umeanza kupigwa kabla kayafa hajaugua korona
 
Wewe kama ni hawara wa Mwigulu Nchemba shauri yako, imekula kwenu.
Unachoweza kuandika ni vineno vya kiingereza tu!!

Unasema utter nonsense eti Mwigulu amekaa muda gani hapo?

Kumbe unakiherehere kama una tumbo la period huku una ahadi ya kutiwa na Mwigulu.

Sasa rudi kasikie kwanza clip ya PM Majaliwa iko YouTube. Majaliwa anasema wakiwa Mwanza sherehe za Mei Mosi, hao wafanyakazi wamelipana posho.

Sasa niambie nani alikuwa Waziri wa Fedha Mei 1, 2021?

Haya kavae pedi ulale
Nonsense,,What if yeye ndo ka blow hyo whistle
 
Hayo ndiyo matokeo ya kumhamisha katibu mkuu wa fedha, Bw. Dotto, aliyekuwa ameidhibiti vizuri wizara hiyo. Katibu mkuu wa sasa ndiye anatakiwa kutumbuliwa. Hizo pesa hazingeweza kuwa zinachotwa ovyo ovyo bila idhini yake.
Atakuwa ni Baba yako Huyo ndio Mwizi mkubwa
 
Inapofika mahali waziri mkuu anaongea mambo ambayo waziri wa hiyo wizara angeongea maana yake huyo waziri hafai...tatizo mama yuko bize mitandaoni
I'm definitely not a hater but ssh presidency is running short, very short, deep short .Nadhani ataacha historia ya kivyake katika serikali ya Tanzania. "Maneno ya watu ni hadaa mbaya sana kwani wakati mwingine wanaweza kukusema ili uachie ulichoshika wakishike wao." ssh ameachia cha mkononi and they have grabbed it, acha agangame na hayo aliyodhani yatamsaidia.
 
Huyu mzee naye huwa simwelewi hata kidogo ndiyo maana anapambana kupaka nywele rangi aonekane ni kijana maana ndiyo akili yake imeishia hapo kwa vidosho, watu wanapakua mabilioni akina Lugola, Makonda, Sabaya, Mnyeti n.k lakini ndiyo kwanza anacheka nao.

Punguza chuki binafsi.
 
Hivi huo upigaji ulifanyika Mwigulu Nchemba akiwepo? Hivi waliteuliwa lini hawa? Mh Rais watu waliimba kuwa Mwigulu Nchemba hafai. Angalia sana huyo kaka anakupotosha kwenye baadhi ya mambo kwa interest zake. Hao ndiyo vijana wake toka enzi. Tunakupenda mno hatutaki uharibu mama yetu.
 
What if yeye ndo ka blow hyo whistle
Kwa kichwa kile kilivyo bogus haiwezi kuwa yeye ndiyo whistle blower. Angekuwa ni yeye basi tungemuona akitoa maelekezo ya watumishi kuchukuliwa hatua kwa kuwa wako ndani ya Mamlaka yake ya nidhamu
 
Magufuli alisema mtanikumbuka kwa mazuri na si kwa mabaya huu ni mwanzo tu...makubwa yanakuja.............
TRA na makusanyo....
Watumishi wa umma kiama cha mishahara chaja....mtakuwa mnapata mishahara baada ya serikali kutembeza bakuri kwa Mzee Bakhresa au mmeishasahau enzi hizo?
 
tunaumizana jamani
kuna taarifa ukizisoma zinaumiza sana hasa kwa sisi jobless ambao tukiingiza elfu tano kwa siku tunashangilia
 
Ungejua jinsi sera zake zilivyoyumbisha uwekezaji wangu usingeandika hayo ila nilimkubali maana niliona alikuwa na dhamira safi ya kuiendeleza nchi hasa infrastructure ndiyo maana nilikubali wachache tuteseke na mwisho wengi waneemeke. Nachukia ubinafsi
Pole
 
Eehh JPM, furukuta tu kaburini, watu wanaiba hela kijinga, kindorobo bila aibu, woga wala uchungu, Tanzania inakwisha hivi hivi...
 
Mbona ukuchukua hilo voucher na faili lake utaona mwanzo mwisho jinsi endorsement zilivoenda.Mpk mnufaika wa mwisho kuanzia kwenye dokezo
 
Back
Top Bottom