Crimea
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 25,874
- 36,030
Wenzio wamepiga mabilioni huko wewe unaendeleza chuki kwa jiwe huku ukoo wako ukitokomea kwa umasikini!Jiwe alimpiga roba kali, kila kitu alikuwa anataka aonekane yeye, Waziri Mkuu alikuwa hana meno kabisa, alikuwa kila akitaka kugusa mahali anakutana na watu pendwa wa Jiwe, inabidi arudi nyuma. Now Mama kamwachia uwanja ajimwage atakavyo, wakati yeye anadili zaidi na mambo makubwa makubwa. Jiwe bwana, hadi madarasa na vyoo alikuwa anataka azindue yeye, alikuwa anafuatilia hadi nani kamtongoza nani kwenye ofisi mbalimbali, very stupid president
Lazima utakuwa na laana