Watoto wa Lemutuz walikataa kumsamehe baba yao...

Watoto wa Lemutuz walikataa kumsamehe baba yao...

Afadhali,nilitaka kuandika hivi!
Ila huyo dada , Mungu anamuona.
Kumbe ni mbongo aliyepelekwa huko na jamaa🤔 nilidhani mzungu?🙌

Kweli ndo maana wanaume wengine,hawataki kusomesha mke,kumfanyia Chochote kizuri maana haya ndo matokeo!
Upelekwe USA,na kazi upate Bado umnyanyase aliyefamya ufike hapo!?🙌🙌

Uko sahihi kabisa,watu hawaangalii deep inside

Mara nyingi ukichukua mwanamke huku na kumpeleka huko duniani yeye kufika huko na kupata wengine na wewe kuachwa solemba ni jambo la kawaida tu na wengi yalishawatokea. Tena unaweza kugeuka adui mkubwa hata kufikia kupelekana mahakamani na hata kutishiana kutoana uhai.

Inabidi ubahatishe mwanamke ambaye siyo limbukeni, asiye na tamaa, mature kidogo, mcha Mungu, humble na anayeyajua maisha. Vinginevyo hesabu tu kuwa umewapelekea wazungu au niggazi wengine wa huko...na hata Wabongo wenzio atakaowakuta huko. Inauma!
 
Nafikiri kuna kitu wengi wetu hatukizangatii; ila huko mbeleni kinatucost sana. Pamoja na yote ni muhimu kuobserve emotional stability +emotional intelligence ya mwenzi wako. Hakuna mtu aliye emotionally stable atakayefanya jitihada za kuumiza wengine kwa sababu tu yeye ameumia.

There is no separation that doesn't hurt; uwe umemuacha mtu au ameachwa. What matters ni jinsi ambavyo tunadeal na maumivu yetu.

Sasa ukiachana na mtu ambaye ni unstable emotionally; anachokuwa anafanya ni kuwa anatafuta mtu wa kumuhamishia machungu yake. Na kwa case hiyo wewe mzazi mwenza ndiyo unakuwa 1st victim au hata mtoto wenu au mtu yeyote ambaye ataona anaweza kuwa victim wake.(Wapo wazazi ambao wanatengana halafu unakuta mzazi mmoja anahamishia uchungu wake kwa mtoto wakr; mtoto atachukiwa hadi ajute kuzaliwa). Anachotaka kuona ni kwamba unaumia zaidi; na njia rahisi ya kukuumiza ni kupitia kwa mtoto wenu.

Under normal circumstances; hakuna mzazi mwenye akili timamu atakayejisikia amani kumuona mtoto wake ananyong'onyea na kuishi kwenye upweke, questioning his/her worth kwa sababu mama yake amemwambia baba yake hamjali, hampendi, amemtelekeza; ilhali baba anajitahidi kwelikweli kupambana kuwa kwenye maisha ya mtoto wake. Nothing breaks a parent's heart like seeing your kid down. Humsaidii mtoto wako unapomjaza sumu kuhusu mzazi wake mwingine. Ndiyo maana wapo wazazi ambao wanaweza kumdanganya mtoto kuwa hiki kitu kakutumia baba yako; kumbe baba hana hata habari huko aliko. Mzazi mwenye akili timamu atahakikisha analinda hisia za mtoto wake at any cost. Mtoto kukua huku akiwa anajua kuwa mzazi wake mmoja hamtaki/amemtelekeza is so traumatic.....Humjengi mtoto kwa kumwambia mapungufu au kumpandikiza chuki juu ya mzazi wake mwingine; unamuumiza mtu vibaya mnoo

Huyo mzazi mwenzako amebeba uchungu wake wa kutosha juu yako. Yote anayofanya ni kuhakikisha tu kuwa anakuumiza na kufanya watu wengine wakuone huna maana. Sasa usikubali amtumie mtoto wako kukuumiza; na wala usikubali kumtelekeza mwanao kisa ujinga wa mama yake. Wanaume kataeni mambo ya "huyo mtoto akikua atanitafuta mwenyewe". It's high time you fight tooth and nail kwa ajili ya watoto wenu. Usimuache mtoto akue akiwa na ombwe nafsini mwake kwamba baba alinikataa. Itafaa nini mtoto wako aje akutafute akishakuwa ameharibikiwa kisaikolojia au kitabia beyond repair; kisa your absence?

Huyo baby momma wako mpeleke ustawi wa jamii; deal naye kisheria period. Huko mtapewa maelekezo jinsi ya kumlea mtoto jointly. Na mtoto akishaaanza kupata ufahamu (kama bado ni mdogo sana) utaanza kufanya naye mambo kwa pamoja ili kucreate memories na kubond naye. Aone baba akimnunulia nguo, akimlipia ada na mengineyo. In the meantime, keep records of each and everything. Kuna wanawake usipodeal nao ruthlessly; ni mtoto wenu ndiyo atakuwa affected zaidi mwisho wa siku.
Solution usimbeto kavu mwanamke asiye na vigezo. Mbegu zako zina thamani sana tatizo sisi wanaume tunajishusha sana. Kaa utambue kuna wanawake wa starehe na wa kujenga maisha. Katika msafara wa rais V8 tatu zinatosha kununua Rolls Royce lakini hatununui Rolls Royce kwa sababu ni impractical. Wanawake nao wapo hivi kuna ambao kwenye suala la kuwa mama ni impratical. Mbaya zaidi siku hizi wamekuwa wengi sana.Bora ukosee kuoa ila usikosee kuzaa na mtu hii inatumaliza sana wanaume. Tunakaa na kuona huyu hafai kuoa lakini hatufikiriii suala la kulea mtoto pamoja. Yaani wanaume tunaona mwanamke hafai kuwa mke halafu tunazaa nae kweli. Tunataka tuwe na kizazi gani kijacho ?
 
Sikatai Hilo, nachokuuliza je hakuona umuhimu wa kucheki na watoto once after his life became fine ?

Kumbuka leaked post yake Kwa watoto ilikua ni after 30 years since amewatoroka.

Acha Uongo 2012 mpk leo ni miaka 30?
 
siukute ilikuwa show off tu, mtu ana miaka 65 kweli unafikiri alikuwa na uwezo kuwapanda wale wasichana wabichi wote? nilichokuwa nahisi, alikuwa anawadalalia kwa wenye uwezo.

likua jst funny and kidding hakuna userious wowote kwa broo
 
Kina mitoto mingi ya hovyo Sana kudadeki! Hadi mtu anaweza jutia zile manii alozomwagia kwa mama yao Bora angepiga tu nyeto
 
Wamarekani hawajui huyo swala unayemwita dhambi.
😅wana umarekqni gani wabongo tu hawa
Nimesikiliza Jana wakati Samweli malecela anasoma wasifu wa kaka ake,amesema watt na mke wanakuja wiki hii wataungana nao
 
Solution usimbeto kavu mwanamke asiye na vigezo. Mbegu zako zina thamani sana tatizo sisi wanaume tunajishusha sana. Kaa utambue kuna wanawake wa starehe na wa kujenga maisha. Katika msafara wa rais V8 tatu zinatosha kununua Rolls Royce lakini hatununui Rolls Royce kwa sababu ni impractical. Wanawake nao wapo hivi kuna ambao kwenye suala la kuwa mama ni impratical. Mbaya zaidi siku hizi wamekuwa wengi sana.Bora ukosee kuoa ila usikosee kuzaa na mtu hii inatumaliza sana wanaume. Tunakaa na kuona huyu hafai kuoa lakini hatufikiriii suala la kulea mtoto pamoja. Yaani wanaume tunaona mwanamke hafai kuwa mke halafu tunazaa nae kweli. Tunataka tuwe na kizazi gani kijacho ?
Umeongea kitu cha maana sana,ila kiroho ndio utagundua kwanini Mungu alikataza zinaa na kwa wale walio oa tumeambiwa tusimuache mke wa ujana wako.Kinyume cha hapo huwezi kukwepa concequences zake...
 
Lile la kiume lilisema "go JamiiForums' Community Engagement Guidelines | Mwongozo wa Ushiriki kwenye Mijadala your self" alafu likampa dole la kati then likatereza, yan hakuna race ina kisiran kama black America na ndio yanafuata hayo maisha wakati yenyewe ni Matanzania... Maisha haya kuna mzee mmoja alifariki eti matoto yake yapo canada msiba yaliuudhuria ila kwa zoom meeting [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], daaah na dingi wa watu alijifia kisa familia imemtelekeza wote wamekimbilia ukaya akapata stoke akafa...
Unaweza kufikiri walipenda kuhudhuria kwa zoom meeting, wengi wako mbele masikini wa kutupwa

Hiyo nauli kusafiri watu zaidi ya mmoja ni kipengele
 
Yy alipowanyima malezi hakujua malipo yake .Léeni watoto msipowalea wadogo nao wanahaki ya kutowalea uzeen
Kinachotutesa wazazi wa kiafrika ni kuzaa ili waje watulee. Mzazi ndio analea mtoto huku akijiandalia maisha ya uzee, sio lazima mtoto akulee.

Na nimejiandaa kwa hilo, ndio sababu mwanamke akigomea mtoto kwakutegemea kesho mtoto akiwa nani sijui ntajipendekeza noo
 
Labda DNA, ilithibitisha kuwa sio baba yao na si vingenevyo. Baba amuombe mtoto msamaha, mtoto akatae, sijaona.
 
Hao watoto wana hekima sana maana kama ningekuwa mimi ningempa shit mpaka presha impande afe hapohapo. Hakuna laana ya baba kuna laana ya mama tu.
 
Back
Top Bottom