Watoto wa Lemutuz walikataa kumsamehe baba yao...


Mara nyingi ukichukua mwanamke huku na kumpeleka huko duniani yeye kufika huko na kupata wengine na wewe kuachwa solemba ni jambo la kawaida tu na wengi yalishawatokea. Tena unaweza kugeuka adui mkubwa hata kufikia kupelekana mahakamani na hata kutishiana kutoana uhai.

Inabidi ubahatishe mwanamke ambaye siyo limbukeni, asiye na tamaa, mature kidogo, mcha Mungu, humble na anayeyajua maisha. Vinginevyo hesabu tu kuwa umewapelekea wazungu au niggazi wengine wa huko...na hata Wabongo wenzio atakaowakuta huko. Inauma!
 
Mitoto ikishalelewa au kuwa upande wa mama watakiwa iacha usiiweke karibu maana inakuwa na akili za kike

Halafu mara nyingi hasa huko US utakuta mitoto ishakuwa sukari guru
 
Solution usimbeto kavu mwanamke asiye na vigezo. Mbegu zako zina thamani sana tatizo sisi wanaume tunajishusha sana. Kaa utambue kuna wanawake wa starehe na wa kujenga maisha. Katika msafara wa rais V8 tatu zinatosha kununua Rolls Royce lakini hatununui Rolls Royce kwa sababu ni impractical. Wanawake nao wapo hivi kuna ambao kwenye suala la kuwa mama ni impratical. Mbaya zaidi siku hizi wamekuwa wengi sana.Bora ukosee kuoa ila usikosee kuzaa na mtu hii inatumaliza sana wanaume. Tunakaa na kuona huyu hafai kuoa lakini hatufikiriii suala la kulea mtoto pamoja. Yaani wanaume tunaona mwanamke hafai kuwa mke halafu tunazaa nae kweli. Tunataka tuwe na kizazi gani kijacho ?
 
Sikatai Hilo, nachokuuliza je hakuona umuhimu wa kucheki na watoto once after his life became fine ?

Kumbuka leaked post yake Kwa watoto ilikua ni after 30 years since amewatoroka.

Acha Uongo 2012 mpk leo ni miaka 30?
 
siukute ilikuwa show off tu, mtu ana miaka 65 kweli unafikiri alikuwa na uwezo kuwapanda wale wasichana wabichi wote? nilichokuwa nahisi, alikuwa anawadalalia kwa wenye uwezo.

likua jst funny and kidding hakuna userious wowote kwa broo
 
Kina mitoto mingi ya hovyo Sana kudadeki! Hadi mtu anaweza jutia zile manii alozomwagia kwa mama yao Bora angepiga tu nyeto
 
Wamarekani hawajui huyo swala unayemwita dhambi.
😅wana umarekqni gani wabongo tu hawa
Nimesikiliza Jana wakati Samweli malecela anasoma wasifu wa kaka ake,amesema watt na mke wanakuja wiki hii wataungana nao
 
Umeongea kitu cha maana sana,ila kiroho ndio utagundua kwanini Mungu alikataza zinaa na kwa wale walio oa tumeambiwa tusimuache mke wa ujana wako.Kinyume cha hapo huwezi kukwepa concequences zake...
 
Unaweza kufikiri walipenda kuhudhuria kwa zoom meeting, wengi wako mbele masikini wa kutupwa

Hiyo nauli kusafiri watu zaidi ya mmoja ni kipengele
 
Yy alipowanyima malezi hakujua malipo yake .Léeni watoto msipowalea wadogo nao wanahaki ya kutowalea uzeen
Kinachotutesa wazazi wa kiafrika ni kuzaa ili waje watulee. Mzazi ndio analea mtoto huku akijiandalia maisha ya uzee, sio lazima mtoto akulee.

Na nimejiandaa kwa hilo, ndio sababu mwanamke akigomea mtoto kwakutegemea kesho mtoto akiwa nani sijui ntajipendekeza noo
 
Labda DNA, ilithibitisha kuwa sio baba yao na si vingenevyo. Baba amuombe mtoto msamaha, mtoto akatae, sijaona.
 
Hao watoto wana hekima sana maana kama ningekuwa mimi ningempa shit mpaka presha impande afe hapohapo. Hakuna laana ya baba kuna laana ya mama tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…