MarkHilary
JF-Expert Member
- Feb 8, 2015
- 1,813
- 2,188
Walimtukana vibaya sana. daah kuna wanawake wanajua kuwajaza sumu watoto wao
Ugomvi wake na yule dada wa state sijuagi chanzo ni nini maana yule dada alikuwa anamkandia sana.
RIP
Sema nini wanaume mkiamua kuharibu mnaharibu kiasi kwamba MTU anabaki na kidonda kisichofutika...mnaomba msamaha wakati MNA changamoto tu
😀 😛 🙂 😛😀
mkuu usiwe mwepesi wa kufanya judgement. Maisha yana mengi.Hiyo zambi itawatafuna maisha yao yote
Huyo mwanamke alikuwa kichomi imagine uko ndoani unachepuka ni mwanaime Gani wakuvumilia huo ujinga, pili kumchafua mitandaoni na kulisha watoto sumu, I'm sure now analia machozile mutuz hakukosea, alikuwa na kipato kidogo, na mke ana mahusiano na mtu mwingine, hana uwezo kutunza watoto, marekani kwa sheria zao usipotunza watoto unaenda jela. hivyo alichofanya, kwasababu aliona mwanamke amedhamiria aende jela au la hata hicho kidogo anachopata kiwe kinapita moja kwa moja kwa watoto yheye aishi mtaani bila kitu, akaamua kukimbia ili akiwa bongo asaidiwe na hata na babake tu. na alipofika alifikia sebuleni kwa mzee wake. hakuwa na kitu. ungekuwa wewe ni le mutuz ungefanyaje? mimi amenifunza funzo kubwa, ninao watoto wa kambo, na siwezi kuruhusu mtu yeyote hata kama ni mke wangu au watoto wangu wa kwenye ndoa, awatese au kuwabagua hao watoto. never.
Mtoto kama ana birth mark unamwambia na hii alama mwanangu ni kiatu cha baba ako kilitua hapa ukapata alama ukiwa tumboni🤣🤣🤣 comment yako umenivunja mbavu.Usiombe mkeo akakushitakia kwa wanao, hasa wa kiume. Huo ugomvi hatapatikana muamuzi. Maana wamama wanajua kuchomekea, utakuta anasema nilipokuwa na mimba yako alinipiga teke la tumbo, nusura mimba yako itoke. Nilianguka chini, akaniacha palepale wasamalia wakaniokota, yeye huyo kwa mwanamke wake.
Bro hapo huchomoi.
Sema nini wanaume mkiamua kuharibu mnaharibu kiasi kwamba MTU anabaki na kidonda kisichofutika...mnaomba msamaha wakati MNA changamoto tu
Laana iko nyuma yao..Le Mutuz ana story nzima ya maisha yake humu JF. Sisi kama wanaume tunakubali kwamba Le mutuz ni mwanaume aliyejikwaa kwa mwanamke wa hovyo. Watoto wamekosanishwa na baba yao na mama yao. Nawaonea huruma sababu hii laana itawatafuna
Dah kumbe tupo wengi,hawa akina mama ambao wako na watoto wetu always ni wagomvi na washari. Yaan unajiuliza, tatzo hasa ni nini? Huyu wa kwangu hata nikituma pesa ya mahitaji ya mtoto,hatoi mrejesho wowote.. muda wote ni mkali,Mkuu ninapitia the same situation kwa mzazi mwenzangu ila namuachia Mungu, huko mbele itafahamika tu mbivu na mbichi... Dogo akiamua kufata sumu maza ake shauri yake
Watoto wengi hujazwa maneno na Mama zaoLe Mutuz ana story nzima ya maisha yake humu JF. Sisi kama wanaume tunakubali kwamba Le mutuz ni mwanaume aliyejikwaa kwa mwanamke wa hovyo. Watoto wamekosanishwa na baba yao na mama yao. Nawaonea huruma sababu hii laana itawatafuna
Ndo maana hutakiwi endekeza ujinga ukiona mtoto wako anakuchukia kata mfumo wote wa pesa wajitegemeeUsiombe mkeo akakushitakia kwa wanao, hasa wa kiume. Huo ugomvi hatapatikana muamuzi. Maana wamama wanajua kuchomekea, utakuta anasema nilipokuwa na mimba yako alinipiga teke la tumbo, nusura mimba yako itoke. Nilianguka chini, akaniacha palepale wasamalia wakaniokota, yeye huyo kwa mwanamke wake.
Bro hapo huchomoi.
Sawa mkuuDada naisi Kuna baadhi yenu huwa mnafanyia kimakusudi kwa kutumia vibaya nafsi ya malezi mlonayo toka tumboni Ila kumbuka kuwa watoto mnaojaliwa na mungu hawana kosa na hawapaswi kuingilia mapungufuu ya wazazi au magomvi yao kwani hayawahusu na pia kuwamezesha vitu vinavyowajengea chuki kwa baba zao kwani kufanya hivo Ni kuwatafutia vitu ambavyo si baraka kwa maisha yao ya badae.Kwa Hilo baadhi ya Dada zetu mnakosea,mzazi Ni mzazi tu Ndo mungu wako wa hapa duniani,tuiache hii dhambi.
Ivo yaanSema nyie wanawake kupotezea mabifu hamuwezi. Na ndiyo maana mtu akilogwa na mwanamke, haponi.
apande tu ndege aje azike na watoto wake waje kuzika baba yao au la wabaki na laana ya milele iwatafune hadi uzeeni wakifikiria hata kumzika baba yao hawakuja.Huyo mwanamke alikuwa kichomi imagine uko ndoani unachepuka ni mwanaime Gani wakuvumilia huo ujinga, pili kumchafua mitandaoni na kulisha watoto sumu, I'm sure now analia machozi
alikuwa ameishiwa pesa za kuwatunza na mama yao aliyekuwa anatembea na mwanaume mwingine alikuwa na mpango kwenda kumuattach mahakamani ili awe mtumwa, pesa anazofanya kazi ziwe zinapitia moja kwa moja hukohuko zinapelekwa kwa mama yao na le mutuz angekuwa homeless wa kulala mtaani, anaamka asubuhi anaenda kazini mshahara unaenda kwa watoto na mwanamke ana mwanaume mwingine. marekani issue ya child maintanance ni issue kubwa na usipofanya hivyo unaenda jela. sasa aliogopa kwenda jela, na alipogundua mpango mama yao aliokuwa anaufanya dhidi yake, akatoroka na huyo mwanamke alikuja kujua ameondoka baada ya le mutuz kufika London Ulaya, hana jinsi tena, ile kuwa amemkosakosa ndio hasira na ugomvi hadi leo. mbona alishayaeleza haya? wewe kama mwanaume unaona jela hii hapa na mwanamke anataka akakuattach uwe unafanya kazi hulipwi hela anachukua yeye ati za kutunzia watoto na wewe unaona akichukua hujabaki na kitu, utakuwa mtumwa hadi watoto wafikishe 18 ungefanyaje? ndio maana aliamua kukimbia akatua kwenye sebule ya babake. anasemaga hadi leo aliporudi hapa alirudi sijui na dola elfu moja tu ya kuanzia maisha. hakuwa na kitu.Na Sisi wanaume ifike mahala tujitambue. Unawaaga watoto kua unaenda hapo nje halafu ndio kimoja miaka therasini na ushee kweli kisha Leo useme unaomba msamahaa, na kila siku wanakuona kwenye mitandao upo na maisha mazuri na wanawake warembo.
Sawa tuamini uligombana na mama na hatujui mligombana nini lakini watoto nao ???????? Hapana aisee hapana kabisa.