Watoto wa Lemutuz walikataa kumsamehe baba yao...

Watoto wa Lemutuz walikataa kumsamehe baba yao...

alikuwa ameishiwa pesa za kuwatunza na mama yao aliyekuwa anatembea na mwanaume mwingine alikuwa na mpango kwenda kumuattach mahakamani ili awe mtumwa, pesa anazofanya kazi ziwe zinapitia moja kwa moja hukohuko zinapelekwa kwa mama yao na le mutuz angekuwa homeless wa kulala mtaani, anaamka asubuhi anaenda kazini mshahara unaenda kwa watoto na mwanamke ana mwanaume mwingine. marekani issue ya child maintanance ni issue kubwa na usipofanya hivyo unaenda jela. sasa aliogopa kwenda jela, na alipogundua mpango mama yao aliokuwa anaufanya dhidi yake, akatoroka na huyo mwanamke alikuja kujua ameondoka baada ya le mutuz kufika London Ulaya, hana jinsi tena, ile kuwa amemkosakosa ndio hasira na ugomvi hadi leo. mbona alishayaeleza haya? wewe kama mwanaume unaona jela hii hapa na mwanamke anataka akakuattach uwe unafanya kazi hulipwi hela anachukua yeye ati za kutunzia watoto na wewe unaona akichukua hujabaki na kitu, utakuwa mtumwa hadi watoto wafikishe 18 ungefanyaje? ndio maana aliamua kukimbia akatua kwenye sebule ya babake. anasemaga hadi leo aliporudi hapa alirudi sijui na dola elfu moja tu ya kuanzia maisha. hakuwa na kitu.
Sikatai Hilo, nachokuuliza je hakuona umuhimu wa kucheki na watoto once after his life became fine ?

Kumbuka leaked post yake Kwa watoto ilikua ni after 30 years since amewatoroka.
 
Sikatai Hilo, nachokuuliza je hakuona umuhimu wa kucheki na watoto once after his life became fine ?

Kumbuka leaked post yake Kwa watoto ilikua ni after 30 years since amewatoroka.
wewe ni mpumbavu na sidhani kama una watoto. hivi unawajua wanawake wewe? watoto wakikaa na mama yao akiwalisha sumu wanakuona choo. kua uyaone.
 
Nawaza hao mabebez vilio vyao msibani, mungu awatie nguvu familia na mabebez


Rip le mutuz your no mo [emoji174]
siukute ilikuwa show off tu, mtu ana miaka 65 kweli unafikiri alikuwa na uwezo kuwapanda wale wasichana wabichi wote? nilichokuwa nahisi, alikuwa anawadalalia kwa wenye uwezo.
 
wewe ni mpumbavu na sidhani kama una watoto. hivi unawajua wanawake wewe? watoto wakikaa na mama yao akiwalisha sumu wanakuona choo. kua uyaone.
Matako yako wewe na inaonyesha hata hujawahi kumiliki watoto. Umegombana na mama Sawa je huoni umuhim wa kuwaweka jirani watoto in any way ?

Stupid Indeed na usijibu hii post coz ntakufuata hapohapo ulipo. Idiot
 
Usiombe mkeo akakushitakia kwa wanao, hasa wa kiume. Huo ugomvi hatapatikana muamuzi. Maana wamama wanajua kuchomekea, utakuta anasema nilipokuwa na mimba yako alinipiga teke la tumbo, nusura mimba yako itoke. Nilianguka chini, akaniacha palepale wasamalia wakaniokota, yeye huyo kwa mwanamke wake.
Bro hapo huchomoi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
siukute ilikuwa show off tu, mtu ana miaka 65 kweli unafikiri alikuwa na uwezo kuwapanda wale wasichana wabichi wote? nilichokuwa nahisi, alikuwa anawadalalia kwa wenye uwezo.

Ila kweli kwa age yake ile I don’t real think aliweza wapanda wote….naweza kuamini unachokisema! Inaezekana alikua anamake doo kupitia those bebez
 
Hao watoto wamelelewa kwenye malezi mabaya.Nilisoma texts za Lemutuz nilichoka ni matusi ya nguoni alitukanwa.Wale watoto hawatafika popote muda utasema ukweli unless wasamehe na wao pia waombe msamaha kwa kumkosea mzazi heshima
HV yule mam Yao Ni mzugu au mmbongo wazee mnk na mm Nina kizanga nimezagiwa kunguni hatari
 
Matako yako wewe na inaonyesha hata hujawahi kumiliki watoto. Umegombana na mama Sawa je huoni umuhim wa kuwaweka jirani watoto in any way ?

Stupid Indeed na usijibu hii post coz ntakufuata hapohapo ulipo. Idiot
sasa wewe dada, watoto wapo marekani, kiule marekani wanaishi na mama yao ambaye umegombana naye na anawalisha watoto sumu zile ulizoona mange analeta hapa ni chamtoto, watoto wameside na mama, na huwezi kurudi kule marekani kwasababu ulikimbia msala ukifika tu watakudaka na kukupeleka mahakamani then jela, unafikiri angewawekaje karibu sasa? mama yao angeamua kuruhusu hilo ingewezekana, lakini mama yao ndo unavyomjua, hata alipojaribu kuomba msamaha labda awe karibu na watoto mama katuma msg kwa mange. no wonder trump alisema nchi zetu ni shithole, ile shithole ni wewe nafikiri.
 
Masikini Le mutuz, lakini alijaribu kufanya amani na hao watoto. Kama wana akili kuna siku watajuutia kupoteza fursa ya kufanya amani na mzee wao.

Akina mama sometimes ni wabaya sana. Ugomvi wako na mwanaume unaupeleka kwa watoto mwisho wa siku wanaishia kulaaniwa tu.
 
Sasa ndo wamtukane matusi kama suck my dick you ass nigga. Kweli mzazi hata kama kakukosea aje hilo sio tusi la kumpa
hilo tusi huyo mtoto ataishi nalo hadi uzeeni, litamsumbua mwisho atamchukia mamake aliyemlisha sumu. na yeye ni mwanaume akikua atakutana tu na wanawake wa type ya mama yake yatamkuta yaliyomkuta babake. huwezi kumtukana babako ukaenda bure hata kama amekosea na hasa pale anapotafuta amani. never.
 
Wale watoto hawatakuwa na amani, mama yao kawaponza...
Nilisoma zile chats zilivyoletwa humu, yule wa kiume alizingua ila wa kike alionesha wazi kuhitaji mzee akiri alipokosea na waendelee na maisha lakini, Le mutuz akajibu kuwa hata kuwatafuta alishinikizwa na watu wake wa karibu, alikuwa hana hilo wazo..

Imagine umekua bila mzazi na siku anakutafuta, unajaribu kuyaweka mambo sawa lakini yeye anakuonesha kuwa huna thamani yoyote kwenye maisha yake.. Unajua huyo binti alijisikiaje
 
Sikatai Hilo, nachokuuliza je hakuona umuhimu wa kucheki na watoto once after his life became fine ?

Kumbuka leaked post yake Kwa watoto ilikua ni after 30 years since amewatoroka.
Watu wanaongea emotional sababu ya msiba ila response ya yule binti ilikuwa sawa. Umeondoka kwa ugomvi wenu binafsi na mother hadi tumekua bila yako, then unakuja inbox whattsap kirahisi kuwa tuyajenge

Najaribu kukupa conditions za kuwekana sawa na pengine kupunguza hasira zangu, ila unanionesha kuwa haikuwa dhamira yako kunitafuta ila ulishinikizwa tu..

Ukifikiria upande wa huyo binti bila kuweka mahaba lazma uone fika kuwa hata le mutuz alikosa hekima ya kuwarudia watoto wake
 
Watu wanaongea emotional sababu ya msiba ila response ya yule binti ilikuwa sawa. Umeondoka kwa ugomvi wenu binafsi na mother hadi tumekua bila yako, then unakuja inbox whattsap kirahisi kuwa tuyajenge

Najaribu kukupa conditions za kuwekana sawa na pengine kupunguza hasira zangu, ila unanionesha kuwa haikuwa dhamira yako kunitafuta ila ulishinikizwa tu..

Ukifikiria upande wa huyo binti bila mahana lama hone fika kuwa hata le mutuz alikosa hekima ya kuwarudia watoto wake
shida ya watu wengi mliolelewa na mama kama wewe, akili zenu zipo kama za wanawake, hata hamna tofauti.
 
Back
Top Bottom